Madawa ya Kulevya Awamu ya III: RC Makonda amkabidhi majina 97 Kamishna Mkuu wa madawa ya kulevya

Yule mkuu wa mkoa,HAPANA!
Hakika simwamini tena Huyo mtaka
SIFA!Nimemsikiliza kwa masikio yangu mawili tena makubwa lkn sijaambulia lolote la maana toka kwake.Zaidi ambulio langu kwake,ni MAJIGAMBO na VIJEMBE kwa wakosoaji wake.Niseme tu,sijaona lililo la maana toka kwake.
Amejitahidi sana leo kukusanya eti aliowaita WADAU kuja kumsikiliza.Eti wakuu wa IDARA ni WADAU?!Wataalamu hao leo wamelazimishwa kufunga ofisi na kutowahudumia wananchi eti kisa....?!
KAMISHNA upo vizuri.Ww ni mweredi usiye fichika.Mtu uliye na wingi wa BUSARA na HEKIMA.Hakika ww ni chaguo sahihi (japo ni mapema).
Muhimu,mwombe MUNGU azidi kukuongoza ktk yote.DUMU ktk kutoonea wasio na HATIA.Ktk yote,uwe mwerevu na msikivu wa yote ktk wote.
Na MUNGU akuongoze.
Mkuu hata aliposema wapige makofi hukusikia?
 
Yaani hata watu wasemeje ila Makonda nimemkubali
Kwa hiyo hakuna jiwe litakaloachwa chini ya jiwe?mimi macho yangu yako ziwani
BismarkRock.jpg
 
Hujaona usanii uliotumika hapo?
yapo mjina yaliyttajwa kaa jina moja tu (bila ubin/bint)
yapo yalioandikwa vizuri, mawili au matatu, lakini yameandikwa zaidi ya mara moja(yamerudiwa kuandikwa)
Na anayemwandikia hivi vibango ni nani? Ni yeye mwenyewe au mke wake? Yaani ofisi ya RC haiwezi kuonesha professionalism kidogo. Mwandiko utafikiri mtu kashikwa ugoni na waandishi wa habari hawahoji imekuwaje? Na huyo mkuu mpya wa kitengo cha kudhibiti madawa amekubali kuingizwa choo cha kike - "MAJINA 97 YA WAUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA .." Nani amewatia hatiani? Kazi ya mahakama ni nini kama Bw Mokondo tayari kawahukumu? Hawa ni WATUHUMIWA. Hakimu au jaji pekee ndiye anaweza kutundika orodha ya WAUZAJI WA MADAWA baada ya kujiridhisha kuwa wana hatia! WaTz inabidi tufike mahala tusikubali kurubuniwa na kupindishiwa utaratibu mzuri wa haki na sheria. Huyu kijana ni msanii na JPM atakuja kugundua when it's too late.
 
Mtu anakamatwa na Madawa lakini live lakini Kona zinaanzia hapa.

1.Polisi upelelezi
2.Mahakimu na Majaji
3.DPP

Yaani mtu akikamatwa na Madawa ya kulevya live, ushahidi uko wazi halafu kesi inachukua zaidi ya mwaka ujue kwenye hiyo list kuna mtu kafanya yake.Mh Rais kasema kuna kesi 50 Dar za Madawa ya kulevya ziko mahakamani, kama ushahidi ulikuwepo zibasubiri nini?
 
Na anayemwandikia hivi vibango ni nani? Ni yeye mwenyewe au mke wake? Yaani ofisi ya RC haiwezi kuonesha professionalism kidogo. Mwandiko utafikiri mtu kashikwa ugoni na waandishi wa habari hawahoji imekuwaje? Na huyo mkuu mpya wa kitengo cha kudhibiti madawa amekubali kuingizwa choo cha kike - "MAJINA 97 YA WAUZAJI WA MADAWA YA KULEVYA .." Nani amewatia hatiani? Kazi ya mahakama ni nini kama Bw Mokondo tayari kawahukumu? Hawa ni WATUHUMIWA. Hakimu au jaji pekee ndiye anaweza kutundika orodha ya WAUZAJI WA MADAWA baada ya kujiridhisha kuwa wana hatia! WaTz inabidi tufike mahala tusikubali kurubuniwa na kupindishiwa utaratibu mzuri wa haki na sheria. Huyu kijana ni msanii na JPM atakuja kugundua when it's too late.
Yeye mwenyewe ni kati ya mapapa wauzaji tusubir muda utaongea tu
 
Kama Kassim Majaliwa atamuacha Makonda aendelee na huu upumbavu basi serikali itangaze rasmi kuwa waziri mkuu ni Makonda na sio Majaliwa kwasababu mwenyekiti wa hii tume ya kupambana na drugs ni Kassim Majaliwa na sio Makonda.[/QUOTES

Sasa makonda si anadili na mkoa wake kwanza au harusiwi kisheria
 
:eek::eek::eek::eek: kutowataja hawa hakutenda haki kwa aliokwisha wataja,, wew unadhan watanzania akilini mwao kumejaa majina ya kina nani? waliotajwa au ambao hawakutajwa? obvious alokwisha wataja.... Angetaja tyu watu wapooze Arosto za udaku
Saafi mkuu bora tuu angeamua kumwaga ugali maana mboga keshamaga tangu awali
 
Hii sinema imeshakwisha haina kichwa wala miguu sterling kafa kifo cha mende sasa turudi mapato ya TRA ya mwezi January na matokeo ya form four.
Mkuu Kimbwigio, nilisema wazi wiki iliyopita kwamba huyu steringi siyo atafia kwenye maua watu wakanisakama. Sasa leo kaja na staili ya kuchekacheka na kujifanya mlevi kama Drunken master. Kumbe wapi bwana, tangu lini sinema ya mapigano steringi akawa "Charlie Chaplin!!?
 
Back
Top Bottom