Madereva wa kampuni ya mabasi ya Sauli wamshambulia abiria aliyeripoti kuhusu mwendokasi

Abiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k

Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe njiani pale kabla ya Kitonga msosi unapokelewa!
 
Abiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k

Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe njiani pale kabla ya Kitonga msosi unapokelewa!
Haah! same comment, same moment different maneno tu
 
Dereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.

Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo. Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.

Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.

Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa,ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.

Baada ya muda walimuachia abiria uyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.


Kutokana na taarifa iyo inaonyesha ukanda huo Dar mpk tunduma kumekua na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Umeandika kiumbeya umbeya sana
 
Dereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.

Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la

Baada ya muda walimuachia abiria uyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.


Kutokana na taarifa iyo inaonyesha ukanda huo Dar mpk tunduma kumekua na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Akienda kushtaki polisi atalipwa pesa ndefu..

Kiukweli ajali ingetokea mda huu usingekuwa usingepata time ya kupost hapa.

Mimi nadhani abiria wanatakiwa wapate hiyo App..
Inaitwaje mkuu?
 
Abiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k

Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe njiani pale kabla ya Kitonga msosi unapokelewa!
Uendeshaji mbaya wa gari moja unaweza kupelekea maafa kwa watumiaji wengine wa barabara, labda useme sauli watengenezewe kanuni zao na barabara zao wenyewe ili watumiaji wengine wa barabara wasizurike- Simple as that.
 
Naunga mkono. Mbona hatusikii pande nyingine zilisemaje mfano abiria wenzake, mashuhuda, polisi, nk. Nahisi hii ni watu wa hiyo kampuni tu wanajaribu kufanya PROMOSHENI ya mabasi yao.
Mkuu, kuna ajali nyingi sana za mabasi huko mabarabarani zinatokea kila siku na huwezi kusikia polisi au vyomb vya habari wakiziongelea hata kidogo, mfano ajali ya Super feo, ambayo ilikuwa reported humu kwenye forum na mmoja wa abiria, pengine kuna uwezekano wa rushwa kwa sehemu fulani. Hizi sauli zinapata sana ajali na ni mara chache sana kusikia zikitangazwa- Mf. Ajali ya sauli kibaha
 
Abiria panda gari zingine, zinazoendana na speed unayoitaka!
Zipo nyingi Sana route ya Mbeya,
New Force, Kilimanjaro, Abood, Kyela Express n.k

Kung'ang'ana kupanda Saul ni upuuzi!
Sauli ina watu wake special hawana hofu, WANAOKAA ndani, kuchimba dawa hawanunui chakula kinaigiziwa Kwa mama lishe njiani pale kabla ya Kitonga msosi unapokelewa!
Mkikikata roho
Mnasema kazi ya
Mungu siyo

Ova
 
Dereva wa bus ya kampuni ya saul T 485 DXE wamshambulia abiria kisa kureport gari ikiwa na speed meter 115-120.

Kutokana na story ya muhusika anasimulia kua alikua na app ya kusoma speed ya ggari na kutuma kwenye group la wasafiri mojawapo. Baada ya muhusika kurecord tukio hilo kwenye group alipokea DM za vitisho kutoka kwa namba tofauti.
Baadae kidogo alipgiwa simu na dereva wa gari ilo na kumtaka asogee mbele yani atoke siti iyo akakae mbele kwa dereva,alipofika dereva alimpokonya simu na kumtishia.Baada ya safari kwenda kwa masaa kadhaa bila muhusika kupewa simu yake ilifika hatua abiria uyo alitaka kushuka sehem inayoitwa uyole wakati anataka kushuka walimzuia na kumtaka asishuke kwamba wanampeleka polisi kwa kosa la kurec na kuwachomea maovu yao.

Abiria alijitahidi kuwaomba na na kuwasisitiza lakini waligoma na kuondoka nae pasipo kumpeleka polisi.(utekaji huu)
Baada ya kufika mwisho wa safari walishusha abiria wote na kubaki wao madereva na baadhi ya watu wachache na kuanza kumhoji na kumpiga kwa kumlazimisha kusema nani amemtuma kurecord maovu ya kampuni yao ya SAUL na ilifikia hatua ya kumlazimisha amtaje moja ya mtu wa kampuni shindani ya New force.

Baada ya kipigo na vitisho vya muda mrefu walikagua simu na kujaribu kuweka namba za baadhi za watu waliohisi wao ndio wamemtuma ila walikuta abiria uyo hana namba za wahusika hao kabisa,ndipo walipomlazimisha kuformat simu yote na vitisho juu.

Baada ya muda walimuachia abiria uyo akiwa na majeraha maeneo ya mgongoni kutokana na kipigo walichomshushia.


Kutokana na taarifa iyo inaonyesha ukanda huo Dar mpk tunduma kumekua na ajali nyingi sana sababu ya rushwa na madereva kujiona tyr wameshika system.
Kama unamjuwa huyo jamaa aliyefanyiwa kitendo hicho
Njoo pm mzee
Hiyo hela anakula na kuwakomesha hao wenye bus

Ova
 
Back
Top Bottom