Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

Mwenye kutoa thread nawewe ni kilaza kama Daudi Bashite sema wewe hujui kujipendeza ili upewe vyeo, kuanzia kufunga kamba za viatu na kwenda kupalilia bustani za wakuu enzi hizo Late S.S (RIP)
Ungekuwa hai ungemwona shamba boy wako anavyodhalilika haswa ya heri angeendelea kubeba na kufunga viatu vya Ridhiwani na kuwa shamba boy hiyo ndio halali ya kwa elimuu yake
 
Great Thinkers!

Sasa nimeamini kuwa watanzania tunaendeshwa na mihemuko.
Enzi fulani tuliambiwa, eti mafisadi papa wakiguswa nchi haikaliki.

Baadaye zikaja propaganda eti wauza madawa ya kulevya ni vigogo, wakitajwa nchi itayumba, sasa cha ajabu, kijana mdogo, kijana mwerevu Makonda kawataja, na wengine bado wanahangaika na kesi ila nchi ipo shwari kabia.

Kwa uhakika mtandao wa wauza madawa ya kulevya Tanzania ni dhaifu mno! Maana mpaka sasa wameparanganyika ile mbaya!
Makonda ndio nani huyo si tunamjua Bashite
 
Naona vijakazi wa bwana Daudi Bashite mko kazini kumsafisha mume wenu, ila safari hii hachomoki
 
Nakuhurumia hata hujui unachoandika. Hivi kwa akili yako Mbowe na Gwajima ndo wahusika wa dawa za kulevya? Mwogopeni Mungu sometimes. Kuna majina hayawezi kutajwa, na yakitajwa ni anguko la nchi. Believe me.
 
Nakuhurumia hata hujui unachoandika. Hivi kwa akili yako Mbowe na Gwajima ndo wahusika wa dawa za kulevya? Mwogopeni Mungu sometimes. Kuna majina hayawezi kutajwa, na yakitajwa ni anguko la nchi. Believe me.
Wanahusika hao, mbona wanajishuku?
 
Habari,kutokana na vita hii takatifu inayo endelea nchini nadhani baraza la sanaa lina haja kuufungia na kuupiga marufuku mwimbo wa mwanamziki na mwanachama wa chadema Ney wa mitego(Zamu yetu),ni nyimbo inayo hamasisha matumizi ya madawa ya kulevya,ukiendelea kusikika kwenye jamii utahamasisha vijana waendelee kutumia madawa ya kulevya.
 
Great Thinkers!

Sasa nimeamini kuwa watanzania tunaendeshwa na mihemuko.
Enzi fulani tuliambiwa, eti mafisadi papa wakiguswa nchi haikaliki.

Baadaye zikaja propaganda eti wauza madawa ya kulevya ni vigogo, wakitajwa nchi itayumba, sasa cha ajabu, kijana mdogo, kijana mwerevu Makonda kawataja, na wengine bado wanahangaika na kesi ila nchi ipo shwari kabia.

Kwa uhakika mtandao wa wauza madawa ya kulevya Tanzania ni dhaifu mno! Maana mpaka sasa wameparanganyika ile mbaya!
Akili yako ni finyu ,kiwango chako chini ya like cha Daudi Bashite.HUYO unayemfia na kumtetea kwa nguvu zako zote keshauona moto. Sasa analia hivyo ,we bado hujazinduka.
 
Juma Pinto na Kinjekitile Mwiru ni watu waliogharimu maisha ya vijana wengi kutokana na biashara zao za Mihadarati. Kinjekitile Mwiru siyo jina geni kutajwa katika biashara ya mihadarati. Ni aibu kubwa sana na fedheha kwa Rais kwa kitendo cha Paul Makonda kukimbilia South Africa tena na kupokelewa na DON mkubwa wa MADAWA ya kulevya ndugu Kinjekitile Mwiru.

Sasa kutokana na uhusiano huu kuna uwezekano mkubwa sana kuwa vita ya MADAWA ya kulevya iliyotangazwa na Rais Magufuli na kuendelezwa na Paul Makonda kwa upande wa Paul makonda inaonekana hapa aliamua kushupalia swala la MADAWA ya kulevya ili kuwadidimiza kibiashara washindani wakuu wa biashara ya mihadarati wa Kinjekitile Mwiru na kumpa kinga ili asifikwe na Mkono wa sheria.

Ushauri: Ninaomba serikali Kali kabisa ya mhe. Magufuli iweze kuchunguza kwa undani sana washirika wakuu wa Paul Makonda ambao wanatajwa kujihusisha na biashara ya mihadarati wakiwemo GSM. Sambamba na hilo swala la Kughushi cheti lipewe kipaumbele ili mkondo wa sheria uchukue nafasi yake. Naimani serikali sikivu ya Mhe.Magufuli itafanya na inaendelea kufanya ili kuweka mambo sawa.

NB: Mhe. Rais una nia nzuri na watanzania ila ulikosea kuwachagua kimkakati zaid(ili kuua upinzani bila vetting).
 
DAWA SAFI YA DAWA ZA KULEVYA NI RISASI AU VIFO VYA KUTENGENEZWA TU HII DEMOCRASIA SIJUI HAKI ZA BINADAMU INAGHARAMA KUBWA. HONGERA SANA RAIS WA PHILIPINES HAYA MENGINE TUTAPUNGUZA TU.NA HII DAWA SIO LAZIMA ITANGAZWE IWE SHERIA ILA WANAMALIZWA PIA WAKIJUMUISHWA MASHOGA WOTE
 
MTU ANAWEZA KUSEMA HUYU MBONA ANASEMA RISASI,UNAJUA WAO HUTUMIA MBINU ZOTE KUMALIZA MTU ANAEWAHARIBIA BIASHARA ZAO HATA KWA KUUA,WEWE UPANDE MWINGINE UNAMKAMATA MTU NA UNGA ETI UNAMPELEKA POLISI ANAKUMBANA NA WALE WASHIRIKA walijificha kule wanabadili kuwa ungawa muhogo na hata kwa mkemia jibu linakuwa hilo kesi haipo wapo huru....huu si upumbavu huo???kuna nchi haya madwa hayatagusa kama Rwanda.
 
Kwasasa tuache maneno, mwwnye mamlaka awakamate wahusika. Bashite alikuwa anafanya usanii
 
bashite aliingia kichwa kichwa kwenye hili suala sasa yeye ndio amekimbia nchi huku michozi inamtoka
 
Vita ya madawa ya kulevya ni vita kubwa mno
Huenda ikaizidi hata vita ya mafisadi kwasababu mafisadi ni wezi wa fedha na wala rushwa sio mamafia.

Mapapa wa madawa ya kulevya ni watu wakubwa,wenye fedha nyingi,wanasiasa wakubwa na viongozi wakubwa sana wa dini n.k.

Mara nyingi hawa mapapa hawajihusishi moja kwa moja na biashara hii haramu hivyo ni ngumu kuamini kama biashara zao ni haramu

Kwasababu wanapata pesa nyingi hawaoni hasara kutumia pesa nyingi aidha kusaidia jamii ama katika kufanya starehe zao ama kuhonga serikali,mahakama na hata bunge lote kwa ujumla.

Ili kuishinda vita hii ni vema Taifa likawa pamoja na serikali ikawa pamoja pia yaani mahakama ikapinga madawa ya kulevya,bunge likapambana dhidi ya madawa ya kulevya na serikali pia.

Mihimili yote ya serikali isimame na kuwa kitu kimoja kama Serikali hapa vita hii tutaweza kuishinda

Otherwise tutakuwa tunatwanga maji kwenye kinu!

Vita hii haiwezi mtu mmoja ama kikundi cha watu wachache abadani,mapambano haya tutashinda endapo tutasimama sote kwa pamoja kupambana!
 
Wenye vyeti feki hawawezi kuwa na uadilifu wa kupambana vita hii, watakuwa na double standards.
 
Wenye vyeti feki hawawezi kuwa na uadilifu wa kupambana vita hii, watakuwa na double standards.
Tatizo tunashinidwa kutofautisha wanasiasa na wanataaluma, mara nyingi nafsi nyingi za kisiasa hazihitaji mtu kuwa na ngazi fulani ya elimu suala ni utendaji wa mtu ndio utakaomfanya mwenye mamlaka ya kuteua kufanya hivyo.Tofauti na kazi zinazohitaji taaluma ya mtu ili kumuweka katika nafasi fulani mfano mwalimu, daktari, nesi n.k.
Chamsingi Watanzania tuwe na busara ya kutoshabikia kila kitu kwa sababu ya chuki tulizopandikizwa na makundi fulani katika jamii/siasa za kuchafuana ili tu kufanya mtu fulani aonekane mbaya na hafai katika jamii yetu.
 
Hahahaha ndo mwisho wako wa kufikiri unazani wauza unga ni watoto kama nchi zilizoanza zamani kupambana na wauza unga kama kina escobar hadi leo nchi hizo bado dawa zinaingia angalia sheria kali za china juu ya wauza unga na bado unga unaingia angalia england marekani wameimarisha ulinz wa mipaka lakn bado dawa zinaingia fikiria upya nje ya box hii vita sio ndogo et ya kumaliza kwa kuimarisha mipaka bongoo hii
 
Hakuna vita yoyote ya madawa inayopiganwa na RC wa Dar, alichokifanya ni kutaja listi ndefu ya watumiaji wa madawa tena wanaofahamika na jamii, ilihali tulitegemea atatutajia hao druglords rafiki zake. Anapigana vipi vita hio, ikiwa miungu wa madawa na wahusika wakuu, "Drug lords" anawakumbatia na wengine wanahusika kumsafisha.

ANGALIZO;
Jamani, acheni kumtetea kwa hoja ya kuwa anapigana vita, anastaihili kuwa gerezani huyu mtu. Hawezi linganishwa na Amina Chifupa(R.I.P), sababu ni mnafiki anatumia njia ya kutaja watumiaji na kuwaacha Druglords ili kulipa visasi na chuki zake binafsi.
 
Hii ni nafsi ya pekee kwa mkuu wa mkoa wa Dares salaam kuwanyoosha wauza madawa ya kulevya katika mkoa wake.

Ijulikane kwamba wauza madawa ya kulevya ni matajiri wanamiliki vyombo vya habari, kwa hiyo ukiwagusa tu wanapiga kelele na kukuchafua kupitia redio na TV zao.

Sasa kama wamejizuia kukuandika ni faida kwako kuwashughulikia kwa sababu hawana pa kupigia kelele.

Makonda wanyooshe sasa.
 
Back
Top Bottom