Nyakageni
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 15,045
- 5,092
hivi wewe ni zomba au zoba??!
kawaida yake. Mpotezee
hivi wewe ni zomba au zoba??!
zomba, wapi zinapatikana kozi nzuri za diplomasia na propaganda maana nilitegema haya mambo yangeweza kuwa contained
Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!
Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!
Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
Hakuna diplomasi njema kama kuwa wa kweli na wenu uwazi, tutazame ni nani anawachochea hawa madaktari kugoma hata baadaya kutimiziwa masharti yao mengi? Jee, Ulimboka ni kibaraka wa watu fulani, kama ndio, kwanini asiuliwe kwa kuwa kibaraka? ikiwa vibaka tu tunawaua huyu kibaraka anaepelekea wagonjwa wetu kuendelea kuteseka kwanini asiuliwe? yeye na wenzake wanaomtumia kwa kuwa anapewa na kaahidiwa kuwa atalipwa?
hivi wewe ni zomba au zoba??!
Bravooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!! Safi sana mabingwa wote naomba isiwe muhi2 pekeyake mgomo uwe wa nchi nzima eeh "liwalo na liwe" kama mbwai mbawimbwai tu ....
Imekuwaje amri ya Raisi Dhaifu JK ikashindwa usicheze na mungu muuaji mkubwa ni KIKWETE ambaye fedha za kununulia dawa yeye amempa mwanawe ridhiwani anunue malori 10,000,mwanae halfani kipande chote cha kigamboni anakimiliki,Miraji viwanja vyote vya burka,na fedha zote za safari zake zilizobaki kazihamishia taasisi ya mkewe WAMA, hizo zote ukijumlisha wangepewa akina ulimboka na wafanyakazi wa sekta nyingine ya afya wangekuwa sasa hivi wanatutibu MuhimbiliHakuna diplomasi njema kama kuwa wa kweli na wenu uwazi, tutazame ni nani anawachochea hawa madaktari kugoma hata baadaya kutimiziwa masharti yao mengi? Jee, Ulimboka ni kibaraka wa watu fulani, kama ndio, kwanini asiuliwe kwa kuwa kibaraka? ikiwa vibaka tu tunawaua huyu kibaraka anaepelekea wagonjwa wetu kuendelea kuteseka kwanini asiuliwe? yeye na wenzake wanaomtumia kwa kuwa anapewa na kaahidiwa kuwa atalipwa?
Mshenzi na firauni ni wewe na taahira kabisa kama ulidhani madaktari na wakutomaswa mboni za macho umekosea mwambie Pinda akarudishe zile bilioni 300 uswisi zije zinunue vitanda vya kuzalia wanawakemadaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.
Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.
Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..
Uzalendo unahitajika!
Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?
Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.
[h=6]madaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.
Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.
Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..
Uzalendo unahitajika!
Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?
Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.[/h]
madaktari.
Washenzi kabisa.
Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.
Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.
Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..
Uzalendo unahitajika!
Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?
Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.
wazo zuri sana na mimi pia nahitahiNatafuta link ya kuniwezesha kusikiliza bunge online, naomba unisaidie hata kwa PM itakua sawa au jibu hapa hapa na wengine wapate, kulikua na ile ya arusha lakini nimeisahau
[h=6]madaktari.
Washenzi kabisa.
[/h]
Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.