hawajakosana na sizonje au kondakta wakeHawa raia hawajaitwa hata mmoja kuhojiwa?
Chege, Juma nature, Temba na wengineo..n kweli hawatumiagi hizo mboga? Hawajawahi sokota bangi?
Mbona wana promo na style nyingi sana za kuonesha kwamba ni watumiaji?
Umeambiwa ile ni ngoma ya kiongozi , unataka nini tena ?Hivi yule punda mbebaji ilikuwa na haja gani ya kumpima kama anatumia na dhamana wakampa angali anajulikana kabisa ni mbebaji na mtumiaje iweje wamuachie kwa kutumia angali aliwahi kukamatwa bondeni kwa kesi ya MADAWA
Ulikurupuka kuanzisha uzi au?Mods nisaidie kubadili kichwa sa somo kisome hivi.
Dawa za kulenya dhidi ya cheti cha Makonda
Wewe hujui tu jinsi hii kitu ilivyo na impat kubwa. Ila pia soma uelewe vizuriUlikurupuka kuanzisha uzi au?
Nikirudi kwenye uzi wako Elewa VITA ya dawa ya kulevya kwa sasa iko chini ya kamishna SIANGA maana ni mtu mwenye uzoefu na weledi hali ya juu ktk mambo hayo
Ova
Swala ngada....nalijua/athari zake nalijua kuliko wewe hadi huyo aliyekuwa ana wataja wauzaji!Wewe hujui tu jinsi hii kitu ilivyo na impat kubwa. Ila pia soma uelewe vizuri
Kwanza nikili kwamba watanzania ni watu wazuri sana wa kusahau mambo na kibadilika mara kwa mara na kamwe si watu wa kuaminika. Tunapenda sana kusikia mtu akiharibikiwa zaidi ya kufanikiwa, hili linawakumba hadi viongozi wetu na rais kwa ujumla.
Pili nigusie kidogo hii vita ya dawa za kulevya.
Watu wa dawa za kulevya ni watu wenye hela nyingi na hela zao zina matokeo makubwa sana kwenye jamii iwe matokeo hasi ama chanya.
Ukipambana na hii vita ukiwa umeegemea upande wa matokeo hasi unaweza ukashindwa vibaya.
Hivyo inabidi pia kuangalia matokeo chanya. Ushauri wangu hapa kwa sasa serikali ipambane kubinya mianya ya hawa wauza unga, Wawatambue na wawafanyie monitoring kwa technichues hasa hawa wakumbwa.
Nasema hivyo kwa sababu wameshajipenyeza kwenye jamii na ukiwatoa tu wanawatetezi kibao.
Bahati mbaya wafuasi wao wengi ni watu walio na access na mitandao ya kijamii hivyo inakuwa rahisi kuibua jambo na kulijadili kwa mapana kuliko serikali.
Watu wanao nufaika na mapapa wa unga hawawezi kuelewa madhara yake kiurahisi, serikali na watu walio haribiwa familia zao na wapendwa wao ndio wanao jua mzigo wa dawa za kulevya.
Bahati mbaya serikali haina hata mbinu ya kuwashawishi wasio elewa vizuri madhara yake, hapa naisshauri inanzishe vipindi maalumu kwenye luninga na redio ili watu wajue jinsi gani serikali inabeba mzigo huu, jinsi gani familia zinateseka.
Tatu nichangie pia kwenye cheti cha makonda.
Kwa sasa vita ya dawa za kulevya zinafifia kwa kasi kuliko ilivyo kwenye cheti cha makondo, ikumbukwe hata zamani vita hii ilikuwepo na badae ikaendelea tena kama ikiachwa itashamili na badae wauza unga ndio watakao amua rais awe nani, naona hili kuanzia 2025.
Kuna watu wanashikilia kwenye cheti cha makonda kwa sababu wako makundi mbalimbali walio wahi kuasiliwa na utawala wa Makonda. Kunawatu walio walioasiliwa ndani ya chama, ndani ya serikali na madawa ya kulevya na wanaona hapahapa ndipo watakapo mpata huyu Bashite.
Na hili ni jaribu kubwa kwa Magufuli, akimuacha atakuwa amewapuuzi baadhi ya watu, na akimutumbua itabidi avute pumuzi za kuendelea na uongozi na hata ndani ya chama chake itakuwa mwiba pia.
Angalizo jingine pia ni kwamba Makonda ni mtu mwenye uthubutu mkubwa, Magufuli akimtumbua halafu chadema wakamchukua ni janga jingine kwakwe tena kubwa.
Kama chadema wanauwezo wa kumtumia Wema itakuweje Makonda?
Makonda anaweza kutumiwa na wapinzani vizuri sana na hatimae kuiangusha CCM.
Wito.
Watz tuwe na tabia ya kushika mambo ya msingi kwa mda.
Kwa mjibu wa cheti cha makonda na dawa za kulevya.
Nashauri kwanza tumalize la dawa huku tukimvizia Bashite maana ni mtu mmoja namdogo sana kuliko tunavyo zani ila kwa sababu tunataka kumpa adabu basi wengine tunaweza kuendela nae.
Great Thinkers!
Sasa nimeamini kuwa watanzania tunaendeshwa na mihemuko.
Enzi fulani tuliambiwa, eti mafisadi papa wakiguswa nchi haikaliki.
Baadaye zikaja propaganda eti wauza madawa ya kulevya ni vigogo, wakitajwa nchi itayumba, sasa cha ajabu, kijana mdogo, kijana mwerevu Makonda kawataja, na wengine bado wanahangaika na kesi ila nchi ipo shwari kabia.
Kwa uhakika mtandao wa wauza madawa ya kulevya Tanzania ni dhaifu mno! Maana mpaka sasa wameparanganyika ile mbaya!
haya tupe habari mjuzi wa mitandao hii..Great Thinkers!
Sasa nimeamini kuwa watanzania tunaendeshwa na mihemuko.
Enzi fulani tuliambiwa, eti mafisadi papa wakiguswa nchi haikaliki.
Baadaye zikaja propaganda eti wauza madawa ya kulevya ni vigogo, wakitajwa nchi itayumba, sasa cha ajabu, kijana mdogo, kijana mwerevu Makonda kawataja, na wengine bado wanahangaika na kesi ila nchi ipo shwari kabia.
Kwa uhakika mtandao wa wauza madawa ya kulevya Tanzania ni dhaifu mno! Maana mpaka sasa wameparanganyika ile mbaya!
Great Thinkers!
Sasa nimeamini kuwa watanzania tunaendeshwa na mihemuko.
Enzi fulani tuliambiwa, eti mafisadi papa wakiguswa nchi haikaliki.
Baadaye zikaja propaganda eti wauza madawa ya kulevya ni vigogo, wakitajwa nchi itayumba, sasa cha ajabu, kijana mdogo, kijana mwerevu Makonda kawataja, na wengine bado wanahangaika na kesi ila nchi ipo shwari kabia.
Kwa uhakika mtandao wa wauza madawa ya kulevya Tanzania ni dhaifu mno! Maana mpaka sasa wameparanganyika ile mbaya!