Madaktari kugoma tena

This is not true... Kama ni kugoma then it will be due to failure of the government to honor their promises

Is nyoni still in the ministry?
 
Naunga mkono mgomo huo lakini naweka rehani maisha yangu...........
Kwahiyo tujiandae tena kufa kwanini hawakuunganisha kwenye mgomo uliopita?
lakini mgomo si kuacha kurecommend wao kwenda kutibiwa nje? huo ni mgomo tosha kuliko kuja kuua wasio na hatia tena
 
huu mgomo unaweza kurudi lakini sio kwa sababu za mleta thread.mpaka sasa inasemekana blandina na mtasiwa wanasaini barua wizarani ikimaanisha hawajaachia ngazi,mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya utekelezaji wa matakwa ya madaktari kwa hiyo kinachoendelea ni siasa tu!kama pinda aliahidi kwa hadaa this time fushi litamuangukia yeye.
 
madaktari ni watu wastaarabu hawawezi kutumia sababu za kisiasa kuacha kuwatumikia watanzania
 
This is not true... Kama ni kugoma then it will be due to failure of the government to honor their promises

Is nyoni still in the ministry?

MTM nadhani upo sahihi kama kuna madai basi yanapaswa kuwa hayo na si ubabaishaji mwingine.
 
Sasa huo mgomo watagoma kuwatibu viongozi tu au watu wote?Kama watagoma kwa watu wote nathubutu kusema kuwa uwezo wao wa kufikiri na kutafakari ni mdogo sana na hawafai kuwa watumishi wa umma!!
 
Mbona ni madaktari hao hao ndio huwa wana-recommend watu wa kupelekwa nje kwa matibabu zaidi?

Waache usanii bana!

Ndio najiuliza tena madakitare wa3 wakirecomend tu,mgonjwa anaenda nje,basi kama vp wasipokee vibaasha vya kurekomend magonjwa ambayo yanatibika kwa hapa tz!!
 
kuna watu wanatumika na serikali kuja kupima upepo,kwa taarifa yenu madaktari wanafanya kazi ile mbaya lakini wanasubiri kwa hamu hiyo tarehe tatu mwezi wa tatu.sasa nyie badala ya kufanyia kazi madai yao endeleeni kutembeza propaganda za kipu.u.zi
 
Madaktari waliorudi kazini hivi karibuni wanaandaa mgomo mwingine mkubwa.Mgomo huo uliopachikwa jina la 'Mgomo wa Ukombozi na Hadhi' uunapanga kuishinikiza Serikali kuacha maramoja kutumia fedha za walalahoi-watanzania kwa kuwasafirisha nje ya nchi viongozi kwa ajili ya matibabu hata ya magonjwa yanayotibika nchini.Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali,kitendo hicho ni dharau kwa tasnia nzima ya utabibu nchini Tanzania.Wengine wameongeza kuwa kutokana na viongozi karibu wote kupata matibabu nje ya nchi,hata mgomo wa awali ulipuuzwa kwakuwa viongozi hawaathiriki kwa lolote.Madaktari wanahitaji mabadiliko.Matumizi yasiyo ya lazima pamoja na dharau ziepukwe.Serikali na isikie,isipuuze...

Nawashauri wagome kutoa vibali vya kuwaruhusu hao viongozi kwenda kutibiwa nje.. vinginevyo wakigoma, watakaoumia ni "walalahoi" wala siyo hao viongozi ambao waliwapuuza pale walipogoma mwanzo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom