mwakaboko
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 1,929
- 757
madaktari ni muhimu watafakari upya ajenda yao ya mgomo. mgomo wao wangeuitisha mwezi wa tisa baada ya kuangalia utekelezaji wake wa bajeti. wakumbuke even today ktk watumishi wa umma wao wanalipwa vizuri kuliko wengine.Tuko pamoja Mkuu! Badala ya sisi wanachi kuwalalamika madaktari ambao kimsingi madai yao yana hoja, ni wajibu wetu kuidai serikali tunayoilipa kodi huduma nzuri ya afya! Hatuna mkataba na wadaktari bali na serikali!
hata madai yao mengi yametekelezwa, waipe muda serikali