Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,263
- 3,628
asa km wana njaa wasile mweee!!
Lyimo babu yule dokta bingwa wa mifupa mliemzungumzia wa machame hospital aligongwa na gari na kufariki maisha aseeLymo yupi na lini alipata ajali ilikuaje na wapi
Aligongwa na gari akiwa njiani maeneo ya nyumbani kwake aliumia sana kcmc walimsaidia lakini hakuweza kupona kurudi duniani asee.Alituacha kwa majonzi sanaHapana aisee imetokea lini na Ni ajali ya nn vp anaendeleaje yule mzee dah na umri ule tena anapata ajali.
Pole nyingi zimfikie huko alipo na MUNGU amweke salama arudi kukaa na WAJUKUU zake salama.