titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,572
- 9,764
Sasa kuna faida gani kuwaweka lupango,eidha wawanyonge au wawaachie tuWanaendeleza ndyo
Ova
Sasa kuna faida gani kuwaweka lupango,eidha wawanyonge au wawaachie tuWanaendeleza ndyo
Ova
huku kwetu wanapambana na shishaNimesikia leo kwenye hbr za magazeti, wanapigwa risasa, wanaijisalimisha wanapelekwa gerezani
OMG!! sad...Tatizo la unga ni moja. Once you get high, ile feeling ni tamu kuliko raha zote duniani. Pombe na bange,LCD Ecstasy weka kuleeee. Unga ndo wenyewe.
Sasa uta vuta tena lakini hautajisikia kama ile mara ya kwanza. So unakuwa teja kwa kujaribu kufika ile hali ya kwanza na hutawahi kufika.
Cha kufanya ni kutojaribu. Unga ni hatare wandugu. It is a risk nobody can afford to take. Sio wa kujaribu. Unga ni gusa unase.
Indeed. Now you know how it goes down.OMG!! sad...
Well, not really...Indeed. Now you know how it goes down.
Well, not really...
Thank goodness I've never had personal experiences with relatives or close friends, so I can only tell from afar...
Nahisi professionalism haizingatiwi kule. Angalia >95% ya watumiaji wanapotoka huko wanarudia upotovuMkuu unahisi bi kwa nini sober houses zifuatiliwe? Something wrong????
Dependence effectTatizo la unga ni moja. Once you get high, ile feeling ni tamu kuliko raha zote duniani. Pombe na bange,LCD Ecstasy weka kuleeee. Unga ndo wenyewe.
Sasa uta vuta tena lakini hautajisikia kama ile mara ya kwanza. So unakuwa teja kwa kujaribu kufika ile hali ya kwanza na hutawahi kufika.
Cha kufanya ni kutojaribu. Unga ni hatare wandugu. It is a risk nobody can afford to take. Sio wa kujaribu. Unga ni gusa unase.
Mkuu madawa ya kulevya ni tatizo la kujitakia waache wahusika wahangaike nalo