Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,529
- 151,828
Kuna mtu alinichekesha, alisema kama wanataka kipengele cha dini kwenye sensa, basi waweke na kabila kabisa ili tuheshimiane, nahisi ulikuwa wewe mkuu.
Dini na kabila vyote ni social constructs tu.