Madaktari wote waliogoma kufukuzwa kazi na utumishi!

Wachina wanaweza kuichukua hospitali nzima na hao wafanyakazi kulipwa na serikali yao ya uchina ,kuna madaktari kama milioni moja hawana kazi nchini China.

Na wakalimani wanahusika hapa Mwiba, manake tusije pewa dawa za ugonjwa ambao hatukuutamka!
 
serikali si dhaifu tu, but also ruthless...I am sure wanaweza fukuza Doctors wote, maana hakuna jipya from them. They have nothing to offer on table than empty promises.
 
Dr.Chichi kumbe bado hujaona tofauti ya mgomo uliopita na huu wa sasa! Ule wa mwanzo hakukua na amri ya serikali, hivyo serikali ingewafukuza kazi ingebidi iwalipe, which is another burden to the gvt. Safari hii imecheza tricky ambayo wengi wenu hamjaijua, ukifukuzwa hupati chochote maana umedharau amri halali ya mahakama, chezeya dola weye!

Halafu mkuu mjifunze kusoma alama za nyakati. Safari hii hamna back-up ya wananchi, watu wengi hawako upande wenu kwa sababu mmekuwa too demanding and not considerate!

Amri imetolewa against MAT na sio jumuiya ya madaktari keep that in mind.MAT kama MAT haina mamlaka ya kuanzisha mgomo
 
Kufukuza madaktari wote sio kazi rahisi kama tunavyodhani...halafu kuwafukuza udaktari sio kuwavua udaktari. Udaktari ni taaluma ambayo mtu anapata baada ya kupitia shuleni kwa muda wa miaka kadhaa...kama wangefanya hivi kwa wakurugenzi wa wilaya na hawa wanaoficha hela kule uswisi mbona Tanzania ingeheshimika.Hili la kufukuza madkatari ni kutesa tu wananchi. By the way daktari sio lawyer au mchumi....tukiwakosa kwa wiki moja tu tutaona cha mtema kuni
Udaktari bila ya leseni ya kutoa Tiba ni sawa na zero! Wanafukuza halafu wanapoka leseni na halafu wanaeleza sababu ya kupoka hiyo leseni.Ni mgomo na kusababisha vifo, Baba tembea dunia nzima kazi ya udaktari utasahau.Hakuna atakayekupa leseni!
 
mtawalipa sh. Ngapi ndg wewe na serikali yako? Kwenye rangi pana utata na unachokisema.

Ndugu yangu katika hili kwa kuwa linafanyika kwa kukomoana serikali iko tayari kulipa hata mara kumi ya inacholipa sasa hivi. Hivi haujafahamu tu kuwa suala lilikuwa siyo uwezo wa kulipa bali kukomoa kwa sababu mgomo huu unaangaliawa kisiasa zaidi.
 
Wacha watimuliwe maana aliyegoma na aliyetimuliwa wote hawapo kazini. I dont see the difference
 
Tukifukuza wengine tutawapata wapi? Tunaota ndoto za mchana mchana...lets be serious on some issues. Kama wabunge wanapewa wanachodai, why not doctors?

Itaanza kuwatumia Rural Medical Assistant(s) (RMA) kama madaktari. Ukiwa dhaifu ni bora hata husionyeshe kwa watoto, hawa watoto watakaokosa huduma hizi nao watajua kuwa JK na serikali yake ni DHAIFU
 
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.

Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.

Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''

huna vyanzo kaa kimya bwana mdogo
 
Hizo propaganda kuwa Drs wanataka walipwe 13 mil.uongo , anayeeneza hivyo ni mshenzi.Pili 90% ya Dr hawaishi maeneo yao hosp.na wala hawapewi house allowance, sasa hawa wanaoletwa kuna nyumba wa meandaliwa? Au wataenda kuishi uswahilini? Na watakaa kwa muda gani hapa ? Vipi kuhusu mazingira mabovu yao vifaa na wagonjwa? Shame on weak govt.
 
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.

Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.

Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''

Serikali iliyopoteza network inafanya kazi kama samaki mkizi.
 
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.

Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.

Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''

Hao madaktari wanaowatoa baadhi ya nchi za nje wanawalpia kiasi gani? mbona kwa hesabu ndogo itazidi madai ya madaktari wanayodai.
 
Hawa madaktari ni vibaraka na wanatumiwa na watu wa aina fulani kuleta chokochoko zao, si bure. Maana kesi iko mahakamani, kwanini wasiheshimu sheria na kungoja uamuzi wa mahakama? isitoshe, madai yao mengi yameshatimizwa. Bado wanataka nini? wanazotaka ni hizi vurugu, hao washughulikiwe ipasavyo mpaka waseme ni nani wanaowatuma, nasema serikali isogope wala isisite kuwachukulia hatua za kuwafukuza kazi kabisa tena.
Serikali haina ubavu huo pambaf wewe mtu anayeweza kufukuzwa ni fa la kama wewe ambaye huna ujuzi wowote ambao ni exceptional wewe umesomea kupost jamii forum lakini huchangii ili iendelee kuwepo

Join Date : 27th November 2007
Posts : 8,998
Rep Power : 6889
Likes Received 627
Likes Given 452
 
Back
Top Bottom