Santi
JF-Expert Member
- Oct 30, 2016
- 540
- 1,197
Mama Kifimbo Cheza, chapa mijeledi huyo!!Ndiyo nini hicho?
Mama Kifimbo Cheza, chapa mijeledi huyo!!Ndiyo nini hicho?
Ulimaanisha zamu au?Sijui itaka zanu ya kinani
Shule ulienda kusomea ujinga.hicho.
GSM imeingiaje hapo acheni kupandikiza vitu msivyovijuaSawa, ila mi nachohitaji aseme neno moja tu kuhusu GSM na roho yangu itapona
prevalence ni kubwa huwezi amini, sema acute ina resolve yenyewe muda mwingiMkuu hepatitis b infection haiwez kuambukizwa kwa body contact.
Na kama ingekuwa hivyo basi ugonjwa huu ungekuwa ni epidermic.
Ugonjwa huu unaambikiwa kwa kugusa maji maji ya mwili ya mtu aliye na ugonjwa
Hepatitis B FAQs for the Public | Division of Viral Hepatitis | CDC
Hebu pitia hiyo link ya CDC ujifunze zaidi.
Acha uhuni wewe ninamfahamu kamishna huyo anayosema kuhusu mahakimu na majaji hao ni kweli wanastahili kuchukuliwa hatua kwa kutumia mamlaka yao kunusuru vigogo wa madawa.sasa kazi imeanzaSasa mihimili inavurugana Leo hii tume inaonekana ina nguvu kubwa kuliko mahakama ikipeleka kesi mahakamani lazima mtu afungwe kwa hofu ya jaji kupoteza kibarua
Shule ulienda kusomea ujinga.
Hamkosekani.makonda awadhalilisha hawa watoto kwa kuwaonyesha kwenye television.
Waziri wa afya uko wapi kukemea hii.
Hairuhusiwi kuwaanika watoto wenye umri chini ya miaka 18 wajitangaze kuwa wanaukimwi.
Umeulizwa nini hicho ulichokiandika? Starlingni madrasa ndiyo walinifundisha hivyo.
kumbe madrasa wanatufundisha ujinga jamani?
Hahahahahaha amebakiza moja kama skirt ya Jangwani.
Alikuwa na maana chuo cha ushirikina kule nigeria.Nilimsikia Gwajima jana akidai "Yule aliyesoma Chuo cha Ushirika
Hapa nadhani tumeingia cha ki.......~~>>>Mirungi inapunguza nguvu za Kiume..... Kenya wanaume wanavaa nepi kwakuwa wanajipiga Bao hovyo hovyo....
Kamishna wa Kupambana na Madawa ya Kulevya.
Una maanisha nini ndugu?Kamishina ameanza na big Pin kiboko hii namba chafu ni level ya kina skhuba hii...haya mambo ni makubwa sana wanataka kumng'oa kiboko? ??? Hatariiii
Kidogo huyu jamaa nae katema hapa.Acha uhuni wewe ninamfahamu kamishna huyo anayosema kuhusu mahakimu na majaji hao ni kweli wanastahili kuchukuliwa hatua kwa kutumia mamlaka yao kunusuru vigogo wa madawa.sasa kazi imeanza