Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Naona kuna watu wamekuja juu kama moto wa kifuu kusema madaktari wasichafuliwe...jamani kama Padre/shekhe anabaka au kukawiti who is daktari??? Nayeye ni binadamu na hayo mambo yapo na wanayafanya japo si wote,.Sasa wale wanaofanya ngono na maiti mochuari si ni kaliba hiyohiyo.??
Tobaaaaaaah hadi maiti? Lol
 
Madaktari & Waganga wa kienyeji wanagonga sana wake za watu (wanawake kwa ujumla) Tena wanawagonga kizembe kweli.

Nyie bisheni tu ila ukweli ni WANAWAGONGA SANA WANAWAKE

NB: Maeneo ya kazi.
 
Hata hivyo siyo kila daktari anataka kula mgonjwa,na baadhi yao wako selective,akiona wewe hujamvutia kiviilee,procedures zote zitafanyika akiwepo nesi au mr. wako.
Just imagine mtoto wa form two au three,amekuja kwa daktari akadai anao ujauzito,na daktari aka-confirm,hivyo mtoto anataka kuitoa,na daktari anamtaka,kwanini asimwambie kua ATANUE njia kwa sex?
Wengine hapa mnatetea tu,ila mnajua jinsi madaktari wanavyowafanya wanawake maofisini.
Mimi kwa macho yangu,nimeenda pharmacy ya hospitali moja hivi,taa ilikua imezimwa na mwanachuo yumo mle ndani na mfamasia,nataka kufungua mlango,nikaambiwa ningoje,na ilikua usiku,dada amekaa humo ndani kama dakika 45,ndiyo taa ikawashwa,wakatoka wote mle ndani,kuja kuulizia kwa wazoefu,nikaambiwa alikua anafanya ufuska mle.
Hata hivyo,wadada wanaliwa sana,na wanajua,rejea tukio la hospitali ya Magunga,Korogwe,sikumbuki mwaka,daktari alimruhusu mke wa jamaa,aingie ndani,akaanza kumfanyia matusi,mume akazunguka dirishani,akashuhudia,akapiga kelele,sijui iliishia wapi.Ila wanaliwa sana.
Ukienda vijijini,hao ma CO,zahanati ndiyo loji za kuaminika.
That is so unproffesional, in and all, kila hospitali imeweka taratibu ambazo lazima daktari azifate, kuna hospitali daktari mwabaume haruhusiwi kumuatend mgonjwa bila nurse kuwepo, na tangazo limewekwa kabisa kwenye mlango wa daktari na ndani ya chumba cha daktari

Halafu hospital nyingi za private wamefunga camera kwa hiyo madaktari wanakua waoga

Siamini kama daktari anaweza kumla mgonjwa ndani ya chumba cha daktari unless uniambie wanapeana namba wanarnda kulana hiko nje na sio ndani ya hospitali
 
That is so unproffesional, in and all, kila hospitali imeweka taratibu ambazo lazima daktari azifate, kuna hospitali daktari mwabaume haruhusiwi kumuatend mgonjwa bila nurse kuwepo, na tangazo limewekwa kabisa kwenye mlango wa daktari na ndani ya chumba cha daktari

Halafu hospital nyingi za private wamefunga camera kwa hiyo madaktari wanakua waoga

Siamini kama daktari anaweza kumla mgonjwa ndani ya chumba cha daktari unless uniambie wanapeana namba wanarnda kulana hiko nje na sio ndani ya hospitali
Nenda vituo vya afya na dispensary mbalimbali,watu wanakulana vyumbani,na inaonekana ni kawaida tu.
Mi nimekaa kotazi za watumishi wa afya,kesi kibao huwa zinakuwepo za hawa Clinical officers kutembea na wagonjwa au wake za watu maofisini.
Mlango unafungwa,mtu analiwa,maisha yanaendelea.
Imani ya daktari hawezi kumla mgonjwa,inafanya watu wengi wakae nje na kurelax,kumbe mtu analiwa ndani.
Tuwe tunauliza hawa wadada wanaopata ujauzito na kwenda kuwasihi madaktari wawasaidie,watasema wanaliwaga wapi.
Madaktari wanafunzi tu wanawala,unadhani hizo tabia hawaendi nazo makazini.
CAMERA nyingi ZINAKWEPWA tu.
 
Hayo ya kusafishana k siyajui, ila kuna daktari mmoja alikuwa anawapa dawa za usingizi afu anakula mzigo mshenzi sana ila walisha mtimua kazi
 
Zaidi ya hao wagonjwa, Kazi ya Udaktari kwa mwanamke au Nurse ni hatari Zaidi kuliko hao wagonjwa.

Asilimia kubwa ya Madaktari wakike na Manurse wakike wanaliwa au wameshwahi kuliwa at some point katika Maisha yao na madaktari wa kiume.
Nahisi mwenye mke ambaye ni Daktari au Nurse yupo kwenye hatari Zaidi.
 
That is so unproffesional, in and all, kila hospitali imeweka taratibu ambazo lazima daktari azifate, kuna hospitali daktari mwabaume haruhusiwi kumuatend mgonjwa bila nurse kuwepo, na tangazo limewekwa kabisa kwenye mlango wa daktari na ndani ya chumba cha daktari

Halafu hospital nyingi za private wamefunga camera kwa hiyo madaktari wanakua waoga

Siamini kama daktari anaweza kumla mgonjwa ndani ya chumba cha daktari unless uniambie wanapeana namba wanarnda kulana hiko nje na sio ndani ya hospitali
Na ni muongozo wa wizara ya afya kuwa kumu attend mgonjwa lazima kuwe na nurse wa jinsia tofauti na nimeshuhudia hii hospital tofauti
 
Nilichogundua kuna watu wa aina tofauti wamechangia mada hii,ila nimepata attention zaidi kwa watu aina mbili,kwanza kuna madaktari au wenye ndugu madaktari,hawa wameingia ktk hii mada kwa lengo moja tu la kuitetea fani ya udaktari,pili ni wale ambao hawajawahi kukutana na kadhia za madaktari wasio na weledi hawa nao wameingia kutetea tu wasichokijua,Mimi niwe katikati tu kwamba wapo madaktari ambao bado wana weledi wa taaluma hii sana tu na wanajiheshimu kakini wapo madaktari ambao hawana weledi,hawa wanaweza kufanya chochote tu ili kutimiza malengo binafsi,mfano niliwahi kupewa story na secretary wetu ofisini kwamba ktk hangaika zake za kutafuta suluhisho la kupata mtoto aliwahi kwenda kwa doctor flani ambae ktk mishemishe za kujifanya anampima huko chini akawa anamsugua kisimi kiaina,Dada akagundua janja ya doctor akavaa akasepa na misonyo juu, lakini pia zipo simulizi nyingi tu za vituko vya madaktari duniani sioni sababu kwanini mtu abishe kana kwamba madaktari ni malaika ikiwa hao viongozi wa dini tu wanafanya mambo ya ajabu sembuse madaktari jamani?
Ndio maana tunasema watu wenye na wasio na weledi wapo kwenye fani zote sio madaktari pekee, umesema vyema hata viongozi wa dini wapo, cha msingi ni kila mtu kufanya kazi kwa weledi .
 
Na ni muongozo wa wizara ya afya kuwa kumu attend mgonjwa lazima kuwe na nurse wa jinsia tofauti na nimeshuhudia hii hospital tofauti
Thanks cariha maana hii mada imenichanganya na najikuta siamini kama inawezekana daktari kutekeleza uzinzi ndani ya hospitali na mgonjwa
 
Back
Top Bottom