Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,995
- 8,917
Sasa kama wao wamechanjwa na wanaambukizwa na kufa,sasa sisi tuchanje ili iweje tena??Jana waganga wa vituo vya afya vyote waliitwa Dar kwenye kikao na viongozi wa wizara ya afya, viongozi wa serikali na wafadhili. Katika maazimio yao walipendekeza serikali itangaze chanjo iwe ni lazima kwa kila mtu atake asitake.
Sababu ya kutaka chanjo iwe lazima ni kwamba madaktari wengi wanafariki kwa covid kutokana na kuambukizwa na wagonjwa pale wanapowapa huduma.
Swali la kujiuliza, wafadhili waliitwa kwenye hicho kikao ili iweje?
View attachment 1941596