Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

Sasa kaka hujui tofauti baina ya kutibiwa na kufundishiwa?Huko marekani ukiingia teaching hospital hujue watu watafindishwa kupitia wewe,you may refuse invasive procedure from medical students but not to be teached up on you
 
Sasa kama wagonjwa katika teaching hospital watapewa huru wa kukataa au kukubali kufundishiwa ,mwisho wa siku wagonjwa wote watakataa kufundishiwa na hao wanfunzi watafundishiwa wapi.

Kumbuka kufundishiwa ni usumbufu hakuna mtu anayekubali kirahisi na ndio maana kuna teaching hospital na bei zake ni nafuu sana ili kuwavutia watu
 
Pole mkuu kwa yote,lakini watanzinia inatupasa kutambua kwamba unapoingia teaching hospital umeshasign conset ya kuwa teaching model,hakuna conset zaidi ya ile kuwa teaching hospital.Kama hautaka mgonjwa wako afundishiwe wanafunzi please mpeleke hospitali isiyokuwa teaching hospital,tena ukikataa mgonjwa wako kufundishiwa inapaswa ufukuzwe kwenye teaching hospital.

Mimi siyo daktari lakini ninavyoelewa, professionally, mgonjwa anatakiwa aridhie kwanza kabla ya kutumika katika kufundishia.

Pia ni mhuhimu kwa mgonjwa kuridhia kabla ya daktari kutumia information zake kwa ajili ya kufundishia.

Unadai kuwa mgonjwa anapoingia kwenye "teaching hospital" kama Muhimbili automatically anakuwa amesharidhia kutumika katika kufundishia.

Sasa, kwa mfano, Muhimbili mgonjwa atajuaje kuwa akienda pale automatically atakuwa ameridhia kutumika katika kufundishia?
 
Kama madaktari wetu ndio aina kama yako ndio maana tunakuwa na matatizo. Sasa wewe unasema worldwide, halafu hapohapo unalikataa chapisho la kisayansi. Evidence kutoa hutaki, obviously kwa sababu huna.

Kama nchi ya kiarabu unaona haifai kutumika kama mfano basi nakupa mfano huu wa Marekani. Notice palipoandikwa "To inform you that we are a teaching hospital and that you have the right to refuse treatment from a health care student, intern or resident. You can request a consultation with another provider at any time." Soma hapa Patient Rights

Kama unataka evidence zaidi sema nikuletee. Cha muhimu, kuwa tayai kujifunza, hizi tabia za kujiaminisha fulani kilaza bila kuwa na evidence haziwapeleki kuzuri...

Usipoteze nguvu zako kwa hao madokta wetu wanywa viroba. Walikuwa huko mikoani dar walikuja kwa ajili ya chuo tu . Sasa baada ya ushamba kuwatoka wanamuona kila mtu kilaza . Na kila kitu wanajua wao. Yaani kwa kifupi wanaona pale muhimbili ni kama new york. Na wanajiona wao wana akili kuliko mtu yeyote tanzania nzima. Sasa maringo yaani wanaringa kuliko wanawake . Yaani ukiwafuatilia au kuwasikiliza unaweza ukawapiga makofi kwa hasira
 
Kaka bado uelewa katika hili ni mdogo sana,you have rights ot refuse treatment,sawa lakina sio kukataa wanfunzi wasifundishwe kupitia wewe,kwani yule mgonjwa wa mleta mada alikuwa anatibiwa na wanfunzi?acha ukilaza wewe!!!!!!!!!

Ongelea mambo ya field yako

una maana aongelee mambo ya siasa??
 
Kaka bado uelewa katika hili ni mdogo sana,you have rights ot refuse treatment,sawa lakina sio kukataa wanfunzi wasifundishwe kupitia wewe,kwani yule mgonjwa wa mleta mada alikuwa anatibiwa na wanfunzi?acha ukilaza wewe!!!!!!!!!

Ongelea mambo ya field yako

Lengo langu ni kukusaidia ili ujue dunia iko wapi. Kama mmeamua kuwa Muhimbili mtawatumia watu kufundisha bila kuheshimu matakwa yao na kwamba wakikataa mnawafukuza shauri yenu, lakini usidanganye watu kuwa huo ndio utaatibu wa worldwide, no way. Huna evidence lakini unakataa evidence ninazokupa. Mimi sitachoka kukupa evindence zaidi.
Angalia chapisho hili na NHS ya Uingereza. Soma sehemu inayozungumzia Experiments, medical research and teaching wanasema "You have the right to refuse to participate in teaching without your treatment being affected. If you do not want to be involved in teaching, it is advisable to inform the hospital in advance." Kwa hiyo kama ulikuwa unadhani mnavyofanya Muhimbili ndio utaratibu uliokuwepo worldwide, ulikuwa unajidanganya.
Soma hapa Citizens Advice - NHS patients' rights

By the way, jifunze kuongea na kufanya kazi kwa evidence. Hii ni era ya Evidence Based Medicine, sio era ya kujitamba kuwa mjuaji with empty words. Do you have any evidence to support your arguments?
 
Mimi siyo daktari lakini ninavyoelewa, professionally, mgonjwa anatakiwa aridhie kwanza kabla ya kutumika katika kufundishia.

Pia ni mhuhimu kwa mgonjwa kuridhia kabla ya daktari kutumia information zake kwa ajili ya kufundishia.

Unadai kuwa mgonjwa anapoingia kwenye "teaching hospital" kama Muhimbili automatically anakuwa amesharidhia kutumika katika kufundishia.

Sasa, kwa mfano, Muhimbili mgonjwa atajuaje kuwa akienda pale automatically atakuwa ameridhia kutumika katika kufundishia?

Kaka ukisikia ni teaching hospital ujue hapo watu wanafundishwa kupitia wagonjwana mgonjwa mwenyewe ni wewe.Kama ulikuwa hujui kuanzia leo jua hivyo kaka,usije ukaenda pale muhimbili ukaanza kugombana na madaktari,kama hutaki kufundishiwa nenda hospitali nyingine isiyokuwa teaching hospital hakuna atakayekugasi huko
 
Mimi siyo daktari lakini ninavyoelewa, professionally, mgonjwa anatakiwa aridhie kwanza kabla ya kutumika katika kufundishia.

Pia ni mhuhimu kwa mgonjwa kuridhia kabla ya daktari kutumia information zake kwa ajili ya kufundishia.

Unadai kuwa mgonjwa anapoingia kwenye "teaching hospital" kama Muhimbili automatically anakuwa amesharidhia kutumika katika kufundishia.

Sasa, kwa mfano, Muhimbili mgonjwa atajuaje kuwa akienda pale automatically atakuwa ameridhia kutumika katika kufundishia?

Unavyoelewa ni sahihi kabisa. Huyu mchangiaji hapa nadhani hakuelewa vizui somo hilo lilipofundishwa.

Tunachoweza kujadili ni je, concent lazima iwe written au verbal concent inatosha, lakini kusema kuwa mgonjwa lazima atumike na akikataa anafukuzwa ni dalili ya upungufu wa akili - excuse my language...

By the way, mchangiaji vilevile anatakiwa kujua kuwa muhimbili ni referral hospital na wagonjwa wengi hawaji hapo kwa hiari yao.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Lengo langu ni kukusaidia ili ujue dunia iko wapi. Kama mmeamua kuwa Muhimbili mtawatumia watu kufundisha bila kuheshimu matakwa yao na kwamba wakikataa mnawafukuza shauri yenu, lakini usidanganye watu kuwa huo ndio utaatibu wa worldwide, no way. Huna evidence lakini unakataa evidence ninazokupa. Mimi sitachoka kukupa evindence zaidi.
Angalia chapisho hili na NHS ya Uingereza. Soma sehemu inayozungumzia Experiments, medical research and teaching wanasema "You have the right to refuse to participate in teaching without your treatment being affected. If you do not want to be involved in teaching, it is advisable to inform the hospital in advance." Kwa hiyo kama ulikuwa unadhani mnavyofanya Muhimbili ndio utaratibu uliokuwepo worldwide, ulikuwa unajidanganya.
Soma hapa Citizens Advice - NHS patients' rights

By the way, jifunze kuongea na kufanya kazi kwa evidence. Hii ni era ya Evidence Based Medicine, sio era ya kujitamba kuwa mjuaji with empty words. Do you have any evidence to support your arguments?

Yaani ndugu yangu wewe ni mgumu kuelewa,hata Muhimbili kama utaki kufundishiwa toa taarifa kwa uongozi,sio kusumbua madaktari wodini,ili ni teaching hospital,ukikataa kufundishiwa hamia IPPM na matibabu yako hayataathirika na kitu chochote.Unasoma articl alafu huzielewi,lakini tatizo sio field yako but unakomaa tu,wewe kweli mkomavu inaeelekea sura yako imukunjana njoo tukufanyie plastic surgery
 
Mkuu unajifanya unajua lakini hujui kitu,kama unajua basi katika mabo ya field yako haya mengine tuachie wenyewe,ukiona hospital imeandika teaching hospital popte pale duniani ujue ukiingia hapa utatumika kufundishia lazima regardless private university or public university.

Huu ni uongo wa kutupwa. Personally, nimeshakwenda kwenye university hosipitals mara nyingi na daktari alikuwa ananiuliza kabla kama nitamind kama akinihudumia na huku akiwepo mwanafunzi for training training.

Kwa kutambua umuhimu wa training na kwa vile hata kwenye fani yangu nilipitia through hizo trainings ili kupata practical experience nilikuwa nilikubali.

Kwa vile huu utaratibu haufanyiki Tanzania, basi usidhani kwamba haufanyiki kwenye nchi nyingine.

Tena acha kabisa kujaribu kujustify hiyo practice maana wengine tuna mpaka ndugu zetu walifanyiwa operesheni na wanafunzi Muhimbili bila hata ridhaa yao na wakafariki kwa sababu ya wanafunzi kukosea operesheni.
 
Yaani ndugu yangu wewe ni mgumu kuelewa,hata Muhimbili kama utaki kufundishiwa toa taarifa kwa uongozi,sio kusumbua madaktari wodini,ili ni teaching hospital,ukikataa kufundishiwa hamia IPPM na matibabu yako hayataathirika na kitu chochote.Unasoma articl alafu huzielewi,lakini tatizo sio field yako but unakomaa tu,wewe kweli mkomavu inaeelekea sura yako imukunjana njoo tukufanyie plastic surgery

Ninaamini umeshajifunza kitu...
 
Unavyoelewa ni sahihi kabisa. Huyu mchangiaji hapa nadhani hakuelewa vizui somo hilo lilipofundishwa.

Tunachoweza kujadili ni je, concent lazima iwe written au verbal concent inatosha, lakini kusema kuwa mgonjwa lazima atumike na akikataa anafukuzwa ni dalili ya upungufu wa akili - excuse my language...

By the way, mchangiaji vilevile anatakiwa kujua kuwa muhimbili ni referral hospital na wagonjwa wengi hawaji hapo kwa hiari yao.

Wewe kialza sisi tunafanya major ward round ambayo pia huwa ni teaching round kuna maconsultant,specialist,resedent,intern,na medical student,so unakimbia vipi kufundishiwa.

By the way teaching round mgonjwa anafaidika sana kuliko munavyofikiria,maana mgonjwa anajadiliwa kwa undania zaidi kuliko vile anavyopita daktari mmoja
 
Huu ni uongo wa kutupwa. Personally, nimeshakwenda kwenye university hosipitals mara nyingi na daktari alikuwa ananiuliza kabla kama nitamind kama akinihudumia na huku akiwepo mwanafunzi for training training.

Kwa kutambua umuhimu wa training na kwa vile hata kwenye fani yangu nilipitia through hizo trainings ili kupata practical experience nilikuwa nilikubali.

Kwa vile huu utaratibu haufanyiki Tanzania, basi usidhani kwamba haufanyiki kwenye nchi nyingine.

Tena acha kabisa kujaribu kujustify hiyo practice maana wengine tuna mpaka ndugu zetu walifanyiwa operesheni na wanafunzi Muhimbili bila hata ridhaa yao na wakafariki kwa sababu ya wanafunzi kukosea operesheni.

Mkuu asante kwa kunisaidia kumfumbua macho huyu daktari.

Alikuwa anajaribu kuwadanganya watu na kuwatisha na udaktari wake.

Huyu ni mgeni hapa JF. Sasa ameshajifunza kuwa hapa JF next time asiongee bila kuwa na uhakika na anachosema...
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Wewe kialza sisi tunafanya major ward round ambayo pia huwa ni teaching round kuna maconsultant,specialist,resedent,intern,na medical student,so unakimbia vipi kufundishiwa.

By the way teaching round mgonjwa anafaidika sana kuliko munavyofikiria,maana mgonjwa anajadiliwa kwa undania zaidi kuliko vile anavyopita daktari mmoja

Knowledge yako ilikuwa inaishia jinsi mnavyofanya mambo Muhimbili. Sasa tumekufunza na jinsi mambo yanavyofanyika kwingine duniani. Ndio uzuri wa JF...
 
Kaka bado uelewa katika hili ni mdogo sana,you have rights ot refuse treatment,sawa lakina sio kukataa wanfunzi wasifundishwe kupitia wewe,kwani yule mgonjwa wa mleta mada alikuwa anatibiwa na wanfunzi?acha ukilaza wewe!!!!!!!!!

Ongelea mambo ya field yako

mwache aendelee kubisha mwisho wa siku atakuja clinic kwako unampa consent ya mdomo afu unampiga DRE safi na wala hatabisha na wala hatasma mpaka muandikishane utafikiri ankuuzia mgonjwa. Si kila kitu lazima muandike kunamengine mnjadiliana. Mwisho wa siku ataanza kudai umpe notice za ugonjwa wake. Ukibishana na mjinga na ............
 
Sasa kama wagonjwa katika teaching hospital watapewa huru wa kukataa au kukubali kufundishiwa ,mwisho wa siku wagonjwa wote watakataa kufundishiwa na hao wanfunzi watafundishiwa wapi.

Kumbuka kufundishiwa ni usumbufu hakuna mtu anayekubali kirahisi na ndio maana kuna teaching hospital na bei zake ni nafuu sana ili kuwavutia watu

Hapana. Unakosea kama hiyo ndiyo argument yako. Wangojwa wengi wakielezwa in advance umuhimu wa hizo educational trainings sidhani kama watakataa.

Mwaka 2006, kulifanyika utafiti University Hospital of the West Indies ambapo wagonjwa waliulizwa kama wangekubali wanafunzi kuhusishwa kwenye matibabu yao kama sehemu ya training.

Asilimia 93.3 ya wagongwa waliohojiwa walisema kuwa wangekuwa tayari kukubali wanafunzi kuhusishwa kwenye matibabu yao kama sehemu ya training.

Medical educators wana jukumu la kufuata ethics and legal guidelines wakati wanapowahudumia wagonjwa.

Hii ni pamoja na kutafuta ridhaa kwa wagonjwa kabla ya kutumika katika kufundishia.

Hata kama medical ethics na sheria za Tanzania hazisemi hivyo, it is still a good practice to seek prior consent na wagonjwa wengi hawatakataa unless you doctors have a hidden agenda in your trainings.
 
Knowledge yako ilikuwa inaishia jinsi mnavyofanya mambo Muhimbili. Sasa umejifunza na jinsi mambo yanavyofanyika kwingine duniani. Ndio uzuri wa JF...

Hakuna tofauti baina ya muhimbili na teaching hospital nyingine duniani ni uwelewa mdogo tu wa mambo,umetoa hizo article hakuna tofauti yoyote na muhimbili.

sasa tukiwa tunapita major ward round na wanafunzi(medical students,intern,na resedent),wagonjwa wote wodini tuwape concert form ili tuweze kuwatibu?Na huu ndio utaratibu wa teaching hospital zote duniani.

Musipende kulaumu kila jambo,japo ni kweli system yetu ya afya imeoza,madaktari hawana mori wa kufanya kazi,wengine bila ya rushwa hamtibu mgonjwa wako na maadili mengine mabovu mengi tu,lakini sio katika hili la kufundishia
 
Hapana. Unakosea kama hiyo ndiyo argument yako. Wangojwa wengi wakielezwa in advance umuhimu wa hizo educational trainings sidhani kama watakataa.

Mwaka 2006, kulifanyika utafiti University Hospital of the West Indies ambapo wagonjwa waliulizwa kama wangekubali wanafunzi kuhusishwa kwenye matibabu yao kama sehemu ya training.

Asilimia 93.3 ya wagongwa waliohojiwa walisema kuwa wangekuwa tayari kukubali wanafunzi kuhusishwa kwenye matibabu yao kama sehemu ya training.

Medical educators wana jukumu la kufuata ethics and legal guidelines wakati wanapowahudumia wagonjwa.

Hii ni pamoja na kutafuta ridhaa kwa wagonjwa kabla ya kutumika katika kufundishia.

Hata kama medical ethics na sheria za Tanzania hazisemi hivyo, it is still a good practice to seek prior consent na wagonjwa wengi hawatakataa unless you doctors have a hidden agenda in your trainings.

Actually hata hiyo article ya Damascus niliyoiweka hapo juu inaonyesha kuwa waginjwa wako willing kutumika kufundishia as long as wamejulishwa manufaa yake.

Kama mawazo ya daktari huyu yanakuwa shared na madaktari wengi nchini basi tuna safari ndefu mno katika kuboresha sekta ya afya!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Hakuna tofauti baina ya muhimbili na teaching hospital nyingine duniani ni uwelewa mdogo tu wa mambo,umetoa hizo article hakuna tofauti yoyote na muhimbili.

sasa tukiwa tunapita major ward round na wanafunzi(medical students,intern,na resedent),wagonjwa wote wodini tuwape concert form ili tuweze kuwatibu?Na huu ndio utaratibu wa teaching hospital zote duniani.

Musipende kulaumu kila jambo,japo ni kweli system yetu ya afya imeoza,madaktari hawana mori wa kufanya kazi,wengine bila ya rushwa hamtibu mgonjwa wako na maadili mengine mabovu mengi tu,lakini sio katika hili la kufundishia

Tatizo lako kubwa liko hapo nilipohighlight.
 
Hapana. Unakosea kama hiyo ndiyo argument yako. Wangojwa wengi wakielezwa in advance umuhimu wa hizo educational trainings sidhani kama watakataa.

Mwaka 2006, kulifanyika utafiti University Hospital of the West Indies ambapo wagonjwa waliulizwa kama wangekubali wanafunzi kuhusishwa kwenye matibabu yao kama sehemu ya training.

Asilimia 93.3 ya wagongwa waliohojiwa walisema kuwa wangekuwa tayari kukubali wanafunzi kuhusishwa kwenye matibabu yao kama sehemu ya training.

Medical educators wana jukumu la kufuata ethics and legal guidelines wakati wanapowahudumia wagonjwa.

Hii ni pamoja na kutafuta ridhaa kwa wagonjwa kabla ya kutumika katika kufundishia.

Hata kama medical ethics na sheria za Tanzania hazisemi hivyo, it is still a good practice to seek prior consent na wagonjwa wengi hawatakataa unless you doctors have a hidden agenda in your trainings.

Hujui unachokisema, labda ungeudhuria teaching round(major ward round) moja baada ya hapo ungejua hiki unachokisema hakiwezekani,kama unataka wanafunzi wafanye physical examination you have to ask verbal concert,na kama ni invasive procedure you have to ask written concert hata ukiwa dakatri bingwa,na mgonjwa akikataa sasa anakaa hospitali anafanya nini bora aende nyumbani kwake tu(discharge from hospital)
 
Back
Top Bottom