Madereva pitieni hapa kuepuka fine za overspeed na speed camera

Screenshot_20161225-085413.png
iringa kuna camera nying sana duuuh
 
Wale jamaa wakisha kutageti hata uwe unatembea speed 20 wanajua wanavyoyaset makamera yao!
Yaani kikawaida inabidi ukiwaona wale jamaa uwe na amani lakini hapa ni tofauti maana ukiwaona unapaniki hata inaweza kutokea ajali!
Kama una makosa lazima uta panic manake guilty are afraid.
 
Wakuu nimeona hii app review zake wanakupa trial period for 7 days then after inabidi kulipia au sijaelewa?
 
Kama una makosa lazima uta panic manake guilty are afraid.
Nami niliaminiga hivyo kabla hayajanikuta, kosa langu likiwa ni kuukanyaga mstari wa watembea kwa miguu uliochorwa wakati wa wakoloni maana hauonekani bali lipo litaa nalo halifanyi kazi! Wenyewe wanakaa hapo wakijua mpitaji mpya hawezi kuona na wanatumia kukamilisha hesabu zao!
 
Nami niliaminiga hivyo kabla hayajanikuta, kosa langu likiwa ni kuukanyaga mstari wa watembea kwa miguu uliochorwa wakati wa wakoloni maana hauonekani bali lipo litaa nalo halifanyi kazi! Wenyewe wanakaa hapo wakijua mpitaji mpya hawezi kuona na wanatumia kukamilisha hesabu zao!
Uwe makini wakati mwingine.
 
Unaanza safari dar mida ya saa 1 usiku (kupitia BAGAMOYO-MSATA) unachepuka ama moro au segera 2 moshi /arusha unnaendesha barabara ikiwa imepoa na hakuna magari mengi.
 
Hii app niya kukuonesha kiwango cha spidi ulichonacho na limit yake lkn sio torch apo ukitegemea kwamba utaweza jua sehemu gani palipo na torch umefeli
 
App nzuri, lakini the best way ni kufuata sheria za usalama barabarani. Yani saivi ukiwa rodini hadi raha, ukifika kwenye 50 ni lazima uwe mpole tu.
 
Back
Top Bottom