Madereva Dar kufungiwa Leseni!

Madereva Dar kufungiwa Leseni!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
17,147
Reaction score
26,475
Madereva wa Dar es salaam kufungiwa leseni . Hizi sheria ziop lakini huwa hawafuati.
1. Dereva wa Hizi Eicheza za Gongo la Mboto- Masaki, Kawe- Tegeta na Gerezani, wao muda wote wanapiga honi kali bila msingi wowote.

2. Maderva wa bajaji , mbezi -gerezani wao wanaendesha pole pole na wanakaa pande zte, yaani kulia na kushoto kutafuta abiria, ukipiga honi hawapishi maana huna la kuwafanya.

3. Akina Dada hasa weekend wakitoka na familia , wanaendesha speed 5, sijui kama walifundishwa ni kosa.

4. Kupaki kwenye koda huwa haifundishwi driving school na watu wengi hawajui , laikini hapa , je wanaojenga vibanda chips na magenge kwenye v blind sport nao ni sawa?

5. Wanoweka mabango ya matangazo ya Saluni , Dalali Mwanamke, Boss Kwezi tapeli wa viwanja, mitume na manabii wanaziba road wao ni sawa?

USHAURI KWA POLISI NA TRA:



IMG_2904.jpg
 
Back
Top Bottom