Mademu wa mjini... Aka, sioi mie!

Tatizo lingine pia ni kama hili kwenye thread...mademu wa mjini hapa ujuaji mwingi (mm bahati nzuri nakutana nao kila siku kwenye kazi yangu)..hawataki kusubiri..sio wasikilizaji wazuri...wanajidai wajuaji na mambo ya kuiga kuiga...angalia hata hii thread wanavyoijibu...mana kama mtu imemgusa mtu anatakiwa akae atafakari kwa nini jamaa kaandika ivi ?...mtu mwenye busara anajiuliza je ni kweli...? lakini angalia wanavyojibu....mwingine anajibu tu kwa sasbabu kaona mwenzake amejibu hivyo(Kuiga)....ndo mademu wa mjini hao anaosema jamaa...busara hakuna...!!!
 

Hapo kwenye blue umenena vyema, ila hapo kwenye red umeharibu. Nani alikwambia kwenye nyumba za ibada ndiko waliko wake wema?? Hujui ya kuea nyumba za ibada saiv zimegeuka kuwa pango la kuficha maovu..????? KALAGHABAO.......
 
Kweli we mshamba ndugu yangu na pia ni mshamba wa kutongoza nlimaanisha kuwa huna swaga dats why unatongoza mwanamke anakutumbulia mimacho cz anakushangaa et!!!!!!.Na unatakiwa umpate mshamba mwenzio ili umdanganye vizuri. Tena hao wala nyasi ndo hatari balaa!!! We kamzoe kijijin harafu mlete mjini mpigishe vi carolite na vimake up na vipamba kidogo harafu muonyeshe vimitaa kidogo uone habari ya MUJINI.
 
Usije mjini nd wimbo unaokufaa Cc: BAK

Au wewe ni wale kina dogo janja, umeshafika Chalinze ndo unalisingia lisongi lenyewe mwanawani...basi inabidi tukupe lile la karibu Dar la Kala Jeremiah.
 
ha haaaa, ina maana na sisi hatutaki kuolewa na "wa kike"?
una kesi wewe rafiki, jana umenilaza mlango wazi, lol!
hope mpo pouwa

Najua my dear, remember simu yangu iliyokuwa inanusumbua? Niliirudisha ofcourse l did back up everything kwa computer. Kwa muda nina simu ambayo haiko compatible na iPhone, so contacts nyingi sina. So flash me hny, and sintakulaza nje today.
 
Kaoe kijijini kama jirani yangu baba chale
mke alivyojua kwenda salon tu akawa hakamatiki,
ndoa ilidumu kwa miaka mitatu, hadi leo baba chale ni bachela.

ukitaka mwenye aibu mwoe Madame B, alishasema ana aibu.
 
Last edited by a moderator:
too much generalization
 
Najua my dear, remember simu yangu iliyokuwa inanusumbua? Niliirudisha ofcourse l did back up everything kwa computer. Kwa muda nina simu ambayo haiko compatible na iPhone, so contacts nyingi sina. So flash me hny, and sintakulaza nje today.
ha haaa, flash ya ukweliukweli, si unajua? kimtindo
 
Reactions: BAK

wanaboa ndugu. Hao wanaocomment ovyo ndio niliowakusudia. Ukweli umewauma!
 
Ukiona hivyo jua wewe ni wa kijijini wa mjini huwawezi nenda kwa hao wenzako wa kijijini mjini waachie wenye nako,potea fasta
 
we kweli mshamba, kaoe tu shambani!!! Nani wa mjini cku izi utamdanganya sili,silali, sipumui,mapigo ya moyo yamesimama kwa ajili yako??? NENDA TU KATUFUTE HAO WACHORA CHINI!! Town tuachie sisi tu ndo tunawezana nao

Hahahahahhahahah duh
 
......huku mjini tushasahau habari za kutongozwa, ni kumwagiwa pesa tu!!!!!
wasalimie kijijini, ukirudi niletee magimbi.
 
Kweli aisee itabidi akuone. Kuhusu mke mwema kila sehemu anapatikana na unaweza pia usimpate hata huko kijijini kwani kila sehemu ina mashetani wake. Aseme tu hawezi kuwadanganya maana wa mjini inabidi ujipange kweli kumdanganya haya mambo ya kusema ooo mimi ni meneja TRA kumbe wewe muuza magazeti anataka nani. Mjini ni kusema ukweli mtupu ili usiumbuke. Tena wengi wa mjini wana chachu ya maendeleo maana wameona mengi hawana tena mambo ya kushangaa shangaa.
 
Duu huu mtitiriko ufanyaa kuutengenezea singo manake imetiririka kama verse vile
 
Upungufu wa sound mwilini!

Wewe tuolee tuletee mjini,turembee,watu tukugongee kiulainiiiiii kama tunanawaaaaa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
......huku mjini tushasahau habari za kutongozwa, ni kumwagiwa pesa tu!!!!!
wasalimie kijijini, ukirudi niletee magimbi.

asante kwa kunijulisha. Kumbe mnajiuza! Hongereni kwa biashara!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…