Madai haya juu ya wa 2000 yana ukweli wowote?

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,751
3,380
Hili kundi linaandamwa sana aisee.

Haya yana ukweli au ni wivu tu?
Screenshot_20240316-151023_Instagram Lite.jpg
 
Toka wauzaji waanze kuuza zile kamba zao,kurahisisha shots, ndo wameharibu mazima.
Mtoto na mama wakaanza kula sahani moja,kwa mtindo mmoja.
Wizi ukatanda. Na hakuna kama vya wizi. Mashindano yakaanza.
Kwaiyo kule kuna wezi kibao🤣🤣
 
Back
Top Bottom