Madaktari wote waliogoma kufukuzwa kazi na utumishi!

Hii ndio matokeo ya wenzetu kutibiwa nje ya nchi. Hawawezi kujua umuhimu wa local hosps.
 
Hawa madaktari ni vibaraka na wanatumiwa na watu wa aina fulani kuleta chokochoko zao, si bure. Maana kesi iko mahakamani, kwanini wasiheshimu sheria na kungoja uamuzi wa mahakama? isitoshe, madai yao mengi yameshatimizwa. Bado wanataka nini? wanazotaka ni hizi vurugu, hao washughulikiwe ipasavyo mpaka waseme ni nani wanaowatuma, nasema serikali isogope wala isisite kuwachukulia hatua za kuwafukuza kazi kabisa tena.

sawa kada, fanya kazi yako..we heard you had CP and been a truant, finally school drop out!! u discredit urself brother.
 
sawa kada, fanya kazi yako..we heard you had CP and been a truant, finally school drop out!! u discredit urself brother.

Never been a dropout in my life, neither in education nor in life.
 
ritz
hizi propaganda umezitoa wapi? Hili suala linamgusa kil mtanzania bila kujali unazi wa kichama; hao unaowatetea wana uwezo wa kwenda india; kumbuka si kila mtanzania analimudu hilo; hilo la mi. 13 umelitoa wapi? Ikiwa wanagombania kuboresha huduma za afya nalo hilo limekuwa kosa la jinai? Ritz funguka kichwa; sasa utaelewa kwa nini tuliopo mtoni hatutaki kurudi bongo maisha ya kubahatisha tulishayasahau.

Chama
gongo la mboto dsm

hao ni vibaraka wa waarabu na wasultani wanatumiwa na waarabu kuleta usultani hapa tanganyika , mshahara wanaoupata unatosha kabisa , mbona wenzao kule zanzibar hawagomi na mshahara wao uko chini mara 5 ya huo wao

wamekosa uzalendo vibaraka wa waarabu na masultani hao
 
hao ni vibaraka wa waarabu na wasultani wanatumiwa na waarabu kuleta usultani hapa tanganyika , mshahara wanaoupata unatosha kabisa , mbona wenzao kule zanzibar hawagomi na mshahara wao uko chini mara 5 ya huo wao

wamekosa uzalendo vibaraka wa waarabu na masultani hao

Umepitia madai ya madaktari? Mbona hili la mishahara ni sehemu ndogo tu ya madai yao acha ushabiki wa kisiasa ambao hauna mantiki yoyote.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Ritz
Hizi propaganda umezitoa wapi? Hili suala linamgusa kil mtanzania bila kujali unazi wa kichama; hao unaowatetea wana uwezo wa kwenda India; kumbuka si kila mtanzania analimudu hilo; hilo la mi. 13 umelitoa wapi? Ikiwa wanagombania kuboresha huduma za afya nalo hilo limekuwa kosa la jinai? Ritz funguka kichwa; sasa utaelewa kwa nini tuliopo mtoni hatutaki kurudi bongo maisha ya kubahatisha tulishayasahau.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Chama.
Kina nani ninawatetea? Usijifanye una uchungu sana kwenye suala ili, halafu kuishi kwako Ulaya huo ni mpango wako wala mie siitaji kujua unatishia watu Ulaya watu wengine bana.
 
Waacha wajaribu kuwafukuza waone. Cha msingi ni kuwatimizia mahitaji yao badala ya kuwatisha. Wanahaki ya kudai malipo zaidi kutokana na mazingira magumu ya kazi zao. Isitoshe kama serikali haina hela kwa nini wakimbilia kuzificha baadhi ya fedha kwenye benki za Uswizi?
Kufukuza madaktari wote sio kazi rahisi kama tunavyodhani...halafu kuwafukuza udaktari sio kuwavua udaktari. Udaktari ni taaluma ambayo mtu anapata baada ya kupitia shuleni kwa muda wa miaka kadhaa...kama wangefanya hivi kwa wakurugenzi wa wilaya na hawa wanaoficha hela kule uswisi mbona Tanzania ingeheshimika.Hili la kufukuza madkatari ni kutesa tu wananchi. By the way daktari sio lawyer au mchumi....tukiwakosa kwa wiki moja tu tutaona cha mtema kuni
 
Udaktari ni taaluma nyeti si kama kazi ya kuuza maandazi au kazi ya kusinzia bungeni pamoja na kukacha vikao vya bunge. Serikali isijaribu kuwatisha madaktari. Iwape haki zao. Mbona yenyewe inapoteza mabilioni kifisadi?
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.

Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.

Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''
 
Hao ma Dr wapo kisiasa wasidanganye watu eti wanapigania wananchi na mazingira bora ya kazi.Halafu wanajiona wao ni muhimu kuliko watumishi wote.Kila mtu ni muhimu kwa nafasi yake.Hii nchi ukitaka ujue ikoje SERIKALI IWATIMUE NA WATAKAOTAKA KUBAKI WAJAZE MKATABA UPYA.Mh Pinda hata sisi wengine tunafanya kazi idara ya afya na tunahitaji maslahi bora.Lakini kudai mshahara wa milioni 3 ni IRRELEVANT.Mh Pinda fanya kazi yako ndugu zetu watanzania wanaumia TIMUA WOTE na utaona watajirudi na utakomesha ujinga wao.Vipi kuhusu wslimu,Wahandisi,manesi,wafamasia,Maafisa afya,Wanajeshi,Polisi!!!!!Wasifikiri wako peke yao nchi hii.
 
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.

Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.

Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''

Serikali imeona huo ndo ufumbuzi? Crape
 
Kwa mujibu wa chanzo muhimu katika wizara ya afya, Serikali imejiandaa kuchukua hatu kali kwa madaktari wote waliogoma ifikapo kesho Ikiwa ''Ni pamoja kuwafukuza kazi na utumishi'' baada ya juhudi za Serikali na za Kimahakama ''KUTOHESHIMIWA''.

Pamoja na hatua hizo pia taratibu za kuandaa madktari mbadala toka taasisi nyingine za Serikali ikiwa ni pamoja na uwezekano wakupata msaada wa dharura wa Madaktari toka mojawapo ya Nchi za Afrika Mashariki, zinaendelea vizuri. Aidha ulinzi nao unaendelea na utaendelea kuimarishwa katika sehemu na maeneo mbalimbali.

Kauli hii bila shaka ina underline tamko la Serikali leo Bungeni kuwa '' LIWALO NA LIWE''



acha kuishi kwa woga katika nchi huru!
 
Jamani hii nchi mambo yametushinda kiasi hichi cha kuanza kutumia Italian style? Mhhh!
 
Hata wakiwafukuza Mdr wa ukweli, ila wajue kuwa "
Despair and frustration will not shake our belief that the resistance is the only way of liberation!"

 
Chupi ya kuazima toka lini ikasitiri ******?
Ufukuze wako kwa kushindwa kuwaangalia kisha ukaazime wa wenzio?
 
Back
Top Bottom