Abdull Bawazir
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 209
- 162
Endelea kutembelea dunia mkuu inaonekana hujakutana na mkeka bado.
Endelea kutembelea dunia mkuu inaonekana hujakutana na mkeka bado.
ule hatua Tatu matutaKama imeshindikana kuchomoka kwenye mkeka ule wa Iringa basi hata huo wa shambani huko hayatachomoka
Mmmhhh !!!!, Nairobi Mpaka Kenya ???, ndo nini sasa.huo mkeka unatambaa ukiwa katika double road kilometa ngapi?umbali kama wapi hadi wapi??umbali kama Nairobi mpaka Kenya???
Mmmhhh !!!!, Nairobi Mpaka Kenya ???, ndo nini sasa.
Hiyo barabara ya Handeni--Morogoro ni khatari.
pale ubongo unaposhindwa kutoa tafsiri!!!!mbwembwe tu za kunogesha mazungumzo mkuu!!Mmmhhh !!!!, Nairobi Mpaka Kenya ???, ndo nini sasa.
Hizo ndio umeona gari zenye spidi zaidi hapa bongo? Asilimia 90 ya hizo ulizotaja spidi yake mwisho 180km/h ambayo ni ya kawaida sana, cruising speed!! Barabara za lami zilizonyooka vizuri zaidi ya hiyo uliyoona wewe zipo karibu kila mkoa Tanzania..Ukiwa na gari nzuri BMW, Mercedes, Audi, Range etc unawezakimbia hata 250km/h au zaidi..
Engine za Altezza nyingi hapa bongo ni 1G, engine inayotumika kwenye Mark IIAltezza si gari
Mkuu hivi ile ya dom-arusha via kondoa ilishakamilika? Kumbe mie bwege huwa nazungukia singida-katesh-babati!Ukitaka kuona mkeka mzuri na kuona kifo kipo mbele Endesha kutoka kondoa kwenda Arusha.. Ike barabara itawatoa wengi roho.
Mkuu upo Wa Mwanza to musoma ni balaa tupuYaah, ule mkeka wa Iringa to Mbeya mkuu
Kama imeshindikana kuchomoka kwenye mkeka ule wa Iringa basi hata huo wa shambani huko hayatachomoka
Matuta mengi sana...vijiji kibaoIringa mbeya mkuu? Kuna mwingine upo Bagamoyo kama sikosei Msata umenyooka balaa