Madai: Aliyemuweka Mbongo rehani akamatwa!

Madai: Aliyemuweka Mbongo rehani akamatwa!

Ingawaje haujataja source ni gazeti gani lakini bila shaka ni vijana wa Shigongo hao.

Ukijifunza hata hesabu tu za shule ya msingi na ukajuwa trilioni ni sawa na billion ngapi basi you can't buy this story.

Hata kama ni HELA YA KITANZANIA (HELA ZA MADAFU) napata shaka na hicho kiwango cha Trilion moja TZS 1,000,000,000,000/- one million million. Hizo ni sawa na milion moja ziwe milioni AU BILIONI ELFU MOJA!!!!!!1
 
Aliyewekwa bond na mzungu wa unga ni ndugu kabisaa, Baba mkubwa na mdogo na ndio ata Baba wa kijana polisi kasema mwanae anajua yupo south Africa

Mwanzo aliwekwa bond mdogo wa uyo jamaa aliyekamatwa mda wake ukaisha akarudi bongo akajengewa nyumba bunju , kapewa na gari na pesa kama milion 30 hivi

Na hio pesa wanaodaiwa ya tillion sio kweli
Wanadaiwa kama dolla 100,000 tu
Jamaa vipi aliachiwa?
 
Nawezaje kupata mawasiliano na Mh. Mwigulu Nchemba jamani? Nina taarifa za hawa jamaa wauzaji mihadarati naogopa kuzitoa polisi maana ndio wanaosababishwa raia tunachinjwa huku mtaani kwa kutoa vyanzo vya habari. pls. nisaidiwe kuna kundi linamaliza nguvu kazi ya taifa.
Unamwamini Mwigulu mkuu? Najua kuna mahaba mnakuwa nayo kwa wanasiasa ila usiaamini kiasi hicho. Hawana huruma na wewe.

Hizo taarifa kaa nazo tu
 
Back
Top Bottom