radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Maajabu mtuhumiwa wa madawa ya kulevya tena aliyekamatwa na askari yupo mtaani anakula maisha, napata shida kuamini taarifa hii, ina maana askari wakikukamata na madawa ya kulevya hupelekwi Jela tena kutumikia kifungo au mahabusu zimejaa??
hapa mkuu ndo penye utata mtu alikamatwa na unga wa trilion moja polisi wakauchukua wote halafu akasepa eti kakamtwa tena anahojiwa ina maana ukikutwa na unga polis wanauchukua unakuwa huru hatar sna.