Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Sijaolewa na kazi yangu inaruhusu kupata muda wa kuingia jf any time ninayotaka. Inshort hata ningeamua kukesha jf haisumbui lolote as long as mambo yangu yanaenda kama kawaida...
 
Ha ha ha huwezi wewe mwali wewe acha hizo bana
kuanzia sasa jifunze kutiana week end mchana utaona raha yake

BTW: Happy New Year ujue hatujaonana Endasak kwa shangazi

Duuhhh ngoja ni nukuu hii ...
Kutiana weekend mchana =tick ..

Hey hivi kumbe hatujawasiliana tangu mwaka
Jana duhh ..samahani sana .

Vipi ulienda Endasaki na Dongobesh kwa
Sikukuu..
Heri ya mwaka mpya sis ...
 
na wewe mamababu saa 7 au 8 we umejuaje kama na wewe haupo macho bize ndani ya jf, mwe!!
 
Hahahaha. . . Mara nikirudi nikute kadata nae. Ntamuua huyo mdoli au ntamchoma?

Hahahahahaha
Vyovyote upendavyo chinja chinja ukipenda
Na jela huendi sababu si nyumba ndogo au
House girl ..

Baadaye bana saa nane usiku eti ..
Unajua saa za nini hizi ooohooooo... lolz
 
Duuhhh ngoja ni nukuu hii ...
Kutiana weekend mchana =tick ..

Hey hivi kumbe hatujawasiliana tangu mwaka
Jana duhh ..samahani sana .

Vipi ulienda Endasaki na Dongobesh kwa
Sikukuu..
Heri ya mwaka mpya sis
...

Si unajua tena lazima niende kunywa Busa na manguree kwa ajili ya afya??

Heri ya Mpya poa tu ila nikaugua sana sikukuu zote
 
Duhhhhh hiyo naogopa hata kufikiria..
Napenda kukuhakikishia wewe na Lizzy Luu SI
Ndugu wa damu kabisa .. nimejuaje nyumbani tumezaliwa wasichana tu ..

At least. Ila asije akawa ni wa baba mdogo au mkubwa? In that case, wewe utakuwa sista wangu pia, which will make the things even worse.
 
Its just a feeling. I hope its not. Maana nimeshamwona Kongosho anadadisi kiaina.

Kongosho ndio zake.
Mi nlidhani ungefurahi kama ningekua dada yako.
Hutaki kukusanya mahari JF?
 
Hahahahahaha
Vyovyote upendavyo chinja chinja ukipenda
Na jela huendi sababu si nyumba ndogo au
House girl ..

Baadaye bana saa nane usiku eti ..
Unajua saa za nini hizi ooohooooo... lolz

Haya nenda, na usiporudi na ahadi zangu zote tusijuane. Sasa hivi nimekuchekea kwasababu tu kuna watu hapa. . .
 
At least. Ila asije akawa ni wa baba mdogo au mkubwa? In that case, wewe utakuwa sista wangu pia, which will make the things even worse.

Is getting hot in here ..
I'm out for good , to be completely honest
I don't wanna talk about this any more ..
Teeh teh teh .. see you later ..
 
Si unajua tena lazima niende kunywa Busa na manguree kwa ajili ya afya??

Heri ya Mpya poa tu ila nikaugua sana sikukuu zote

Haha haaaa haa. Busa? Umenikumbusha mbali. Kusoma uchagani kuna raha zake.
 
Is getting hot in here ..
I'm out for good , to be completely honest
I don't wanna talk about this any more ..
Teeh teh teh .. see you later ..

Hey. . . siku hizi umekua msiri ehhh? Mbona EMT wasiwasi umedouble ghafla?
 
Si unajua tena lazima niende kunywa Busa na manguree kwa ajili ya afya??

Heri ya Mpya poa tu ila nikaugua sana sikukuu zote

Duhhhhh I hope ulikunywa ya ntongeza ajili yangu ..

Pole sana sis. .
Ntakutafuta Jpili basi nikirudi, tuongee vizuri ..
Kwa sasa ngoja ni sep kidogo .. hey I love you always .. take care for now. . Mwahhhhh
 
Kongosho ndio zake.
Mi nlidhani ungefurahi kama ningekua dada yako.
Hutaki kukusanya mahari JF?

Sio ndio hapa najaribu kufurahi? Lakini kama ni kweli trip ya vekeshi Malawi inabidi ife. Sitahimili kumwona dada yangu anavuliwa nguo live.
 
Dearest EMT ana wasiwasi naweza kua dada yake, kunitongoza is out of question.

Anazuga tu huyo umpe details,we huwajui wanaume hawa?? Atakuja tu kwa wakati wake,ukimkaa rohoni kisawasawa!
 
Back
Top Bottom