Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

"Damu yangu, na mateso niliyoyapata yawe chachu kwa wenzangu kuendelea kupigania haki yetu ambayo bado haijapatikana-Dr Ulimboka"
 
Mgomo wa madaktari umeisha, kilichobaki ni mauza uza. Huduma zinaendelea kama kawaida. Mwananyamala hosp ,temeke hosp na refferal lugalo. shughuli zinaenda kama kawa.

Kama nina mgonjwa wangu anahitaji CT scan vip nimpeleke moja kwa moja ligalo au sio?
 
Yaani hayo mazingira miaka yote mlikuwa hamjaona kama ni mabaya hadi mwaka huu ndio mmeoana? Ina maana mlikuwa hamfahamu kuwa hakuna CT Scana hadi mwaka huu ndio mmelitambua hilo? Kama kweli mna uchungu na maisha ya walala hoi, mlikuwa wapi zamani kuwatetea? Au kuna kitu kipi kilichowasukuma hadi mkaamua kugoma ndani ya mwaka huu? Mnataka kusema zamani kulikuwa na CT Scan? Au magonjwa ya kutibiwa kwa kutumia CT Scan ndiyo yamekuja mwaka huu? Madakatari rudini kazini maana wananchi wasioweza kulipia huduma katika mahospitali binafsi wanaendelea kufa.
 
Wanaoendelea na mgomo wasiitwe madaktari - hawa ni wauwaji na mumiani wakubwa - madaktari vyeti hawa.

Wamemuua nani Mkuu? Au ndo waliompeleka Dr Uli mabwepande? Nijuavyo mm hii ni nchi ya soko Huria so kama mfanyakazi wako hafanyi kazi ni jukumu lako kumfukuza na kuajiri mwingine na hiyo ndo responsibility ya serikali Ifanye hivyo basi kama vip!

Uliahidiwa maisha bora kwa kila mtanzania na Kikwete na sio Madaktari kwa hiyo huduma bora za Afya huna haki yeyote ya kuwauliza madaktari unatakiwa umuulize uliyempa kura yako kwa ahadi ya huduma bora za Afya sawa sawa?
 
Wanaoendelea na mgomo wasiitwe madaktari - hawa ni wauwaji na mumiani wakubwa - madaktari vyeti hawa.
Muuaji ni dhaifu na madaktari wa uasalama wa Taifa wanaovaa makoti na kupiga picha na kutangaza mgomo umeisha,wakati tuliogoma bado hatujajibiwa,majibu ya siku ile hayakutuingia kichwania na wala hayana uwezo wa kuingia.
 
Na sasa wanaanza kuongelea flyoverz, wkt Hospitali ziko hoi bin taaban. Washauri wa DHAIFU wako katikati ya usingizi wa pono!
Dr's, u hv our full support, do whatever u see favors your practitionalism.
 
Hoja ya madaktari ni sawa na tabia ya kinyonga. Nimeongea na dr mmoja ameniambia live kuwa hoja yao kuu ni Maslah yao binafsi [mishahara na posho], na sio vifaa, siku za hivi karibuni ndio wameanza kubadilisha hoja baada ya kugundua hoja za mishahara mikubwa hazina nguvu mbele ya jamii.
 
So mgomo upo au haupo?
Na mbona serikali inazungumzia ishu ya mshahara tu na hawasemi madai hayo hapo juu ya msingi kabisa.!!
 
Yaani hayo mazingira miaka yote mlikuwa hamjaona kama ni mabaya hadi mwaka huu ndio mmeoana? Ina maana mlikuwa hamfahamu kuwa hakuna CT Scana hadi mwaka huu ndio mmelitambua hilo? Kama kweli mna uchungu na maisha ya walala hoi, mlikuwa wapi zamani kuwatetea? Au kuna kitu kipi kilichowasukuma hadi mkaamua kugoma ndani ya mwaka huu? Mnataka kusema zamani kulikuwa na CT Scan? Au magonjwa ya kutibiwa kwa kutumia CT Scan ndiyo yamekuja mwaka huu? Madakatari rudini kazini maana wananchi wasioweza kulipia huduma katika mahospitali binafsi wanaendelea kufa.
kipindi hicho pia hatuwa na DHAIFU wala LIWALO NA LIWE
 
Ni jf pekee utapata ukweli..
Hizi ni habari mchanganyiko, mara mgomo umeisha, mara mgomo upo! Nielewe lipi? Kama mnagoma gomeni tujue moja, why media nyingi zinasema hakuna mgomo isipokua ni jf pekee inayosema upo? Totally confusing
 
hutakaa usikie tamko lolote,make Dhaifu hataki tuonekane popote,(amedhibiti media kwa gharama kubwa sana) sisi tunafanya mambo down to down,ukitaka TAMKO Peleka mgonjwa MOI au MNH

Hii imekaa vizuri.....ngoma inogile
 
Hizi ni habari mchanganyiko, mara mgomo umeisha, mara mgomo upo! Nielewe lipi? Kama mnagoma gomeni tujue moja, why media nyingi zinasema hakuna mgomo isipokua ni jf pekee inayosema upo? Totally confusing

Mkuu hakuna mgomo, hata JF ni wapenzi wa chama fulani cha kisiasa ndio wasingependa kuona mgomo unaisha. Ila mkuu wangu hakuna mgomo, madr hawakuwa na hoja ya msingi.
 
Mgomo wa madaktari umeisha, kilichobaki ni mauza uza. Huduma zinaendelea kama kawaida. Mwananyamala hosp ,temeke hosp na refferal lugalo. shughuli zinaenda kama kawa.

Haaaaa mpiga propaganda hata aibu huna hospitali ya rufaa lugalo au sio kweli mgomo imeisha
 
Hoja ya madaktari ni sawa na tabia ya kinyonga. Nimeongea na dr mmoja ameniambia live kuwa hoja yao kuu ni Maslah yao binafsi [mishahara na posho], na sio vifaa, siku za hivi karibuni ndio wameanza kubadilisha hoja baada ya kugundua hoja za mishahara mikubwa hazina nguvu mbele ya jamii.

tumeyakatiba
Mkuu acha kujipa matumaini huyo dr ulieongea wa wapi, FYI Doctors wataendelea kugoma japo kwa macho yako unaweza ona kuwa hakuna mgomo...
 
Last edited by a moderator:
Naomba nimunukuu mmoja wa madaktari:
The national with no even one public CT SCAN machine that is currently working, .....

THE NATIONAL HOSPITAL WITH ONE ICU with less than 30 beds.
THE NATIONAL HOSPITAL with no single paediatric ICU.

unafiikiri dr tusipokua pamoja tukawaambia hawa wanasiasa kwamba tunataka mabadiliko. nan atawambia??
IF WE STAND TOGETHER AND TELL THEM THEY WILL UNDERSTAND WHAT WE MEAN.
BUT TUKIRUDI NYUMA TUTAZIDI KUTESEKA WAKATI NCHI NI YAKWETU NA SIO YA POLITICIAL "
WAO WAMESHAJICHUKULIA UKUMBI WA KISASA WA BUNGE WAKATI sisi tuhangaika huku bila dawa
NI WAKATI WETU SISI KUWAMBIA TUNATAKA MAAZINGIRA MAZURI Y A KAZI

madaktari lazima tuchukue jukumu la kuibadilisha nchi yetu tanzania,Tusiwategemee watanzania wenzetu ambao wako hoi na siasa zinaendelea kuwateketeza(Mwisho wa kunukuu)

Ni maamuzi mazuri ila wanahitaji kuwa na mshikamano wa hali ya juu na pia kuungwa mkono na Watanzania walio wengi katika haya mapambano ya kuhakikisha uboreshwaji wa sekta ya afya nchini.
 
Back
Top Bottom