Hao watakuwa Madaktari wanaofanya kazi kwenye hospital zinazoendeshwa kihuni ,sidhani kama ukienda Aghakhan ,marie stope au Kitengule wakufanyie hivyo.
Masana pale yule bingwa marehemu akienda mwanamke ana mimba ya mwezi mmoja yeye anapima njia tena anaingiza vidole anachezea taratibu kwa dakika 10-15. Ataendelea kufanya hivyo kila ukienda clinic hadi miezi 9 ifike.
**** yote hoi
Si kweli aisee hujaingia hata huko chumba Cha operation Kuna vitanda vingi na operation mbalimbali zaendelea sasa anachapaje hapoNataka nikuambie watu wanachapa kama kawa...ngoja kwnza nikuambie madokta wana mbinu nyingi...anaweza akachapa kabla ya kuwaita hao manes au baada ya mgonjwa kupona ni jambo laini sana kwa madokta .....nakuambia ni madokta wachache sana wanaofata ethics lkn wengi wanashindwa na ukiangalia na wanawake wenyewe wa sasa walivyoumbika mtu anashindwa kbs ila sio madokta wote ni baadhi tu.
Shida wanaume mnalazimisha eti madaktari wanafanya wakati hamujawahi kwenda hospital even labour ward hamjui kukoje daktari ka anataks mahusiano atachukua contact mkubaliane nje ya kazi, sio hapo hapo hyo ngumu. Halafu wanaume hamjuhi jinsi watu wanasafishwa mnaforce kufanywa tu bila uhalisiaWewe ni mbishi saana, na inaonekana umekulia mjini! Sio kote kunakuwa na wahudimu wengi, sehemu nyingine ni shidaa na wahudumu ni wachache
Tulia dawa iingie sawasawa. Mliwasimanga walimu eti wana roho mbaya, kumbe kila fani ina mapungufu yake. Vumilia upokee ukweli.Mwongo mkubwa weeee
Shida wanaume mnalazimisha eti madaktari wanafanya wakati hamujawahi kwenda hospital even labour ward hamjui kukoje daktari ka anataks mahusiano atachukua contact mkubaliane nje ya kazi, sio hapo hapo hyo ngumu. Halafu wanaume hamjuhi jinsi watu wanasafishwa mnaforce kufanywa tu bila uhalisia
Lengo langu je kwa nini? Madktari wakike hawafanyi hizi kazi kwa kulinda heshima na kuepuka unyanyasaji wa kisaikolojia kwa mwanamke ? Hata kama ni wachache lakini kwa nini kusiwe na jitihada ili kupunguza hili janga.
Jipe pole wewe kwanza unahangaika na watu hilo tatizo, hafu una akili ndogo kwako mafanikio ni kuwa na wanaume ur useless creatureKama una mume/mchumba pole yake,na kama huna kabisa badilika unless unataka kuwa mtawa
Hii story nimesimuliwa juzi jumanne na meti wangu aisee alinyanyaswa sana na dactari yan mmewake angejua sijui ingekuwaje sasaMiaka ya nyuma nilikua nakaa na bro wangu daktari..sasa nilikua nimelala chumbani baada ya kusoma sana, kushtuka usingizin nikaskia kuna maongezi yanaendelea kati ya bro na mwanamke. Nikajifanya nimelala siskii ila kiufupi yule mwanamke ni wa pale mtaani maana nilichungulia dirishani wakati anaondoka nikamuona.
Alikuwa kaja kumuomba bro ushauri kwamba alibakwa na daktari na akaelezea kwamba alikua anaona kila kitu kinachoendelea japo hakua na nguvu yoyote so sabab nilikuta maongezi katikati nikaelewa alipewa dawa kumlegeza.
Akasema anamsongo wa mawazo mno na alikaa zaidi ya wiki yupo kimya ila akashindwa ikabidi aje kuongea na bro maana hata mmewake alikua hajamwambia bado.
Ni story ndefu ila kiukweli haya mambo yapo na victims wanakua na wakati mgumu kusema. Unaweza itafuta makala flani ya kenya ya jicho pevu kuna daktari aliwekewa mtego wa camera ofisin kwake mtaona alivyokua anawala wagonjwa wanawake. Hata tabora mwaka jana ishu kama hii iliripotiwa
Wewe tusitshane kwani hizo tabia hazpoo hii ni sehemu ya mawazo huruu hatupo kazinii. Mbona imekuuma wakati ni mjadala tuu huuKaka nakushauri kasome na wewe uwe daktari. Tusileteane mambo ya kipuuzi apa
Mzee imekuuma sana wakati tumeongelea wachache ambao hawafati ethics sasa hutaki tujadili , wakati tunatafuta uhalisia wa jambo au tunakuharibia tabia zako mbovuMleta mada akili kisoda, analeta stori za vijiweni, doctor hawezi attend a female patient bila chaperone.
Unajua maana ya chaperone??
Je wee hujawahi kufanya hilo?Mimi Daktari,,,ni kweli anayosema mtoa mada ,huwa wanafanya hasa kwa wale wanaotaka kutoa mimba na sio walioharibikiwa na mimba maana aliyeharibikiwa sehemu haiwi safi.
Wala hata siogopi,Mkuu upo jf na bado unaogopa hadi uandike herufi "x".
Ni hawa wanaodaiwa loan boardWatakuwa hawa madaktari wa miaka hii, zamani haikuwa hivyo.
niliona picha yako profile nikajua ni waziri wa afya mama Gwajiboy kaja kutoa ufafanuzi
Kuna mdada flani ni best yangu,na amenizoea na huwa ni muwaz Sana kwangu.kunasiku alienda hosp alikuwa anasumbuliwa na tumbo la kizaz,so alipoenda akaingia kwa dr. baada ya kujieleza Dr akamwambia kaa hapo ujisisimue uke,hadi utoe majimaji nichukue hayo maji kwa ajili ya vipimo.