Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Is getting hot in here ..
I'm out for good , to be completely honest
I don't wanna talk about this any more ..
Teeh teh teh .. see you later ..

Noma kuwa dada yangu eh?
 
Sio ndio hapa najaribu kufurahi? Lakini kama ni kweli trip ya vekeshi Malawi inabidi ife. Sitahimili kumwona dada yangu anavuliwa nguo live.

Loh. . . Kwahiyo kumbe ndio maana ulikua unataka kunipeleke? Sasa hivi hata kama sio dada sitaki tena.
 
Hey. . . siku hizi umekua msiri ehhh? Mbona EMT wasiwasi umedouble ghafla?

Shuuuuuu Doto usiandike kwa nguvu atasiikiia shuuuuuu.. usiku mwema bana ..
Ohhhhhh ntakutumia basi usinune mtoto mzuri ..
 
Anazuga tu huyo umpe details,we huwajui wanaume hawa?? Atakuja tu kwa wakati wake,ukimkaa rohoni kisawasawa!

Hhhhm . . . Dearest. Hivi mtu anafanyaje apate siti kwenye moyo wa mmoja wa hawa watu?
 
Busa si ya wa Chaga bana unaniangusha..

Yea wachaga wanayo pombe inaitwa busa. Sio wachaga wote lakini. Ni disaini kama mbege lakini busa inatengezwa zaidi na mahindi na ulezi. Tofauti na mbege, busa ni nyeupe kidogo. Inalewesha zaidi ya mbege. Kwa vsababu ya ukata madenti tulikuwa tunaipenda hiyo ili tulewe chap chap. Wambulu nao nasika wana busa. Nafikiri pia Wakikuyu?

,
 
Yea wachaga wanayo pombe inaitwa busa. Sio wachaga wote lakini. Ni disaini kama mbege lakini busa inatengezwa zaidi na mahindi na ulezi. Tofauti na mbege, busa ni nyeupe kidogo. Inalewesha zaidi ya mbege. Kwa vsababu ya ukata madenti tulikuwa tunaipenda hiyo ili tulewe chap chap. Wambulu nao nasika wana busa. Nafikiri pia Wakikuyu?

,

Ni buzaa bana sio busa.
 
Yea wachaga wanayo pombe inaitwa busa. Sio wachaga wote lakini. Ni disaini kama mbege lakini busa inatengezwa zaidi na mahindi na ulezi. Tofauti na mbege, busa ni nyeupe kidogo. Inalewesha zaidi ya mbege. Kwa vile ya ukata madenti tulikuwa tunaipenda hiyo ili tulewe chap chap. Wambulu nao nasika wana busa. Nafikiri pia Wakikuyu?

,

Duhhhhh busa ya ulezi naisikia Leo ..
Busa yetu Wairaq ni mtama na mahindi na maji ya Koro'nga'ida.. hahahaha lol maswali zaidi muulize Dafi na Dena
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ningelalamika pasingetosha. . . hiyo ni TAARIFA BAADA YA HABARI.

Duuhhh I can't wait to catch up with you ae. .
Sasa unajua ile siku ambao wote tunakutana kwenye kule kikao ... piga mahesabu itakuwa saa ngapi kule manispaa ya chini .. duuhhh itabidi uniamshe ndugu yangu ..
 
Anazuga tu huyo umpe details,we huwajui wanaume hawa?? Atakuja tu kwa wakati wake,ukimkaa rohoni kisawasawa!

Lakini Michelle, you never know. Kama hiyo story hapo chini

Brother and sister reunite accidentally through online dating service

A person never knows who they might be meeting on an online dating site, so it pays to be careful. Sometimes, a person might even meet someone they had wanted to reunite with for years, just not in this way. Such was the case for Sarah Kemp and George Bentley.

Sarah Kemp was living in Edinburgh, Scotland, working as a cleaner, when she met George Bentley, a builder from London. The two met on ForgetDinner.co.uk in November, and began emailing each other. From the beginning, they enjoyed their growing relationship, and found that they had so much in common. Eventually, like many online couples, they decided to meet.

"I would never have agreed to go to London on a blind date, but we hit it off from the beginning, and our relationship blossomed as we emailed each other more and more often," Kemp told Scotland's Daily Record, AOL Newsreported. Kemp traveled to London, where the two had agreed to meet at Bentley’s favorite pub. After talking it up for about an hour, a wrench was thrown into the would-be romance: The “couple” realized they were actually brother and sister.

"To meet your long-lost brother, in a bar, after over 30 years would be something by itself," Kemp said, reported AOL. "But to meet him in those circumstances -- on a date, for crying out loud -- really is something else. We obviously had far more in common than first thought." The brother and sister, 47 and 42, respectively, were separated in 1975, when their parents divorced. Kemp went with their mother to Edinburgh, and Bentley remained with their father.

In 1989, Kemp married and, while she divorced her husband after only a year, she decided to keep her husband’s name, no longer “Sarah Bentley” but “Sarah Kemp.” Bentley said he searched for his sister but, having absolutely no idea where she was or that her name had changed, his search was unfruitful. “After a while, I think both Sarah and I gave up looking," Bentley said.

Now, of course, the two are pursuing a relationship of a different sort—happily getting to know each other as siblings once again, so many years later. And, at this time, there is no word on whether or not either plans to try online dating once again.

Source: Brother and sister reunite accidentally through online dating service | HULIQ
 
Hhhhm . . . Dearest. Hivi mtu anafanyaje apate siti kwenye moyo wa mmoja wa hawa watu?

We dearest badala ya kutupa maujuzi unaniuliza tena mimi nisiyekuwa nae?? Tabia mbaya!!
 
Najua nimeianzisha hii topic nitaogelea matusi kutoka kwa wadada mpaka basi, lakini kwangu haijalishi mtasema, mtaponda kimpango wenu.

Nawauliza wenzangu mnandoa, mnamajukumu? Usiku kucha kila topic ukiangalia saa 7 au 8 mpo tu wenzangu! Maana hata muda wa kushughulika na kazi nyie mko hewani tu, sijui hata hao mashemeji mnawapa haki yao saa ngapi?
Au wenzangu muda huo mnakuwa mko ofisini sasa wakati mnasubiria ******** mnazuga kwenye Internet??

Punguzeni basi, najua mtasema nimewatusi, kama limekugusa badilika. Naomba msamaha.

Hili nimeipenda. Kwani hilo swali hata mimi linanipa maswali magumu sana kuhusu hawa madada zetu ambao kutwa nzima na usiku mpaka saa 8 au 9 bado wako kwenye JF wanajibu thread. Hivi hawa hata wakipata ndoa zao, je JF si itakuwa tamu kuliko familia?
 
EMT ikitokea hivyo unashukuru Mungu, there is always a positive side of the problems we face daily.....if it doesn't kill you it makes you stronger....the search continues....!! If you love Lizzy, please go ahead,if you find out she is your sister....hey ho...we celebrate!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Duuhhh I can't wait to catch up with you ae. .
Sasa unajua ile siku ambao wote tunakutana kwenye kule kikao ... piga mahesabu itakuwa saa ngapi kule manispaa ya chini .. duuhhh itabidi uniamshe ndugu yangu ..

Mi nshaona dalili za kuipotezea ile kitu. . .
Itakua saa 9 mpaka 12 asubuhi, ntakuamsha.
 
Back
Top Bottom