Madaktari wastaafu kutumika Muhimbili ni usaliti au uzalendo?

acha watibu jamani watu wachini sisi tusiokuwa na uwezo tutakwisha wabaki matajiri tena wawaongeze kabisa na wanajeshi na hata polisi kama wapo

tatizo lako sio hilo hapo kwenye nyekundu.....
tatizo lako wewe na unaofanana nao ni kuona suala la mtu kudai haki zake za msingi na kibinadamu ni illegal...............
 
warudi kwa wingi ili kuokoa ndugu zetu wanaotaka kupoteza maisha kutokana na mgomo huu. Mi naona ni ubinadamu zaidi kuliko maslai.

nafikiri ubinadamu ufanye kazi kwenye kada zote...........
nakataa unaposema hawa jamaa wako kimaslahi zaidi, 7bu ukiangalia madai yao ni ya msingi na yana lengo ya kuisaidia jamii mzima ya kitanzania.....kama mtanzania ninayehitaji mabadiliko kwenye sekta ya afya nawaunga mkono madaktari kwa hatua wanazozichukua.....
 
nadhani hiyo ni immediate measure kwa tatizo hili wakati wanatafuta suluhisho la kudumu.
Sidhani kama serikali itawacha wagonjwa wafe vivi hivi, hata kama madaktari wamegoma. Kama manesi nao wangegoma nadhani wangeomba hata watu wa kujitolea wa-attend kwa muda wagonjwa.
Ni maamuzi mazuri.

in red, ni immediate measure but its not an appropriate immediate measure.......
nafikiri measure sahihi ni serikali kukaa meza moja na hii kada na kuangalia namna ya kuyafanyia kazi madai yaliyowekwa mezani.......
in blue, nakumbuka kati ya 2007-2008, serikali iliua watu wengi sana pale Muhimbili baada ya Hussein Mwinyi kupuuza madai ya haki za msingi ya kada hii na kuleta madaktari wa jeshi toka Lugalo.......
 
Katika gazeti la mwananchi la leo kuna picha ya daktari mstaafu ambaye serikali imemuajiri kwa mkataba maalum. Watakuwa wengi. Hawa wastaafu wanatumika kuziba pengo la madaktari waliogoma. Ni halali kwao kufanya hivyo? Haikuwa kwao sawa kuwaunga wenzao mkono katika kudai maslahi yao? Au kwa vile wao enzi zao zimepita na hawana cha kupoteza. Labda kwa wakati fulani walishiriki kuihujumu Muhimbili na hospitali zingine kwa kuiba wagonjwa na madawa na vifaa vingine wakahamishia kwenye zahanati zao. Nafikiri ilikuwa wakati muafaka kwao kuwaunga mkono wenzao. Serikali kitu ambacho ingeweza kufanya ni kwenda huko makambi ya jeshi na kuwachukua madaktari wanajeshi kuja kutumika kwenye hiki kipindi cha mputo


RAT RACE IYO MKUU; wakati wa ujana wao wali spend kila shilingi waliyo make and more, walikopa kila kona wanayoweza kukopa; fainali uzeeni imewadia pensheni imeisha; sasa ni mizinga tu kwa vijana wao. Unategemea akipata dili la kuingiza mshiko aliache (heri lawama kaka kuliko....)

Nna imani asilimia kubwa ya wastaafu wakiambiwa warudi maofisini watachekelea mpaka pengo la mwisho.
 
RAT RACE IYO MKUU; wakati wa ujana wao wali spend kila shilingi waliyo make and more, walikopa kila kona wanayoweza kukopa; fainali uzeeni imewadia pensheni imeisha; sasa ni mizinga tu kwa vijana wao. Unategemea akipata dili la kuingiza mshiko aliache (heri lawama kaka kuliko....)

Nna imani asilimia kubwa ya wastaafu wakiambiwa warudi maofisini watachekelea mpaka pengo la mwisho.

Hao ndio kina Luhanjo type. Kwa mtu kama daktari nilitegemea awe na pensheni kubwa sana na mshahara wa kutosha kila mwezi. Bora hawa vijana walipiganie hilo mapema
 
na wameshachemsha leo wanaitisha kikao na uongozi wa mnh kuwaambia workload ni kubwa mno wapunguziwe wasiingie kwenye operation...serikali yetu na viongozi wenye ufinyu wa akili ndio wanaowaua wagonjwa
 
na wameshachemsha leo wanaitisha kikao na uongozi wa mnh kuwaambia workload ni kubwa mno wapunguziwe wasiingie kwenye operation...serikali yetu na viongozi wenye ufinyu wa akili ndio wanaowaua wagonjwa

dah! Hii nayo mpya. Walidhani wataiweza ile kasi waliyokuwa nayo miaka 10 iliyopita? Soon kama mgomo utaendelea utasikia wanajeshi wanaitwa. Hili ndilo tatizo la serikali yetu-kufanya mambo kwa staili ya zimamoto wakati walikuwa na rasilimali za kutosha kushughulikia tatizo la hawa madaktari. Kwa mwendo huu wataajiri wastaafu wengi sana kwa kuwa kuna ishu ya brain drain hapo. Hawa madaktari walishasema kuwa serikali inawatia majaribuni
 
Ni vizuri kuwa realistic sometimes. Sa kwanini wastaafu wakatae. Mbona madaktari hatujaona wanagoma ili kutetea maslshi ya wastaafu.
 
Mnaounga mkono madaktari kugoma kwa madai kuwa kazi yao ngumu so wanastahili malipo makubwa nielezeni ni professional gani inatakiwa kulipwa kidogo?
 
Njaa inawasambua,TZ watu wakistaafu asilimia kubwa huomba wafanye kazi kwa mkataba.Hawa ma Dr wastaafu hapo wanaomba mgomo usiishe!kufa kufaana
 
Mnaounga mkono madaktari kugoma kwa madai kuwa kazi yao ngumu so wanastahili malipo makubwa nielezeni ni professional gani inatakiwa kulipwa kidogo?
hakuna ambaye anapenda kulipwa kidogo. Tatizo ni hao wenye dhamana wanagawa kidogo
 
Mnaounga mkono madaktari kugoma kwa madai kuwa kazi yao ngumu so wanastahili malipo makubwa nielezeni ni professional gani inatakiwa kulipwa kidogo?

Hamna proffesion inayotakiwa kulipwa kidogo...amkeni na mdai haki zenu kwa manufaa ya watoto wenu
 
Madai ya madktari ni ya msingi ila kitendo cha kugomea kufanya kazi ambayo baadaye watalipwa mashahara kwa kugoma kufanya kazi ni kukosa uzalendo kwa ndugu zao wanakufa kwa kukosa huduma.
 
Njaa inawasambua,TZ watu wakistaafu asilimia kubwa huomba wafanye kazi kwa mkataba.Hawa ma Dr wastaafu hapo wanaomba mgomo usiishe!kufa kufaana
. Asiye njaa ni nani? Si vyema kuwatuhumu na kuwahukumu, na je kama wanasukumwa na dhamira ya huruma na uzalendo, ni vyema tukawa na maelezo ya kisayansi zaidi kuliko kuwa nafikra chafu na mbaya. Saikolojia inaeleza bayana juu ya huruma na uzalendo umri unapokuwa mkubwa lakini pia kwa maelezo ya Freud ttutumiayo yanaweza kueleza tabia zetu na hulka. rejea psychoanalysis
 
Asiye njaa ni nani? Si vyema kuwatuhumu na kuwahukumu, na je kama wanasukumwa na dhamira ya huruma na uzalendo, ni vyema tukawa na maelezo ya kisayansi zaidi kuliko kuwa nafikra chafu na mbaya. Saikolojia inaeleza bayana juu ya huruma na uzalendo umri unapokuwa mkubwa lakini pia kwa maelezo ya Freud maneno tutumiayo yanaweza kueleza tabia zetu na hulka. rejea psychoanalysis
 
Ni wakati wa wananchi kuchukua hatua dhidi ya serikali kwa kutochukua hatua zinazohitajika kwa mgogoro huu wa madaktari.
 
Back
Top Bottom