Yaah, ule mkeka wa Iringa to Mbeya mkuuIringa mbeya mkuu? Kuna mwingine upo Bagamoyo kama sikosei Msata umenyooka balaa
Mbala road
Naunga mkono hoja
huo mkeka unatambaa ukiwa katika double road kilometa ngapi?umbali kama wapi hadi wapi??umbali kama Nairobi mpaka Kenya???
swaga tu hizo za kimazungumzo mkuu!!kuna jamaa mmoja nilicopy kwake alituhadithia akasema,alishiriki mashindano ya kuendesha gari kwa reverse kutoka Nairobi mpaka Kenya!!Mkuu kwani Nairobi haiko Kenya mwaka huu!?
Lakini siyo double road kama huu!Iringa mbeya mkuu? Kuna mwingine upo Bagamoyo kama sikosei Msata umenyooka balaa
Hii ni Ndola to Kitwe 59 kms tu lakini kuna tochi 4 labda ukimbie usiku.
Tochi tena?! Sasa barabara nzuri hivyo halafu na speed radar tena!!Hii ni Ndola to Kitwe 59 kms tu lakini kuna tochi 4 labda ukimbie usiku.