Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

Pole mkuu kwa yote,lakini watanzinia inatupasa kutambua kwamba unapoingia teaching hospital umeshasign conset ya kuwa teaching model,hakuna conset zaidi ya ile kuwa teaching hospital.Kama hautaka mgonjwa wako afundishiwe wanafunzi please mpeleke hospitali isiyokuwa teaching hospital,tena ukikataa mgonjwa wako kufundishiwa inapaswa ufukuzwe kwenye teaching hospital.

Kwa muhimbili kama hutaki mgonjwa afundishiwe mpeleke first grade uone kama kuna mwanafunzi hatakuja huko kumgusa mgonjwa wako,hata intern doctor akija unamfukuza.

Hili la madaktari kufanya teaching round wakati relative wapo ndani ni uzushi wa mleta mada,hakuna daktari anayekubali kufanya round wakati relative wapo ndani,utapata usumbufu usio na mfano wake,utazingukwa na relative wewe mpaka ukome.
Ninachokiona mimi labda kwa kuwa mke wa mleta mada ni nesi pengine aliingia ndani kwa huo unesi wake baati mbaya akakuta watu wanpigwa shule,kulikuwa hakuna jinsi ispokuwa daktari kuwaonesha wanfunzi wake the real symptoms and signs za terminal stages,sasa nyinyi mulitaka wakazione wapi kwenye lecture room?

Kuhusiana na majibu,inawezekana utafiti ulikuwa bado unaendelea au kwa vile mgonjwa yupo kwenye terminal stage baada ya round doctor angemuambia nesi ili awashauri ndugu wa mgonjwa,mara nyingi manesi ndio wanaoongea na ndugu za wagonjwa isipokuwa pale nesi hasipoeleweka na ndugu wa mgonjwa ndio daktari uzungumza na ndugu wa mgonjwa.

Pamoja na maelezo yangu yote nakubaliana na wadau wengine ya kwamba system yetu ya afya inamatatizo,madaktari wamezidiwa na wagonjwa wengi mpaka wote wanakuwa na kisirani na hasira za karibu,plus maisha magumu kulinganisha na kazi wanayoifanya,so ukimvaa daktari kichwa kichwa na yeye atakutoa nduka kwa maneno makali,ni stress za kazi,we acha tunajuta kusomea hizi kazi hapa tz.

Chapisho lako linaonyesha wewe ni mdau wa sekta ya afya na kwamba unaifahamu vizui Muhimbili. Sasa nikuulize maswali mawili?
1. Hiyo mamlaka ya kuamua kuwa mgonjwa akilazwa Muhimbili ni lazima atumike kufundishia imepatikana vipi? Na iwaje wagonjwa wa gade 1 wasihusishwe? Kwahiyo masikini wasioweza kukaa grade 1 ndio wanalazimishwa kutumika bila kupewa fusa ya kuamua!!! Wakati unajibu hili, labda nikujulishe tu kuwa tafiti zinaonyesha kuwa hata mgonjwa akipewa fusa ya kuopt out majority ya wagonjwa watakubali kutumika kufundishia madaktari and that I fundamentally beleive it is wrong to deny a patient the right to opt out from medics lessons.

2.Huu utaratibu kuwa nesi ndio anayempa mgonjwa majibu ndio unaotumika Muhimbili au umeubuni tu? Kama ni utaratibu rasmi wa Muhimbili my friends we have a very very long way to go. Interpretation ya majibu ya mgonjwa ni very sensitive matter na jinsi majibu yanavyotolewa inachangia kumpa mgonjwa matumaini au kumkatisha tamaa. Muhimbili kuna interns, registrars, postgrads, specialists, consultants yaani hawa wote akosekane daktari wa kumpa mgonjwa majibu mpaka atumwe nesi. Hii si sahihi hata kidogo. Na katika hili tatizo sio system ya afya, hapo itakuwa ni kutafuta kisingizio tu...
 
Chapisho lako linaonyesha wewe ni mdau wa sekta ya afya na kwamba unaifahamu vizui Muhimbili. Sasa nikuulize maswali mawili?
1. Hiyo mamlaka ya kuamua kuwa mgonjwa akilazwa Muhimbili ni lazima atumike kufundishia imepatikana vipi? Na iwaje wagonjwa wa gade 1 wasihusishwe? Kwahiyo masikini wasioweza kukaa grade 1 ndio wanalazimishwa kutumika bila kupewa fusa ya kuamua!!! Wakati unajibu hili, labda nikujulishe tu kuwa tafiti zinaonyesha kuwa hata mgonjwa akipewa fusa ya kuopt out majority ya wagonjwa watakubali kutumika kufundishia madaktari and that I fundamentally beleive it is wrong to deny a patient the right to opt out from medics lessons.

2.Huu utaratibu kuwa nesi ndio anayempa mgonjwa majibu ndio unaotumika Muhimbili au umeubuni tu? Kama ni utaratibu rasmi wa Muhimbili my friends we have a very very long way to go. Interpretation ya majibu ya mgonjwa ni very sensitive matter na jinsi majibu yanavyotolewa inachangia kumpa mgonjwa matumaini au kumkatisha tamaa. Muhimbili kuna interns, registrars, postgrads, specialists, consultants yaani hawa wote akosekane daktari wa kumpa mgonjwa majibu mpaka atumwe nesi. Hii si sahihi hata kidogo. Na katika hili tatizo sio system ya afya, hapo itakuwa ni kutafuta kisingizio tu...

Teaching hospital worldwide inajulika ukilazwa upo uje utatumika kufundishia,na kam hutaki basi muhamishe mgonjwa wako katika hospitali isiyokuwa teaching hospital.

Grade 1 muhimbili ni kama private,ni kwa ajili ya income generating activities za hospital,so grade 1 is not part of teaching hospital,kisheria hata intern doctor haruhusiwi kutibu kule grade1

Muijbu ya vipimo anatakiwa atoe daktari,nilichokuwa nazungumzia mimi hapo juu ni kama mgonjwa alikuwa kwenye terminal stage,inahitajika counsiling kwa relative,na counsiling ni kazi ya nesi ndio mara nyingi wansomea hizo kazi,sasa kama nesi hakueleweka basi atahitajika daktari kutoa maelezo ya zaida,kwani wewe hujaenda kupima HIV?
 
Katika teaching round madaktari wapita mgonjwa baada ya mgonjwa na kufunya discussion,hapo wanaofundishwa ni undergraduate(medical students),intern doctor na postgraduate(madaktari bingwa walio katika mafunzo),so huwezi kuepuka mgonjwa wako kufundishiwa katika teaching hospital.
 
Kama uliataka asifundishiwe ungeomba alazwe ippm yaani private ward ambako utaonwa na Dr wako tu, ukishakaa ward ya kawaida vumilia madaktari wote wa idara hiyo wanaruhusa ya kukuona. Na ninauhakika kuwa aliombwa concert lakini wewe ni mlalamishi. Mimi nimesoma pale hata kama ni muda wa kuona wagonjwa sehemu ambayo inatumika hufungwa na screen. Wewe jua hili ukienda Muhimbili lazima uwe tayari kutumika kama ubao either you like or not. Na kwa taaifa yako Muhimbili wagonjwa wote walio kwenye ward za kawaida wanatibiwa vizuri zaidi kuliko wa IPPM coz kwa huyu wa ward ya kawaida madaktari wengi wanajadiliana na kufanya vipimo mbali mbali kulingana ugonjwa wanaofikiri. Tofauti na ippm ambako only one Dr see you and when is absent no one will see you until he/she come back. Jua hilo ndugu tatizo wagonjwa nyinyi ni much know sana. Kamwulize ndugu yako je aliombwa concert siyo kulalamika tu wakati huna details
 
Kama uliataka asifundishiwe ungeomba alazwe ippm yaani private ward ambako utaonwa na Dr wako tu, ukishakaa ward ya kawaida vumilia madaktari wote wa idara hiyo wanaruhusa ya kukuona. Na ninauhakika kuwa aliombwa concert lakini wewe ni mlalamishi. Mimi nimesoma pale hata kama ni muda wa kuona wagonjwa sehemu ambayo inatumika hufungwa na screen. Wewe jua hili ukienda Muhimbili lazima uwe tayari kutumika kama ubao either you like or not. Na kwa taaifa yako Muhimbili wagonjwa wote walio kwenye ward za kawaida wanatibiwa vizuri zaidi kuliko wa IPPM coz kwa huyu wa ward ya kawaida madaktari wengi wanajadiliana na kufanya vipimo mbali mbali kulingana ugonjwa wanaofikiri. Tofauti na ippm ambako only one Dr see you and when is absent no one will see you until he/she come back. Jua hilo ndugu tatizo wagonjwa nyinyi ni much know sana. Kamwulize ndugu yako je aliombwa concert siyo kulalamika tu wakati huna details

Is a just verbal concert and not written concert,na ukikataa hospital wan haki ya kukufukuza,that is a teaching hospital.Nenda kakae IPPM uone wki nzima chief ajapita na kule intern doctor hawaji utakoma kulinga na pesa zako
 
Teaching hospital worldwide inajulika ukilazwa upo uje utatumika kufundishia,na kam hutaki basi muhamishe mgonjwa wako katika hospitali isiyokuwa teaching hospital.

Grade 1 muhimbili ni kama private,ni kwa ajili ya income generating activities za hospital,so grade 1 is not part of teaching hospital,kisheria hata intern doctor haruhusiwi kutibu kule grade1

Muijbu ya vipimo anatakiwa atoe daktari,nilichokuwa nazungumzia mimi hapo juu ni kama mgonjwa alikuwa kwenye terminal stage,inahitajika counsiling kwa relative,na counsiling ni kazi ya nesi ndio mara nyingi wansomea hizo kazi,sasa kama nesi hakueleweka basi atahitajika daktari kutoa maelezo ya zaida,kwani wewe hujaenda kupima HIV?

Hiyo worldwide unayozungumzia ni ya wapi? Jifunze kufanya utafiti kabla hujasema, kumbuka hapa JF kuna watu wa taaluma mbalimbali waliosoma sehemu mbalimbali duniani na huwezi kuwadanganya.

Halafu unaposema sababu ya grade 1 kutokutumika kufundishia ni kwasababu ile ni private at the same time unasema worldwide teaching hospital ni lazima wagonjwa watumike kufundishia unadhihirisha kuwa hujui kuwa kuna vyuo vya udaktari private ambavyo vina hospitali zake za kufundishia. Hapo inakuwaje? ina maana katika chuo kama hicho cha private na hospitali yake wanafunzi hawatakuwa na wagonjwa wa kujifunzia???

Kiujumla ushauri ninaokupa ni kwamba, usiridhike na vile vitu unavyoviona kila siku tu. Jifunze kuhusu mambo yanavyofanyika sehemu nyingine duniani, hasahasa katika nchi zilizoendelea.
 
Is a just verbal concert and not written concert,na ukikataa hospital wan haki ya kukufukuza,that is a teaching hospital.Nenda kakae IPPM uone wki nzima chief ajapita na kule intern doctor hawaji utakoma kulinga na pesa zako

hawa pt bwana ni complaining sana, mwisho wa siku Dr akiwa shallow wanalalamika sasa tutajuaje kama nyinyi wenyewe hamuwi sample. Achana nao waendelee kulalamika lakini ukweli ni kwamba ile ni teaching hospital ukigoma kufundishiwa unafukuzwa au uende ippm fullstop.
 
Is a just verbal concert and not written concert,na ukikataa hospital wan haki ya kukufukuza,that is a teaching hospital.Nenda kakae IPPM uone wki nzima chief ajapita na kule intern doctor hawaji utakoma kulinga na pesa zako

Hivi wewe ni daktari kweli? Wa level gani?
Nauliza hivi kwa sababu comments zako haziendani na level ya elimu ya chuo kikuu. Unajua maana ya concent? Utasemaje unamuomba mtu concent lakini akikataa una haki ya kumfukuza? Hiyo haki ya kumfukuza mgonjwa hospitali wanaitoa wapi?
 
Yaani wewe kuelezwa kuwa mgonjwa yuko katika Terminal care unakasirika kwa lip? je ulitaka udanganywe? Tembea UK ukirudi ndio uanze kulalamikia kitu usichokijua. Nenda dunia yeyote ile palipo na teaching hospital kama hutalikuta hilo ni jambo la kawaida kabisa.

It does not matter kuwa mtu yupo Uingereza, Tanzania au kwingineko.

Hakuna anayekataa kuwa kuna watu ambao wako kwenye terminal care.

Kinacholalamikiwa ni pamoja na wangonjwa kutumika kufundishia bila ridhaa yao.

Usitake kabisa kuniambia kuwa Uingereza wagonjwa wanatumiwa kufunidshia without their written consent.

Vinginenyo ubongo wako utakuwa kwenye terminal condition.
 
Hiyo worldwide unayozungumzia ni ya wapi? Jifunze kufanya utafiti kabla hujasema, kumbuka hapa JF kuna watu wa taaluma mbalimbali waliosoma sehemu mbalimbali duniani na huwezi kuwadanganya.

Halafu unaposema sababu ya grade 1 kutokutumika kufundishia ni kwasababu ile ni private at the same time unasema worldwide teaching hospital ni lazima wagonjwa watumike kufundishia unadhihirisha kuwa hujui kuwa kuna vyuo vya udaktari private ambavyo vina hospitali zake za kufundishia. Hapo inakuwaje? ina maana katika chuo kama hicho cha private na hospitali yake wanafunzi hawatakuwa na wagonjwa wa kujifunzia???

Kiujumla ushauri ninaokupa ni kwamba, usiridhike na vile vitu unavyoviona kila siku tu. Jifunze kuhusu mambo yanavyofanyika sehemu nyingine duniani, hasahasa katika nchi zilizoendelea.

Mkuu unajifanya unajua lakini hujui kitu,kama unajua basi katika mabo ya field yako haya mengine tuachie wenyewe,ukiona hospital imeandika teaching hospital popte pale duniani ujue ukiingia hapa utatumika kufundishia lazima regardless private university or public university.
 
Mkuu unajifanya unajua lakini hujui kitu,kama unajua basi katika mabo ya field yako haya mengine tuachie wenyewe,ukiona hospital imeandika teaching hospital popte pale duniani ujue ukiingia hapa utatumika kufundishia lazima regardless private university or public university.

Usiwe mbishi, unakidhalilisha chuo ulichosoma.

Soma hii scientific article ikufungue macho kidogo. Notice hii sentensi "With increased focus on patients' rights and informed consent, patients can and should now choose whether to have medical students present during their consultations."

Patient attitudes towards medical students at Damascus University teaching hospitals
 
Hivi wewe ni daktari kweli? Wa level gani?
Nauliza hivi kwa sababu comments zako haziendani na level ya elimu ya chuo kikuu. Unajua maana ya concent? Utasemaje unamuomba mtu concent lakini akikataa una haki ya kumfukuza? Hiyo haki ya kumfukuza mgonjwa hospitali wanaitoa wapi?

Wewe ni kilaza katika field ya udaktari so huwezi kunielewa,na nyinyi ndio wayu munaotupa shida mahospitalini ,munajifanya munajua kumbwe munaungua jua.Kaka hat ukienda ulaya ukiona hospitali imeandikwa teaching hospital ujue hapo utatumika kufundishia tu.

Nimekuambia during teaching round madaktari wanapita mgonjwa baada ya mgonjwa na hapo wanaofundishwa ni medical students,intern doctors,and resedent,sasa utakimbia vipi,acha kujifanya unajua kila kitu
 
Wewe ni kilaza katika field ya udaktari so huwezi kunielewa,na nyinyi ndio wayu munaotupa shida mahospitalini ,munajifanya munajua kumbwe munaungua jua.Kaka hat ukienda ulaya ukiona hospitali imeandikwa teaching hospital ujue hapo utatumika kufundishia tu.

Nimekuambia during teaching round madaktari wanapita mgonjwa baada ya mgonjwa na hapo wanaofundishwa ni medical students,intern doctors,and resedent,sasa utakimbia vipi,acha kujifanya unajua kila kitu

Ongea kwa evidence. Nimekupa article hapo juu kuhusu teaching hospitals. Nipe evidence kuwa Ulaya wanatumia wagonjwa kufundishia bila idhini ya wagonjwa wenyewe.
 
Usiwe mbishi, unakidhalilisha chuo ulichosoma.

Soma hii scientific article ikufungue macho kidogo. Notice hii sentensi "With increased focus on patients' rights and informed consent, patients can and should now choose whether to have medical students present during their consultations."

Patient attitudes towards medical students at Damascus University teaching hospitals

Kaka wewe bado ni kilaza katika hili,wapo wagonjwa wanaokataa,lakini ukikataa hospital inaweza kukufukuza na wakikuacha ujue wamekuonea huruma tu,kama hutaki nenda kwenye hospital ambazo si teaching hospital
 
Ongea kwa evidence. Nimekupa article hapo juu kuhusu teaching hospitals. Nipe evidence kuwa Ulaya wanatumia wagonjwa kufundishia bila idhini ya wagonjwa wenyewe.

hiyo article uliyonipa ni reseach tu ya patient attitude,kwa bahati mimi nimeenda inchi za kiarabu na ninalijua hilo tatizo,wagonjwa wa aina hii kule mara nyingi uwa wanwafukuza kwenye teaching hospital,tena kule wenzetu wanaandika getini hii ni teaching hospital na yale yanayoendelea kwenye teaching hospital.Teaching hospital ni hospital za bei nafuu ili kuwavutia waginjwa
 
wagonjwa wengi sana wa huko uarabuni tatizo linakuwa kwenye physical examination,especial kwa wanawake.Muda mwingine uwa wanawaacha kutokana na utamaduni wao wa kuheshimu san privacy za mwanamke
 
hiyo article uliyonipa ni reseach tu ya patient attitude,kwa bahati mimi nimeenda inchi za kiarabu na ninalijua hilo tatizo,wagonjwa wa aina hii kule mara nyingi uwa wanwafukuza kwenye teaching hospital,tena kule wenzetu wanaandika getini hii ni teaching hospital na yale yanayoendelea kwenye teaching hospital.Teaching hospital ni hospital za bei nafuu ili kuwavutia waginjwa

Kama madaktari wetu ndio aina kama yako ndio maana tunakuwa na matatizo. Sasa wewe unasema worldwide, halafu hapohapo unalikataa chapisho la kisayansi. Evidence kutoa hutaki, obviously kwa sababu huna.

Kama nchi ya kiarabu unaona haifai kutumika kama mfano basi nakupa mfano huu wa Marekani. Notice palipoandikwa "To inform you that we are a teaching hospital and that you have the right to refuse treatment from a health care student, intern or resident. You can request a consultation with another provider at any time." Soma hapa Patient Rights

Kama unataka evidence zaidi sema nikuletee. Cha muhimu, kuwa tayai kujifunza, hizi tabia za kujiaminisha fulani kilaza bila kuwa na evidence haziwapeleki kuzuri...
 
Chapisho lako linaonyesha wewe ni mdau wa sekta ya afya na kwamba unaifahamu vizui Muhimbili. Sasa nikuulize maswali mawili?
1. Hiyo mamlaka ya kuamua kuwa mgonjwa akilazwa Muhimbili ni lazima atumike kufundishia imepatikana vipi? Na iwaje wagonjwa wa gade 1 wasihusishwe? Kwahiyo masikini wasioweza kukaa grade 1 ndio wanalazimishwa kutumika bila kupewa fusa ya kuamua!!! Wakati unajibu hili, labda nikujulishe tu kuwa tafiti zinaonyesha kuwa hata mgonjwa akipewa fusa ya kuopt out majority ya wagonjwa watakubali kutumika kufundishia madaktari and that I fundamentally beleive it is wrong to deny a patient the right to opt out from medics lessons.

2.Huu utaratibu kuwa nesi ndio anayempa mgonjwa majibu ndio unaotumika Muhimbili au umeubuni tu? Kama ni utaratibu rasmi wa Muhimbili my friends we have a very very long way to go. Interpretation ya majibu ya mgonjwa ni very sensitive matter na jinsi majibu yanavyotolewa inachangia kumpa mgonjwa matumaini au kumkatisha tamaa. Muhimbili kuna interns, registrars, postgrads, specialists, consultants yaani hawa wote akosekane daktari wa kumpa mgonjwa majibu mpaka atumwe nesi. Hii si sahihi hata kidogo. Na katika hili tatizo sio system ya afya, hapo itakuwa ni kutafuta kisingizio tu...

wewe nawe

as if you are up to date

kwi kwi kwi kwi
 
Hivi wewe ni daktari kweli? Wa level gani?
Nauliza hivi kwa sababu comments zako haziendani na level ya elimu ya chuo kikuu. Unajua maana ya concent? Utasemaje unamuomba mtu concent lakini akikataa una haki ya kumfukuza? Hiyo haki ya kumfukuza mgonjwa hospitali wanaitoa wapi?

of all the people na wewe unahoji udaktari wa mtu??

tena kwa kuleta reference za nje as if huijui MUX??

haya............. vile vitoto havijanyamaza
 
Kama madaktari wetu ndio aina kama yako ndio maana tunakuwa na matatizo. Sasa wewe unasema worldwide, halafu hapohapo unalikataa chapisho la kisayansi. Evidence kutoa hutaki, obviously kwa sababu huna.

Kama nchi ya kiarabu unaona haifai kutumika kama mfano basi nakupa mfano huu wa Marekani. Notice palipoandikwa "To inform you that we are a teaching hospital and that you have the right to refuse treatment from a health care student, intern or resident. You can request a consultation with another provider at any time." Soma hapa Patient Rights

Kama unataka evidence zaidi sema nikuletee. Cha muhimu, kuwa tayai kujifunza, hizi tabia za kujiaminisha fulani kilaza bila kuwa na evidence haziwapeleki kuzuri...

Kaka bado uelewa katika hili ni mdogo sana,you have rights ot refuse treatment,sawa lakina sio kukataa wanfunzi wasifundishwe kupitia wewe,kwani yule mgonjwa wa mleta mada alikuwa anatibiwa na wanfunzi?acha ukilaza wewe!!!!!!!!!

Ongelea mambo ya field yako
 
Back
Top Bottom