nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
naona makonda kaanza kuufyata...
Kazi Bado Tunayo, Lakini ipo siku tutajielewa tu tukazaneni.Watanzania hatujui tunataka nini.
Yasoposomwa wanasema uongo list haipo..
yakisomwa wanasema kadhalilisha...
ili ufaidi kuongoza watanzania we ukipata uongozi kaa kimya tu udeal na mambo ya kipuuzi labda ndipo wanafurahi
inawezekana kwa heps B Mzee ata body contact
chidi mapenzinaona makonda Kama alimpiga kijembe flani ndugu nape
Faiza faiza faizaTanzania kuna vichwa, huyu Mmasai ni kichwa cha uhakika.
Hapa Magufuli nnakupa hongera, huyu ni zaidi ya kuwa Kamishna, huyu alitakiwa awe Waziri Mkuu au wewe mwenyewe ung'atuke huyu awe Rais.
I love him already.
Upumbavu gani unaosema wa kuumia watu au ,lazima tumsifu Makonda kwa kuthubutu,kutokana na yeye sasa moto wa madawa ya kulevya umeanza kuonekana,tume imeundwa na hata majaji watafuatilia ,je Makonda angekaa kimya mnadhani yote haya yanyotokea yangekuwepo?lazima tumpongeza Makonda kwa juhuzdi alizozianzisha,Kudos Makonda !Kama Kassim Majaliwa atamuacha Makonda aendelee na huu upumbavu basi serikali itangaze rasmi kuwa waziri mkuu ni Makonda na sio Majaliwa kwasababu mwenyekiti wa hii tume ya kupambana na drugs ni Kassim Majaliwa na sio Makonda.
Alikuwa anawataja sababu hakukuwa na tume na sasa kwa juhudi zake kuna tume ambao ndio watahusika,na usisubiri tu Makonda awataje na wewe unatakiwa uwataje kwani unawafahamuLeo Kapeleka Majina Kwa nini Asiwataje Hadharani?
Upumbavu gani unaosema wa kuumia watu au ,lazima tumsifu Makonda kwa kuthubutu,kutokana na yeye sasa moto wa madawa ya kulevya umeanza kuonekana,tume imeundwa na hata majaji watafuatilia ,je Makonda angekaa kimya mnadhani yote haya yanyotokea yangekuwepo?lazima tumpongeza Makonda kwa juhuzdi alizozianzisha,Kudos Makonda !
Alikuwa anawataja sababu hakukuwa na tume na sasa kwa juhudi zake kuna tume ambao ndio watahusika,na usisubiri tu Makonda awataje na wewe unatakiwa uwataje kwani unawafahamu
Hebu tumia kiswahili Mkuu!!
Kwanza tambua hakuna anayepinga wala kutetea ila approach iliyotumika ndo haifai.
Sasa upele umepata mkunaji
kutaja suspects hadharani kabla hujawakamata ni upumbavu kwasababu approach ya namna hiyo inasababisha suspects kuepuka mkono wa dola na kuharibu ushahidi.
mpumbavu hapongezwi kamwe.
Leo ndiyo mwisho wa sinema la kihindi Starling kafia kwenye maua.
Ndiyo nini hicho?