Halafu inasaidia nini, kama kuna raia anawajua unafikiri serikali haiwajui?
Itawasaidia wanao,wajukuu zako na watanzania wenzako kuepuka madhara ya upuuzi huo.
Halafu inasaidia nini, kama kuna raia anawajua unafikiri serikali haiwajui?
Mkuu hii ni mada nzur sana ila ww hujataja hata mmoja. Tupe mfano mmoja mkuu1.Jina la Muhusika
2.Mahali alipo ie Mtaa anaoishi ikiwezekana na eneo analouzia madawa.
3.Anashirikiana na nani?
4.Anaifanyaje hiyo biashara, Hii ikiwa na maana ni njia gani anatumia hadi iwe ngumu kwa yeye kuingia kwenye vyombo vya usalama.
5. Muhusika/Wahusika anatumia njia gani kuingiza madawa hayo nchini.
6.Watu mashuhuri/ Viongozi wa serikali ambao kwa namna moja ama nyingine wa nachanganya uwepo wa madawa hayo.
7. Mianya iliyopo kwenye Entry Points zote ambayo inatumiwa kuingiza dawa hizo.
Tukumbuke athari za Madawa ya kulevya si za mtu mmoja ni za Taifa kwa Ujumla.
Nakaribisha Majadiliano.
1.Jina la Muhusika
2.Mahali alipo ie Mtaa anaoishi ikiwezekana na eneo analouzia madawa.
3.Anashirikiana na nani?
4.Anaifanyaje hiyo biashara, Hii ikiwa na maana ni njia gani anatumia hadi iwe ngumu kwa yeye kuingia kwenye vyombo vya usalama.
5. Muhusika/Wahusika anatumia njia gani kuingiza madawa hayo nchini.
6.Watu mashuhuri/ Viongozi wa serikali ambao kwa namna moja ama nyingine wa nachanganya uwepo wa madawa hayo.
7. Mianya iliyopo kwenye Entry Points zote ambayo inatumiwa kuingiza dawa hizo.
Tukumbuke athari za Madawa ya kulevya si za mtu mmoja ni za Taifa kwa Ujumla.
Nakaribisha Majadiliano.
1.Jina la Muhusika
2.Mahali alipo ie Mtaa anaoishi ikiwezekana na eneo analouzia madawa.
3.Anashirikiana na nani?
4.Anaifanyaje hiyo biashara, Hii ikiwa na maana ni njia gani anatumia hadi iwe ngumu kwa yeye kuingia kwenye vyombo vya usalama.
5. Muhusika/Wahusika anatumia njia gani kuingiza madawa hayo nchini.
6.Watu mashuhuri/ Viongozi wa serikali ambao kwa namna moja ama nyingine wa nachanganya uwepo wa madawa hayo.
7. Mianya iliyopo kwenye Entry Points zote ambayo inatumiwa kuingiza dawa hizo.
Tukumbuke athari za Madawa ya kulevya si za mtu mmoja ni za Taifa kwa Ujumla.
Nakaribisha Majadiliano.
1.Jina la Muhusika
2.Mahali alipo ie Mtaa anaoishi ikiwezekana na eneo analouzia madawa.
3.Anashirikiana na nani?
4.Anaifanyaje hiyo biashara, Hii ikiwa na maana ni njia gani anatumia hadi iwe ngumu kwa yeye kuingia kwenye vyombo vya usalama.
5. Muhusika/Wahusika anatumia njia gani kuingiza madawa hayo nchini.
6.Watu mashuhuri/ Viongozi wa serikali ambao kwa namna moja ama nyingine wa nachanganya uwepo wa madawa hayo.
7. Mianya iliyopo kwenye Entry Points zote ambayo inatumiwa kuingiza dawa hizo.
Tukumbuke athari za Madawa ya kulevya si za mtu mmoja ni za Taifa kwa Ujumla.
Nakaribisha Majadiliano.
R.I.P Langa, R.I.P Mangwair...
Kufanya nini?Anza wewe
Acha wauze maana ndo kaz yao kuwaingizia kipato, kaz ya police nn? Mnataftia data Jf wakat mnaipinga na kushka mwanzlish wake! Mh.Rais anajua walipo Subr upepo ukigeukia kwao utawasikia tu!
wito wangu kwako paza sautémtoa mada nina wasiwasi na ww mbna ww hujaeka hata jina moja!,majina tutataja polisi kituoni unataka tuwataje humu ili m'badilishe majina,makaz,mbinu nk!......tuliwatajaga watoto flan wa mjini walikuwa pale migo warriors na akina becka ranger ila ile kuwataja tuu hawajaonekana tena kudadek!
Ok thanks but pls be part of whistle blowersMind your business
sijasikia mtumbuaji majipu anatumbua wahusika wa kufuatilia hili suala ndio utajua dunia ya Mungu vitu vya MzunguGlobally unga ni TATIZO sio TZ tu....japokuwa kidonda kikiwa mwilini mwako wewe ndo unayesikia maumivu ...ila kikiwa kwa mwenzio hata kiwe kinatisha vipi huwezi sikia maumivu...nashangaa serikali inalifumbia macho tatizo hili....Tatizo wauza unga ni WAZITO..