Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,987
Siyo matuta tu, tochi je?Matuta mengi sana...vijiji kibao
Siyo matuta tu, tochi je?Matuta mengi sana...vijiji kibao
Kila kitu lazima kiwe na limit mkuu, lazima kuwe na min au max speed limit kwenye hizo lanes, kwa usalama wako na wenzako...Tochi tena?! Sasa barabara nzuri hivyo halafu na speed radar tena!!
Huu wameuharibu kwa matuta... Yanakera balaa...Iringa mbeya mkuu? Kuna mwingine upo Bagamoyo kama sikosei Msata umenyooka balaa
Hauna tuta mkuuMkuu upo Wa Mwanza to musoma ni balaa tupu
Ile IPO tayari alafu ni mkeka balaa. Mimi nilitoka dom SAA kumi alfajiri na probox, nikaingia SAA NNE asubuhi Arusha.Mkuu hivi ile ya dom-arusha via kondoa ilishakamilika? Kumbe mie bwege huwa nazungukia singida-katesh-babati!
Au discovery 3..inapepea kama ndege.Haha upate range rover...
Bongo kuna mkeka gani? Hizi zenye bampa kila baada ya mita mia na matuta? Na torch kila mahaliHizo ndio umeona gari zenye spidi zaidi hapa bongo? Asilimia 90 ya hizo ulizotaja spidi yake mwisho 180km/h ambayo ni ya kawaida sana, cruising speed!! Barabara za lami zilizonyooka vizuri zaidi ya hiyo uliyoona wewe zipo karibu kila mkoa Tanzania..Ukiwa na gari nzuri BMW, Mercedes, Audi, Range etc unawezakimbia hata 250km/h au zaidi..
Matuta shaziIringa mbeya mkuu? Kuna mwingine upo Bagamoyo kama sikosei Msata umenyooka balaa
Imekamilika mkuu ni barabara nzuri ila kuwa makini ina kona za hatari, Dom- Babati km 248Mkuu hivi ile ya dom-arusha via kondoa ilishakamilika? Kumbe mie bwege huwa nazungukia singida-katesh-babati!
bwege kweli kweli mbeziboyMkuu hivi ile ya dom-arusha via kondoa ilishakamilika? Kumbe mie bwege huwa nazungukia singida-katesh-babati!
two way traffic zilizonyooka zipo karibu kila kona ya tanzania?Hizo ndio umeona gari zenye spidi zaidi hapa bongo? Asilimia 90 ya hizo ulizotaja spidi yake mwisho 180km/h ambayo ni ya kawaida sana, cruising speed!! Barabara za lami zilizonyooka vizuri zaidi ya hiyo uliyoona wewe zipo karibu kila mkoa Tanzania..Ukiwa na gari nzuri BMW, Mercedes, Audi, Range etc unawezakimbia hata 250km/h au zaidi..
Kwa mkeka huu halafu eti unakuta tule tu alama twa 50.......
Wa bagamoyo cha mtoto mkuu, mambo ni fire sana njia ya Dom kondoa to babati....we full kujirambaaaaIringa mbeya mkuu? Kuna mwingine upo Bagamoyo kama sikosei Msata umenyooka balaa
Kwann mkuuAltezza si gari
Hapo nikiwa na Crown Majesta au BMW 5series ni full kibati...
Acha kufanganya malori yamejaa barabarani na speed bump kibao labda kama unatoka Bahi kwenda Manyoni huwa kuna mnyooko mzuri lakini overtaking muhimuHizo ndio umeona gari zenye spidi zaidi hapa bongo? Asilimia 90 ya hizo ulizotaja spidi yake mwisho 180km/h ambayo ni ya kawaida sana, cruising speed!! Barabara za lami zilizonyooka vizuri zaidi ya hiyo uliyoona wewe zipo karibu kila mkoa Tanzania..Ukiwa na gari nzuri BMW, Mercedes, Audi, Range etc unawezakimbia hata 250km/h au zaidi..