Madaraka Nyerere: Picha ya Mwl. Nyerere iondolewe kwenye wimbo wa Diamond

Sio "makongoro" ni "madaraka" mtoto mkubwa wa the late mwl nyerere
Na sheria anayoisema hii hapa
a97f6361bc6a13b1568fff5c422c0ed1.jpg

Hata kama, kwani wote haija wauma na kuwachoma kwa lililotokea kukatwa kwake!?
 
Mkuu Kitu kuwa freely available kwenye mtandao, hakiifanyi kiwe kwenye public domain,,

Duh!

Naona wewe ni mzigo kweli kweli.

Hivi unajua hata maana ya public domain kweli wewe? Unajua kitu kikiwa kwenye public domain maana yake ni nini?

Haya, hebu twende mudogo mudogo labda utaelewa:

Tuanze na Cambridge Dictionary: If information is in the public domain, it is available for everyone to see or know about: Link

Oxford nao wanasema hivi hivi:
Something that is in the public domain is available for everyone to use or to discuss and is not secret
Link

Merriam-Webster:
the public domain
1 : the state of something that is not owned by a particular person or company and is available for anyone to use
Link

Kwa fasili hizo tatu nilizokuwekea ni dhahiri shahiri hujui maana ya kitu kuwa kwenye 'public domain'.

Kitu kuwa public domain ni author mwenyewe anaamua kiwe public domain, au miaka 50 baada ya kifo cha author kitu ndo kinakuwa public domain kwa sheria za nchi nyingine ni 70 years after death ya author

. Huwezi ukasema kisa wimbo wa Rihanna upo mtandaoni basi ndo umekuwa public domain, tofautisha kati ya publicly available na public domain kwenye sheria za IP.

This is major league gobbledygook!

Fair use, is not something you design, imekuwa expressly provided kwenye sheria, ndo maana nikakuwekea hapo sheria yenyewe na vifungu kabisa ili kama bwana Diamond kuna sehemu inamcover utuoneshe.

Kwenye bandiko lako namba 251, kama unatumia desktop version, umeandika hivi na nakunukuu "Kwa Tanzania Section 12(2) ya Sheria ya Copyright and Neighbouring Rights Act, 1999. inaonesha vitu ambavyo can be considered as fair use. ambapo Section 12(2)b and 12(2)c covers fair use by news paper, publications, schools, universities, religious and e.t.c"

Umeona hapo mwisho kwenye "e.t.c"? Nikuulize sasa....hapo maana yake nini?
 
Duh!

Naona wewe ni mzigo kweli kweli.

Hivi unajua hata maana ya public domain kweli wewe? Unajua kitu kikiwa kwenye public domain maana yake ni nini?

Haya, hebu twende mudogo mudogo labda utaelewa:

Tuanze na Cambridge Dictionary: If information is in the public domain, it is available for everyone to see or know about: Link

Oxford nao wanasema hivi hivi:
Something that is in the public domain is available for everyone to use or to discuss and is not secret
Link

Merriam-Webster:
the public domain
1 : the state of something that is not owned by a particular person or company and is available for anyone to use
Link

Kwa fasili hizo tatu nilizokuwekea ni dhahiri shahiri hujui maana ya kitu kuwa kwenye 'public domain'.



This is major league gobbledygook!



Kwenye bandiko lako namba 251, kama unatumia desktop version, umeandika hivi na nakunukuu "Kwa Tanzania Section 12(2) ya Sheria ya Copyright and Neighbouring Rights Act, 1999. inaonesha vitu ambavyo can be considered as fair use. ambapo Section 12(2)b and 12(2)c covers fair use by news paper, publications, schools, universities, religious and e.t.c"

Umeona hapo mwisho kenye "e.t.c"? Nikuulize sasa....hapo maana yake nini?

Bwana Nyani Ngabu kwenye Sheria (particularly kwenye sheria za Intellectual Property) definition ya public domain sio hiyo unayoielewa na kuingolea.

definition ya Public domain kwenye mambo ya Intellectual Property sio hiyo unayoleta ya kwenye dictionary.
Kwenye sheria za IP kitu kinakuwa under public domain only when is not protected by copyright law.
Kuna kisummary cha Maana ya Public domain kwenye mambo ya Intellectual Property kutoka Stanford University unaweza ukapitia hapa ili tuwe on the same page. Maana naona mimi naongelea sheria wewe unaongelea language na semantic.

Kuhusu hiyo etc, nimeweka kwa maana section 12 is too long, and siwezi kuweka summary yake yote hapo,, ndo maana nikaweka hiyo sheria ili uangalie mwenyewe hapo uone na kuelewe kama inainclude matumizi ya music production kama fair use. Sina lengo la kuhide chochote nod maana nikaweka na sheria yenyewe. Lets focus on the law, tuache longo longo. maana huko kwengine mimi sio expert mkuu.
 
Bwana Nyani Ngabu kwenye Sheria (particularly kwenye sheria za Intellectual Property) definition ya public domain sio hiyo unayoielewa na kuingolea.

definition ya Public domain kwenye mambo ya Intellectual Property sio hiyo unayoleta ya kwenye dictionary.
Kwenye sheria za IP kitu kinakuwa under public domain only when is not protected by copyright law.
Kuna kisummary cha Maana ya Public domain kwenye mambo ya Intellectual Property kutoka Stanford University unaweza ukapitia hapa ili tuwe on the same page. Maana naona mimi naongelea sheria wewe unaongelea language na semantic.

Nimeangalia kilichomo kwenye hiyo link na sijaona tofauti yoyote ile, ya kimsingi, na fasili za kamusi nilizokuwekea.

Labda tofauti kubwa iliyopo ni maelezo ya kujazia nyama tu suala zima la public domain lakini maana ya msingi ni ile ile[kwenye hiyo link].

Na ndiyo, naongelea lugha kwa sababu hakuna sheria yoyote ile bila lugha. Lugha ni kiini cha sheria.

Kwa hiyo semantics, syntax, grammar, parts of speech, punctuations marks, na mengineyo, yote yana matter sana.

Kuna watu huwa wanashinda na kushindwa kesi kwenye mambo ya kiufundi yahusuyo makosa ya lugha.

Kwenye sheria lugha is almost everything. Any lawyer worth his or her salt will tell you that if you can't use the correct language then you can't effectuate your clients' wishes.

So you can't pooh-pooh the importance of language in law. You can't.
 
Nimeangalia kilichomo kwenye hiyo link na sijaona tofauti yoyote ile, ya kimsingi, na fasili za kamusi nilizokuwekea.

Labda tofauti kubwa iliyopo ni maelezo ya kujazia nyama tu suala zima la public domain lakini maana ya msingi ni ile ile[kwenye hiyo link].

Na ndiyo, naongelea lugha kwa sababu hakuna sheria yoyote ile bila lugha. Lugha ni kiini cha sheria.

Kwa hiyo semantics, syntax, grammar, parts of speech, punctuations marks, na mengineyo, yote yana matter sana.

Kuna watu huwa wanashinda na kushindwa kesi kwenye mambo ya kiufundi yahusuyo makosa ya lugha.

Kwenye sheria lugha is almost everything. Any lawyer worth his or her salt will tell you that if you can't use the correct language then you can't effectuate your clients' wishes.

So you can't pooh-pooh the importance of language in law. You can't.

So does it mean kwamba availability ya kitu freely publicly ndo kina kuwa public domain.

Or

Kinakuwa public domain only when not protected by copyright?

Kisheria under Intellectual Property.
 
So does it mean kwamba availability ya kitu freely publicly ndo kina kuwa public domain.

Or

Kinakuwa public domain only when not protected by copyright?

Kisheria under Intellectual Property.
Kitu hakiwezi kuwa public domain bali kinaweza kuwa 'in public domain'. Ni kama vile unachanganya kati ya kitu kuwa a 'public property' na kitu kuwa kwenye 'public domain'.

Kuna tofauti kubwa hapo na ndo maana nina mashaka kama unaelewa maana ya kuwa 'in public domain'.

Tatizo lako nikianza kukuelezea maana za hayo maneno unasema mimi najadili mambo ya lugha.

Sasa sijui unataka nijadili nini wakati naona kabisa hujui maana ya 'in public domain'.

Anyway, sio kesi bana. Happy weekend
 
Kitu hakiwezi kuwa public domain bali kinaweza kuwa 'in public domain'. Ni kama vile unachanganya kati ya kitu kuwa a 'public property' na kitu kuwa kwenye 'public domain'.

Kuna tofauti kubwa hapo na ndo maana nina mashaka kama unaelewa maana ya kuwa 'in public domain'.

Tatizo lako nikianza kukuelezea maana za hayo maneno unasema mimi najadili mambo ya lugha.

Sasa sijui unataka nijadili nini wakati naona kabisa hujui maana ya 'in public domain'.

Anyway, sio kesi bana. Happy weekend

ahahahaaah, mbona unahangaika na trivial things without going to the merit.

Ok let me correct it.

So does it mean kwamba availability ya kitu freely publicly ndo kina kuwa in public domain.

Or

Kinakuwa in public domain only when not protected by copyright?

Under Copyright and Intellectual property Law?
 
WANAFKI,NDIYO WANATUMIA PICHA YA J.K NYERERE KTK MAMBO YAO......
NDOMANA NYIE MTAENDELEA KUWA WANAFKI MILELE.....@#$$$$$ ZENU

OVA
 
Back
Top Bottom