Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 3,520
- 6,503
Around saa tatu usiku napata bahati ya kutembelea duka Moja la madawa,nyie wenyewe mnaita Sijui famasi kitu kama hicho.
Nimesema bahati coz si kila Mtu hupata nafasi hiyo, Kama unaona sio bahati, ebu nikuulize mara ya mwisho kwenda famasi ni lini?
Anyways Kama nilienda kununua dawa zangu binafsi au za mtu mwingi haupaswi kujua we pigia mstari hapo kisha twende kwenye kusudio la huu uzi.
Mara Pap! Kaingia Mrembo kama wale wa curb Verde kama wewe huwa unaangalia afcon pale Ivory Coast nadhan umeshanielewa.
Akatoa bandiko lake toka Kwa daktari, la haula! Mhudumu kasoma dawa ya kwanza ya pili ile anaenda ya tatu aah wapi! Mwandiko hausomeki, kilichoendelea ni binti kurudi tena kwa daktari ili mambo yawe sawa.
Eti madaktari kuna mahusiano gani ya taaluma yenu na miandiko yenu isiyosomeka Kwa Baadhi yenu?
Jamani wakinijibu naomba mnitag.
Ni hayo tu!
Nimesema bahati coz si kila Mtu hupata nafasi hiyo, Kama unaona sio bahati, ebu nikuulize mara ya mwisho kwenda famasi ni lini?
Anyways Kama nilienda kununua dawa zangu binafsi au za mtu mwingi haupaswi kujua we pigia mstari hapo kisha twende kwenye kusudio la huu uzi.
Mara Pap! Kaingia Mrembo kama wale wa curb Verde kama wewe huwa unaangalia afcon pale Ivory Coast nadhan umeshanielewa.
Akatoa bandiko lake toka Kwa daktari, la haula! Mhudumu kasoma dawa ya kwanza ya pili ile anaenda ya tatu aah wapi! Mwandiko hausomeki, kilichoendelea ni binti kurudi tena kwa daktari ili mambo yawe sawa.
Eti madaktari kuna mahusiano gani ya taaluma yenu na miandiko yenu isiyosomeka Kwa Baadhi yenu?
Jamani wakinijibu naomba mnitag.
Ni hayo tu!