sasa machacha hapo tutayaona wapi? based on nyuso zao mimi nimehisi huyu atakuwa dada yangu kutoka ibhinzamata au shinyanga ya kale, hehehhehehe
Habari yako bwana, habari ya ibinzamata!!!!!!! kaniulizie basi yale mabasi ya kwenda pandaga chiza huwa yanaondoka muda gani stend maana stend kuu siku hz ipo huko ibinzamata....ukipata na namba ya konda itakuwa njema kbs ili nifanye na booking, si unajua msimu wa sikukuu wanaosafiri ni wengi.