Madaktari watangaza kuendelea na mgomo, wasema propaganda haziwezi kufua dafu mbele ya ukweli

Determine

JF-Expert Member
Apr 27, 2012
257
79
Naomba nimunukuu mmoja wa madaktari:
The national with no even one public CT SCAN machine that is currently working, .....

THE NATIONAL HOSPITAL WITH ONE ICU with less than 30 beds.
THE NATIONAL HOSPITAL with no single paediatric ICU.

unafiikiri dr tusipokua pamoja tukawaambia hawa wanasiasa kwamba tunataka mabadiliko. nan atawambia??
IF WE STAND TOGETHER AND TELL THEM THEY WILL UNDERSTAND WHAT WE MEAN.
BUT TUKIRUDI NYUMA TUTAZIDI KUTESEKA WAKATI NCHI NI YAKWETU NA SIO YA POLITICIAL "
WAO WAMESHAJICHUKULIA UKUMBI WA KISASA WA BUNGE WAKATI sisi tuhangaika huku bila dawa
NI WAKATI WETU SISI KUWAMBIA TUNATAKA MAAZINGIRA MAZURI Y A KAZI

madaktari lazima tuchukue jukumu la kuibadilisha nchi yetu tanzania,Tusiwategemee watanzania wenzetu ambao wako hoi na siasa zinaendelea kuwateketeza(Mwisho wa kunukuu)
 
bado halijatolewa tamko hilo maana nao wameanza kuwa kama walimu
 
bado halijatolewa tamko hilo maana nao wameanza kuwa kama walimu
hutakaa usikie tamko lolote,make Dhaifu hataki tuonekane popote,(amedhibiti media kwa gharama kubwa sana) sisi tunafanya mambo down to down,ukitaka TAMKO Peleka mgonjwa MOI au MNH
 
Mgomo wa madaktari umeisha, kilichobaki ni mauza uza. Huduma zinaendelea kama kawaida. Mwananyamala hosp ,temeke hosp na refferal lugalo. shughuli zinaenda kama kawa.
 
Haya twende kama ni kufa kupo tu hata tusipotibiwa na madaktari waendelee kama kawa next week another shaking to silly magambas .Ni zamu ya walimu kuwaonesha udhalimu unaofanywa na Mr. Dhaifu hebu tusubiri mirindimo yake ya pwani. LIWALO NA LIWE
 
Hizi ni habari mchanganyiko, mara mgomo umeisha, mara mgomo upo! Nielewe lipi? Kama mnagoma gomeni tujue moja, why media nyingi zinasema hakuna mgomo isipokua ni jf pekee inayosema upo? Totally confusing
 
Naomba nimunukuu mmoja wa madaktari:
The national with no even one public CT SCAN machine that is currently working, .....

THE NATIONAL HOSPITAL WITH ONE ICU with less than 30 beds.
THE NATIONAL HOSPITAL with no single paediatric ICU.

unafiikiri dr tusipokua pamoja tukawaambia hawa wanasiasa kwamba tunataka mabadiliko. nan atawambia??
IF WE STAND TOGETHER AND TELL THEM THEY WILL UNDERSTAND WHAT WE MEAN.
BUT TUKIRUDI NYUMA TUTAZIDI KUTESEKA WAKATI NCHI NI YAKWETU NA SIO YA POLITICIAL "
WAO WAMESHAJICHUKULIA UKUMBI WA KISASA WA BUNGE WAKATI sisi tuhangaika huku bila dawa
NI WAKATI WETU SISI KUWAMBIA TUNATAKA MAAZINGIRA MAZURI Y A KAZI

madaktari lazima tuchukue jukumu la kuibadilisha nchi yetu tanzania,Tusiwategemee watanzania wenzetu ambao wako hoi na siasa zinaendelea kuwateketeza(Mwisho wa kunukuu)
I am you guys kazeni buti kwa kweli
 
Dhaifu atajua la kufanya na wapuuzi ccyemu wataweka msimamo wao. liwalo na liwe!
 
Hizi ni habari mchanganyiko, mara mgomo umeisha, mara mgomo upo! Nielewe lipi? Kama mnagoma gomeni tujue moja, why media nyingi zinasema hakuna mgomo isipokua ni jf pekee inayosema upo? Totally confusing

U are geting news from very wrong sources! kama vip nenda Muhimbili nn kujipa tabu! nenda pale kabla hujaugua for the sake of couriosity.
 
Wanaoendelea na mgomo wasiitwe madaktari - hawa ni wauwaji na mumiani wakubwa - madaktari vyeti hawa.
 
Back
Top Bottom