Wachina wanaweza kuichukua hospitali nzima na hao wafanyakazi kulipwa na serikali yao ya uchina ,kuna madaktari kama milioni moja hawana kazi nchini China.
Dr.Chichi kumbe bado hujaona tofauti ya mgomo uliopita na huu wa sasa! Ule wa mwanzo hakukua na amri ya serikali, hivyo serikali ingewafukuza kazi ingebidi iwalipe, which is another burden to the gvt. Safari hii imecheza tricky ambayo wengi wenu hamjaijua, ukifukuzwa hupati chochote maana umedharau amri halali ya mahakama, chezeya dola weye!
Halafu mkuu mjifunze kusoma alama za nyakati. Safari hii hamna back-up ya wananchi, watu wengi hawako upande wenu kwa sababu mmekuwa too demanding and not considerate!
Udaktari bila ya leseni ya kutoa Tiba ni sawa na zero! Wanafukuza halafu wanapoka leseni na halafu wanaeleza sababu ya kupoka hiyo leseni.Ni mgomo na kusababisha vifo, Baba tembea dunia nzima kazi ya udaktari utasahau.Hakuna atakayekupa leseni!Kufukuza madaktari wote sio kazi rahisi kama tunavyodhani...halafu kuwafukuza udaktari sio kuwavua udaktari. Udaktari ni taaluma ambayo mtu anapata baada ya kupitia shuleni kwa muda wa miaka kadhaa...kama wangefanya hivi kwa wakurugenzi wa wilaya na hawa wanaoficha hela kule uswisi mbona Tanzania ingeheshimika.Hili la kufukuza madkatari ni kutesa tu wananchi. By the way daktari sio lawyer au mchumi....tukiwakosa kwa wiki moja tu tutaona cha mtema kuni
mtawalipa sh. Ngapi ndg wewe na serikali yako? Kwenye rangi pana utata na unachokisema.
mtawalipa sh. Ngapi ndg wewe na serikali yako? Kwenye rangi pana utata na unachokisema.
Tukifukuza wengine tutawapata wapi? Tunaota ndoto za mchana mchana...lets be serious on some issues. Kama wabunge wanapewa wanachodai, why not doctors?
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.
Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.
Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''
Mkuu inaonekana ujui nguvu ya dola weye!
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.
Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.
Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''
Mkuu inaonekana ujui nguvu ya dola weye!
Wacha kuota ndoto za jioni wewe! Suluhu nini kila Dr mmoja serikali imlipe milioni 13 kwa mwezi?
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.
Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.
Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''
Serikali haina ubavu huo pambaf wewe mtu anayeweza kufukuzwa ni fa la kama wewe ambaye huna ujuzi wowote ambao ni exceptional wewe umesomea kupost jamii forum lakini huchangii ili iendelee kuwepoHawa madaktari ni vibaraka na wanatumiwa na watu wa aina fulani kuleta chokochoko zao, si bure. Maana kesi iko mahakamani, kwanini wasiheshimu sheria na kungoja uamuzi wa mahakama? isitoshe, madai yao mengi yameshatimizwa. Bado wanataka nini? wanazotaka ni hizi vurugu, hao washughulikiwe ipasavyo mpaka waseme ni nani wanaowatuma, nasema serikali isogope wala isisite kuwachukulia hatua za kuwafukuza kazi kabisa tena.
Wacha kuota ndoto za jioni wewe! Suluhu nini kila Dr mmoja serikali imlipe milioni 13 kwa mwezi?