mzalendokweli
JF-Expert Member
- Apr 21, 2012
- 579
- 137
Mgomo wa madaktari umeisha, kilichobaki ni mauza uza. Huduma zinaendelea kama kawaida. Mwananyamala hosp ,temeke hosp na refferal lugalo. shughuli zinaenda kama kawa.
itoshe tu kukwambia kua moyoni mwangu nimekutukana tusi kubwa mno usilolipenda.