Ngorunde
Platinum Member
- Nov 17, 2006
- 4,108
- 8,341
Shirima hajafa..anapata matibabu hosipitali nyingine.Pole ndugu kwa kupoteza...is how corrupt system operate.. Maisha ya walalahoi yamegeuka makaratasi ya kubetia so far kwa kuwa rushwa ipo na tumekataa kuikemea basi natumai bwana Shirima ataenda kupata haki yake akifika juu maana hata unaotaraji wawe wachunguzi wa jalada lako hawatakuwa malaika hivyo ni kukaa tu chini kumuombea ndugu huyu apate pumziko la haki aendako wakati akisubiri taratibu nyingine kulingana na alivyoishi enzi za uhai wake!
Acha uchuro!