#COVID19 Madaktari waishauri Serikali chanjo ya Corona kuwa ya lazima

Jana waganga wa vituo vya afya vyote waliitwa Dar kwenye kikao na viongozi wa wizara ya afya, viongozi wa serikali na wafadhili. Katika maazimio yao walipendekeza serikali itangaze chanjo iwe ni lazima kwa kila mtu atake asitake.

Sababu ya kutaka chanjo iwe lazima ni kwamba madaktari wengi wanafariki kwa covid kutokana na kuambukizwa na wagonjwa pale wanapowapa huduma.

Swali la kujiuliza, wafadhili waliitwa kwenye hicho kikao ili iweje?
View attachment 1941596
Madaktari wengi ambao wanafariki ni wa nchi gani?....
Madaktari hao walioshauri ni sehemu ya mazezeta....
Unasema chanjo lazima wakati hutengenezi chanjo.....huu ni upumbavu wa hali ya juu....hii mitoto ya siku hizi vilaza sana...
Wapi mrejesho wa waliopata chanjo na wakapata madhara....dunia haina siri
 
Jana waganga wa vituo vya afya vyote waliitwa Dar kwenye kikao na viongozi wa wizara ya afya, viongozi wa serikali na wafadhili. Katika maazimio yao walipendekeza serikali itangaze chanjo iwe ni lazima kwa kila mtu atake asitake.

Sababu ya kutaka chanjo iwe lazima ni kwamba madaktari wengi wanafariki kwa covid kutokana na kuambukizwa na wagonjwa pale wanapowapa huduma.

Swali la kujiuliza, wafadhili waliitwa kwenye hicho kikao ili iweje?
View attachment 1941596
Madaktari wanakuafaje na wao wamechanja?

Aliyechanja haambukizi? kwa. nini watuhumu kuambukizwa na asiyechanja na sio yule aliyechanja?

Toka lini wakawa na uchungu na maisha binafsi ya mtu?

Haya mambo ya kulazimishana yakiendelea itafika hatua watu watalazimishwa kwenda nyumba za ibada kwa kisingizio cha kuwahurumia watenda dhambi.

Sigara zinaua maelfu mbona hawalalamikii tumbaku kulimwa?

Watoe takwimu za vifo kutokana na magonjwa yote ili tuone uhalisia kwa kulinganisha.
 
Madaktari wanakuafaje na wao wamechanja?

Aliyechanja haambukizi? kwa. nini watuhumu kuambukizwa na asiyechanja na sio yule aliyechanja?

Toka lini wakawa na uchungu na maisha binafsi ya mtu?

Haya mambo ya kulazimishana yakiendelea itafika hatua watu watalazimishwa kwenda nyumba za ibada kwa kisingizio cha kuwahurumia watenda dhambi.

Sigara zinaua maelfu mbona hawalalamikii tumbaku kulimwa?

Watoe takwimu za vifo kutokana na magonjwa yote ili tuone uhalisia kwa kulinganisha.
Ndio maswali nayojiuliza pia
 
Ndio maswali nayojiuliza pia
Kauli ya hao madaktar ina prove kwamba chanjo Ni kiini macho tu, Kuna ajenda kwenye hyo chanjo, maana kama wanakufa na wamechanjwa swal tunachanja ili?? Wao waseme tu Kama serikal imewatuma waje na hyo njia au la, maana wametumia hyo ya kuwaambia watu wachanje imedunda. Wanakuja na kampen cjui ya wki ya kuchanja holllaaaa, Sasa mtoa pesa kawakalia pabaya kwel wao wale tu ila kunasiku zitawatokea popote kwenye tundu la binadam,

Wawe na BUSARA kidg wasiendeshwe tu kisa pesa, Sasa kama wanakufa tunachoma nn ss,
 
Nimegundua kujua kuandika kwa kiingereza au kujua kusema maneno kama research, basis, scientific, ni usomi mkubwa humu na sababu ya wengi kujiona elites, kwamba wao wanajua zaidi sayansi.

Ukitaka chanja, usipotaka chanja, hakuna msomi wala mjinga aliyewahi kulisaidia hilj taifa la wadanganyika, na zaidi naweza sema, wajinga wakubwa ni wanaidhani wao ni wasomi.
 
Nimegundua kujua kuandika kwa kiingereza au kujua kusema maneno kama research, basis, scientific, ni usomi mkubwa humu na sababu ya wengi kujiona elites, kwamba wao wanajua zaidi sayansi.

Ukitaka chanja, usipotaka chanja, hakuna msomi wala mjinga aliyewahi kulisaidia hilj taifa la wadanganyika, na zaidi naweza sema, wajinga wakubwa ni wanaidhani wao ni wasomi.
🤣 mkuu naona hawa watu wamekuvuruga kweri kweri......
 
🤣 mkuu naona hawa watu wamekuvuruga kweri kweri......
Bwana wee, mtu anapojimwambafy halafu anaacha maswali mengi yasiyo na majibu inahuzunisha sana! Mtu anayeanza kwa kujitanabaisha kuwa yeye ni msomi, hana tofauti na "unanijua mi ni nani"

Hawa wasomi wa kukariri na kukumbuka wanatunyanyasa sana humu.
 
Msimlishe Mwenyekiti wetu maneno. Yeye alishasema ni hiari. Kama kuna watu wamekufa kutokana na chanjo nani aendelee kuchanjwa???
Mbona wakati yupo na gwajima hakutamka neno hiyari mpaka wananchi wakamwambia hatuchanjiiiii Bi Mudawote mbona unapingana na chama chako na waziri wako wa afya?
 
Inasikitisha. Kuna watu wengi wamekufa kutokana na chanjo. Ushahidi upo mwingi mno, kila mtu anajua. Waache kujipendekeza, hakuna mtanzania atakaye jipeleka kwenye kifo.
Wao wenyewe sababu yao kuu ya kutaka chanjo iwe lazima wanadai wanakufa sana na corona wanapohudumia wagonjwa wa corona.
Inamaana hata wao hawajachanja? Km wamechanja iweje wanakufa wakati wana kinga?
Serikali isithubutu huo upuuzi wa kufanya nchanjo kuwa lazima. Tuliogomea chanjo tuheshimiwe!
 
Zoezi la chanjo lingeliunganishwa na zoezi la Sensa ili kurahisisha na kuweka takwimu vizuri zaidi.
Hata hivyo Madaktari wangelibuni mbinu mbadala ya kurahisisha utoaji wa chanjo kwenye Hospital zote nchini ikiwa ni pamoja na wenye kutembelea ndugu, jamaa na rafiki kwenye Hospital za Serikali na Binafsi walau miongoni mwao wawe wamepata chanjo.

Utafanyandugu wa hao wagonjwa wawatelekeze na kuisusia serikali na serikali haitakuwa na uwezo wa kuwa hudumia wote.
 
Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.

Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.

Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
  • wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
  • Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
Mkuu unaonekana wewe ni mshauri mzuri sana, yaani una kahekima fulani hivi, yaani kama unataka hutaki vile! Hongera nakuelewa sana msimamo wako na hutaki kuonekana mna uhusiano fulani na Gwaji..
 
Kac
Kwani chanjo ya watanzania tu? mbona tunapenda kujitoa ufahamu utasema sisi USA kila mtu anatuonea wivu nchi yenyewe tunajaza wamachinga tu, Kuna watu hawaijui hata Tanzania iko wapi lakini ukisikia watu humu utadhani donors kumbe tunapigia hesabu pesa za misaada tu na tozo za miamala.
Kachanje wacha kiherehere,
Ukishachanja uwezekano wa kufa ni mdogo kwa corona.
Kama marekani watu walipewa dola mia kwani hapa wameshindwa kupat pesa ya msaada ya kuwapa watu hata elfu 20 tu? Wakachanje kwa hiali?
 
Kwani chanjo ya watanzania tu? mbona tunapenda kujitoa ufahamu utasema sisi USA kila mtu anatuonea wivu nchi yenyewe tunajaza wamachinga tu, Kuna watu hawaijui hata Tanzania iko wapi lakini ukisikia watu humu utadhani donors kumbe tunapigia hesabu pesa za misaada tu na tozo za miamala.
Hoja yako ni nini!! Naona una bwabwaja tu
 

Similar Discussions

16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom