Madaktari wanavyowafanya wake zenu

Habari ndugu zangu udaktari ni kazi ngumu sana na inahitaji moyo kuifanya ninawapongeza waliofanikisha na wanaofanya mpaka sasa maana kuna muda inatia stress sana hivyo huwa nao kuna muda huchoka. Licha ya hayo katika madaktari kuna ambao wana jiheshimu na wanao yapeleka mambo wajuavyo bila heshima na kufuata ethics za udaktari.

Kuna matukio mengi sana ya madaktari kutembea na wake za watu ( hapa naongelea madaktari wa kiume na hasa upande wa uzazi) bila mume kujua na kuelewa kwa kweli ukiachana na swala la wadada kujipendekeza wao wenyewe ila hata hawa watu hutumia nafasi zao kuwarubuni.

Mfano kuna mmoja ya binti jirani yangu aliwahi patwa na tatizo la uzazi hivyo alilazimika kwenda kusafishwa kizazi baada ya maelezo mafupi kuhusu hali yake kilichotokea ni kwamba daktari alimwambia kaa kitandani kama ilivyotaratibu kilichofuata akaambiwa toa nguo akatoa zilizo sehemu ya siri akafanya hatua za mwanzo "akamwongopea yule dada kwamba haiwezikani kusafisha njia mpaka kulainishwe basi dada akakubali basi wakati anasubili mara bwana mkubwa anataka kuweka rungu dada akastuka akakataa " kwa kweli hii habari imenisikitisha sana.

Pili kuna wake za watu wanawekewa vikwazo mpaka waweze kushiriki tendo na wataalamu wetu licha ya hilo kuna wale wakipewa huduma kwa sababu wamewachungulia basi madaktari hutumia nafasi hizo kuwatafuta na kuwatafuna.

Lengo langu je kwa nini? Madktari wakike hawafanyi hizi kazi kwa kulinda heshima na kuepuka unyanyasaji wa kisaikolojia kwa mwanamke ? Hata kama ni wachache lakini kwa nini kusiwe na jitihada ili kupunguza hili janga.

Je, haya mambo yapo kwa kiasi gani? Kama unajua sema kidogo juu ya hili na sisi kama jamii hili swala ni sawa?

Je, kuna kuna sheria za kulinda haki ya mgonjwa kati ya daktari (haswa wakiume kwa wakike na kivipi wakati wanakua wawili tu), (daktari wa kike kwa wakiume tusemezane pia kama ipo) ikiwa imebainika kuna unyanyasaji?

Malalamiko yako mengi nimetoa mifano kidogo ili kuelewesha wapi nalenga ila hapa nataka tujadili kwa upana hili swala hivyo nakarbisha mawazo yenu kwa uliyosikia na kushuhudia ili kuona namna ya kulikabili hili tatizo.

Mungu awalinde madaktari wawe na moyo mwema wa kujituma bila tamaa bila kwenda nje ya kanuni zao.

Amina.
bla blaaaaaaaaaa bshxxgxbjshsgssfsgsbvsbsgsgsvsvsvsbsbsbsbsbsb
 
Kuna viumbe wa ajabu humu!! Inashabikia ushenzi unaofanywa na madaktari wasiojitambua. Wewe Mudada mzima na akili zako unamtetea huyo anaewaingilia dada/mama zako, au nanyi wameshawatenda!!!!!!
 
Thanks cariha maana hii mada imenichanganya na najikuta siamini kama inawezekana daktari kutekeleza uzinzi ndani ya hospitali na mgonjwa
Ni ngumu Sana, Kama dr kampenda mtu huwa wanachukua contact na sio kufanya ndani ya hospital, wengi wanaolaumu ni wanaume na hawajui taratibu, wameskia story za vijiweni, imagine mfano hospital za serikali jinsi Zina misongamano ya wagonjwa hasa kina mama, dr anafanya saa ngapi.
 
Ni ngumu Sana, Kama dr kampenda mtu huwa wanachukua contact na sio kufanya ndani ya hospital, wengi wanaolaumu ni wanaume na hawajui taratibu, wameskia story za vijiweni, imagine mfano hospital za serikali jinsi Zina misongamano ya wagonjwa hasa kina mama, dr anafanya saa ngapi.
Yeah wengi ni maneno ya mtaani ambayo hayana ukweli
 
Yeah wengi ni maneno ya mtaani ambayo hayana ukweli
Na wewe umeamini kuwa ni uongo wanalika sana pigwa dawa za usingizi anapanda juu kwisha habari nasema haya kwa kuona sio kusikia, hospitali zenye utaratibu ni za huko kwenu hindu, sijui muhi2 nk nk njoo hospitali za kwetu huku
 
Na wewe umeamini kuwa ni uongo wanalika sana pigwa dawa za usingizi anapanda juu kwisha habari nasema haya kwa kuona sio kusikia, hospitali zenye utaratibu ni za huko kwenu hindu, sijui muhi2 nk nk njoo hospitali za kwetu huku
Duuh, this is scaring
 
Acha nikae kimya tyuuh, kuna ma Dr wengine ni mafedhuli kutwa kuharibu watoto watu hasa wa kiume,

Kuna hospital x ipo wilaya x mkoa wa pwani, kuna Dr wa hapo kazi yake ni kuharibu watoto wa kiume wanaokuja hospital hapo kupata matibabu hasa wa secondary.

Haya mambo yapo kweli, sio ya kupuuzwa.
Nyie ndo mnaendekeza uharibifu huu. Kwanini usitaje hatua zikachukuliwa,mnafurahia kuendelea kuzalisha mashoga hapa Nchini?
 
Hizo sheria za kinyonyaji sana. Ukienda kwenye taasisi zenu ukiwa wa dini tofauti haupati huduma. Mnaanza kulazimishwa muende msikitini sijui wapi wakati zama tulizo nazo dini hazina kipaumbele tena.
Sheria za Waislamu ni solution
 
Huenda hijui unachokielezea kwa ufasaha! Ni ngumu mno kwa daktari kumuingilia mwanamke anayehitaji kufanyiwa dnc au kusafishwa kizazi kwani hadi afikie kupewa huduma hiyo basi mfumo wake wote wa uzazi utakuwa una tatizo kubwa na huenda unatoa harufu mbaya kiasi kwamba daktari au yeyote hatokuwa na wazo la kumuingilia.

Poa mteja anaweza kuwa kwenye maumivu makali ya sehemu hizo kiasi kwamba hatoweza kuhimili kuongezewa maumivu mengine! Tuwaheshimu na kuhemimu tasnia ya udaktari na acha kuwavuruga na kuwachafua! Ukiona vipi mkeo na bintiyo usiwapeleke hospitali Baki nao nyumbani.
Madaktari ni wapenda ngono wote,,,

Kuna mwaka mwanangu alikuwa ana tatizo la mguu,,alichomwa sindano hospital ya Massana,

Baadae ile sindano ikataka kumletea matatizo awe mlemavu ,, tukashauriwa twende mwananyamara hospital aonane na daktari sijui wa viungo,, Kuna jina kitaalamu anaitwa,

Basi tukaenda,,yule daktari ikawa kila tukienda namlipa efu 30, japo ni bure huduma kwa watoto umri ule, ilikuwa kumpa moyo tu amuhudumiwe vizuri mtoto,

Kule kwenye chumba Cha iyo tiba akawa anaingia wife me nabakia nje kabisa ,namuoneaga huruma mtoto akilia,,

Basi yule fala akawa anamsumbua wife kila mara ,mara atake kumtekenya, wife akaniambia,,


Nilimfanyiaga kitu mbaya baadae yule mbwa
 
Madaktari ni wapenda ngono wote,,,

Kuna mwaka mwanangu alikuwa ana tatizo la mguu,,alichomwa sindano hospital ya Massana,

Baadae ile sindano ikataka kumletea matatizo awe mlemavu ,, tukashauriwa twende mwananyamara hospital aonane na daktari sijui wa viungo,, Kuna jina kitaalamu anaitwa,

Basi tukaenda,,yule daktari ikawa kila tukienda namlipa efu 30, japo ni bure huduma kwa watoto umri ule, ilikuwa kumpa moyo tu amuhudumiwe vizuri mtoto,

Kule kwenye chumba Cha iyo tiba akawa anaingia wife me nabakia nje kabisa ,namuoneaga huruma mtoto akilia,,

Basi yule fala akawa anamsumbua wife kila mara ,mara atake kumtekenya, wife akaniambia,,


Nilimfanyiaga kitu mbaya baadae yule mbwa
ulimfanyaje? Khaaaah
 
Huenda hijui unachokielezea kwa ufasaha! Ni ngumu mno kwa daktari kumuingilia mwanamke anayehitaji kufanyiwa dnc au kusafishwa kizazi kwani hadi afikie kupewa huduma hiyo basi mfumo wake wote wa uzazi utakuwa una tatizo kubwa na huenda unatoa harufu mbaya kiasi kwamba daktari au yeyote hatokuwa na wazo la kumuingilia.

Poa mteja anaweza kuwa kwenye maumivu makali ya sehemu hizo kiasi kwamba hatoweza kuhimili kuongezewa maumivu mengine! Tuwaheshimu na kuhemimu tasnia ya udaktari na acha kuwavuruga na kuwachafua! Ukiona vipi mkeo na bintiyo usiwapeleke hospitali Baki nao nyumbani.
😂😂
 
Habari ndugu zangu udaktari ni kazi ngumu sana na inahitaji moyo kuifanya ninawapongeza waliofanikisha na wanaofanya mpaka sasa maana kuna muda inatia stress sana hivyo huwa nao kuna muda huchoka. Licha ya hayo katika madaktari kuna ambao wana jiheshimu na wanao yapeleka mambo wajuavyo bila heshima na kufuata ethics za udaktari.

Kuna matukio mengi sana ya madaktari kutembea na wake za watu ( hapa naongelea madaktari wa kiume na hasa upande wa uzazi) bila mume kujua na kuelewa kwa kweli ukiachana na swala la wadada kujipendekeza wao wenyewe ila hata hawa watu hutumia nafasi zao kuwarubuni.

Mfano kuna mmoja ya binti jirani yangu aliwahi patwa na tatizo la uzazi hivyo alilazimika kwenda kusafishwa kizazi baada ya maelezo mafupi kuhusu hali yake kilichotokea ni kwamba daktari alimwambia kaa kitandani kama ilivyotaratibu kilichofuata akaambiwa toa nguo akatoa zilizo sehemu ya siri akafanya hatua za mwanzo "akamwongopea yule dada kwamba haiwezikani kusafisha njia mpaka kulainishwe basi dada akakubali basi wakati anasubili mara bwana mkubwa anataka kuweka rungu dada akastuka akakataa " kwa kweli hii habari imenisikitisha sana.

Pili kuna wake za watu wanawekewa vikwazo mpaka waweze kushiriki tendo na wataalamu wetu licha ya hilo kuna wale wakipewa huduma kwa sababu wamewachungulia basi madaktari hutumia nafasi hizo kuwatafuta na kuwatafuna.

Lengo langu je kwa nini? Madktari wakike hawafanyi hizi kazi kwa kulinda heshima na kuepuka unyanyasaji wa kisaikolojia kwa mwanamke ? Hata kama ni wachache lakini kwa nini kusiwe na jitihada ili kupunguza hili janga.

Je, haya mambo yapo kwa kiasi gani? Kama unajua sema kidogo juu ya hili na sisi kama jamii hili swala ni sawa?

Je, kuna kuna sheria za kulinda haki ya mgonjwa kati ya daktari (haswa wakiume kwa wakike na kivipi wakati wanakua wawili tu), (daktari wa kike kwa wakiume tusemezane pia kama ipo) ikiwa imebainika kuna unyanyasaji?

Malalamiko yako mengi nimetoa mifano kidogo ili kuelewesha wapi nalenga ila hapa nataka tujadili kwa upana hili swala hivyo nakarbisha mawazo yenu kwa uliyosikia na kushuhudia ili kuona namna ya kulikabili hili tatizo.

Mungu awalinde madaktari wawe na moyo mwema wa kujituma bila tamaa bila kwenda nje ya kanuni zao.

Amina.
Mkuu usemayo ni kweli kabisa,,

Madaktari wengi wa kiume wanawagonga wanawake sana tu.

Either kwa hiari Au kwa ulaghai.

--Umeshawahi kujiuliza daktari anachukuwa namba za simu za mkeo kwa sababu zipi?

-- Kama daktari ameshaona utupu wa mkeo kuna kipi cha mkeo kuzuia mbunye isiliwe na daktari?

Tuache kujifariji huku tunalilia tumboni.
 
Back
Top Bottom