Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 10,884
- 20,085
Labda imehamia south Sudan si huwa tunasikia dunia inazunguka huwezi juaMkuu kwani Nairobi haiko Kenya mwaka huu!?
Labda imehamia south Sudan si huwa tunasikia dunia inazunguka huwezi juaMkuu kwani Nairobi haiko Kenya mwaka huu!?
Wee jamaa acha uongo barabara ipo ovyo sana mwanza -musoma, sehemu yanye mkeka tena mfupi ni kuanzia pale kwenye mizani ya geti la Serengeti hadi unakaribia bunda ,ila sehemu zingine hatari tupuMkuu upo Wa Mwanza to musoma ni balaa tupu
Ha ha ha ha. Itakua mwaka ulivoanza tu na Nairobi ikahamia jirani na somaliaLabda imehamia south Sudan si huwa tunasikia dunia inazunguka huwezi jua
Mkuu huu una vijiji karibu karibu sana. Ila umetulia bhanaUpo mkeka tunduma sumbawanga.
Halafu hatujatangaziwa sasaMkuu kwani Nairobi haiko Kenya mwaka huu!?
Na vitz yangu hapo hammikamati
Utapasua hiyo mashine huezi linganisha na subaru..Nina GX100 yangu haijawahi kuniangusha, si subaru wala Alteza, navuruga tu.
After all sitoki jasho kwa miguu. Do ya know dat?
mbona wakawaida tu huo
Kama imeshindikana kuchomoka kwenye mkeka ule wa Iringa basi hata huo wa shambani huko hayatachomoka
huo mkeka unatambaa ukiwa katika double road kilometa ngapi?umbali kama wapi hadi wapi??umbali kama Nairobi mpaka Kenya???
Bro huu mkeka naukubali sanaaa..hasa unapotoka kidogo nakonde ukianza kuikamata hio barabara ni noma..sijawahi ona hata tochi huko