Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,537
- 6,020
Wana JF,
Mie nimekuwa nafikiri kuwa Rais wetu anapata shida na mafisadi kwa sababu MADARAKA aliyonayo Rais wetu ni kidogo sana. Ninaombi kwa Wabunge na Mawaziri waliopo hapa JF kuwa huko BUNGENI ibadilishwe katiba ili UWEZO wake uwe Mkubwa zaidi. Hiyo itasaidia sana kupambana na mambo mengi ambayo kwa sasa hawezi kwani KATIBA hamruhusu. Ikibidi basi hata cheo cha PM kife na ibaki Rais na makamu wake. Mbona UK wana PM tu bila Rais?
Walau kila BAYA tutajua nani alaumiwe.
Mie nimekuwa nafikiri kuwa Rais wetu anapata shida na mafisadi kwa sababu MADARAKA aliyonayo Rais wetu ni kidogo sana. Ninaombi kwa Wabunge na Mawaziri waliopo hapa JF kuwa huko BUNGENI ibadilishwe katiba ili UWEZO wake uwe Mkubwa zaidi. Hiyo itasaidia sana kupambana na mambo mengi ambayo kwa sasa hawezi kwani KATIBA hamruhusu. Ikibidi basi hata cheo cha PM kife na ibaki Rais na makamu wake. Mbona UK wana PM tu bila Rais?
Walau kila BAYA tutajua nani alaumiwe.