Madawa ya Kulevya Awamu ya III: RC Makonda amkabidhi majina 97 Kamishna Mkuu wa madawa ya kulevya

Akichangia mjadala wa mkutano wa kutaja majina ya Wauza Unga jukwaani hapa mwanachama mwandamizi wa Jamiiforums, ameshauri mkulu amwachie kiti hicho maana kwa mtazamo wake amemuona Kamishna anafaa sana kwenye kiti hicho cha pale magogoni!

IMG_20170213_180424.JPG
 
Nyie WAPINZANI hasa CDM ni wachawi wa kubwa wa maendeleo ya nchi hii na ndimi zenu mbili mbili kila kukicha leo mnabadilisha GIA tena ANGANI...KIVIPI....
Leo MAKONDA hajataza majina WAMEANZA kubwa bwaja .....Ooooh mbna leo hajataja MAJINA.....
Hivi mnataka nini hasa.....Mkitajiwa MAJINA shida....MSIPO TAJIWA NA penyewe shida.....
Tuna safari ndefu sana kwenye nchi hii.........
mchawi weee na serikali yako isiyofuata utawala wa sheria
 
Nini kimetokea Leo asisome majina Kama alivyosoma awamu zilizopita? Ni kuanza kutambua mipaka na taratibu za kufanya vita dhidi ya madawa ya kulevya? Utaratibu uliotumika Leo Mbona mzuri tu. Mbwembwe zilikuwa za nini?
 
Hii phase iii......alivyoianza "madereva "nilianza kuiona Nuru Fulani...Heeee alivyomaliza thatha HAKUNA jipya ndio walewale!,,,,,nguruwe hata umpafume bhabha!,,,,,matopeni ndoo kwake!
 
Back
Top Bottom