Baba Collins
JF-Expert Member
- Sep 24, 2011
- 502
- 106
Wacha kuota ndoto za jioni wewe! Suluhu nini kila Dr mmoja serikali imlipe milioni 13 kwa mwezi?
Wala madaktari hawahitaji mshahara mkubwa kiasi hicho Ritz,wanachohitaji hasa ni kuboreshwa kwa mazingira yao ya kazi.
Sana serikali inataka kujiaibisha kwa kuanika kwa uzembe wake kw majirani zake wa EA.