Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Hili nimeipenda. Kwani hilo swali hata mimi linanipa maswali magumu sana kuhusu hawa madada zetu ambao kutwa nzima na usiku mpaka saa 8 au 9 bado wako kwenye JF wanajibu thread. Hivi hawa hata wakipata ndoa zao, je JF si itakuwa tamu kuliko familia?

Je umewahi kufikiria kuwa hao wanaojibu
Thread hata hawaishi TZ ? Saa nane ya usiku TZ ni lunch time huko waliko ..

Si kila mwana JF anaishi bongo wakuu ..
 
EMT ikitokea hivyo unashukuru Mungu, there is always a positive side of the problems we face daily.....if it doesn't kill you it makes you stronger....the search continues....!! If you love Lizzy, please go ahead,if you find out she is your sister....hey ho...we celebrate!!
Acha longolongo... Nipe sababu kuu tano kwanini jana usiku hukuja kwenye ile miadi yetu... Afu jichagulie azabu, nikucharaze bakora ngapi...
 
EMT ikitokea hivyo unashukuru Mungu, there is always a positive side of the problems we face daily.....if it doesn't kill you it makes you stronger....the search continues....!! If you love Lizzy, please go ahead,if you find out she is your sister....hey ho...we celebrate!!

Dearest embu acha hizo . . .
 
Hili nimeipenda. Kwani hilo swali hata mimi linanipa maswali magumu sana kuhusu hawa madada zetu ambao kutwa nzima na usiku mpaka saa 8 au 9 bado wako kwenye JF wanajibu thread. Hivi hawa hata wakipata ndoa zao, je JF si itakuwa tamu kuliko familia?

Wewe umejuaje wanakaa JF kutwa nzima na usiku mpaka saa 8 au 9?
 
Mi nshaona dalili za kuipotezea ile kitu. . .
Itakua saa 9 mpaka 12 asubuhi, ntakuamsha.

Yaani duhh nlihesabu masaa mpaka kizungu
Zungu na ki africa Africa..
Niamshe tu lakini .. thanks Doto..
 
Wachaga nao wana lugha nyingi.

Wala, binafsi sijawahi kuona buzaa Moshi. Buzaa nimeijulia Arusha. . . Moshi tuna Mbege na Nzuga (nyeupe kama buzaa). . .
Yenyewe hua wanaroweka unga sijui ni wa mahindi ule nadhani na ulezi kidogo kwa siku kadhaa mpaka uanze kuchachuka, ukishachachuka wanasonga kama ugali (the best part of the whole process for me) , wanauacha unapoa alafu sijui wanaweka kitu gani kingine kabla ya kuikamua tayari kwa kukata kiu. Alafu yenyewe ni bei rahisi kuliko mbege.
 
EMT ikitokea hivyo unashukuru Mungu, there is always a positive side of the problems we face daily.....if it doesn't kill you it makes you stronger....the search continues....!! If you love Lizzy, please go ahead,if you find out she is your sister....hey ho...we celebrate!!

Michelle unaona sasa?

Dearest embu acha hizo . . .
 
Hili nimeipenda. Kwani hilo swali hata mimi linanipa maswali magumu sana kuhusu hawa madada zetu ambao kutwa nzima na usiku mpaka saa 8 au 9 bado wako kwenye JF wanajibu thread. Hivi hawa hata wakipata ndoa zao, je JF si itakuwa tamu kuliko familia?
Na ulipataje muda wa kufuatilia posts zao na muda wanaopost... If I may ask. Na je anayeandika na anayesoma kwa wakati huohuo ni nani hana muda?.... Humlishi hakulishi... Kama amekukera mpotezee, kama kakufurahisha jiunge naye.... Na hili ndilo neno la ODM.
 
Acha longolongo... Nipe sababu kuu tano kwanini jana usiku hukuja kwenye ile miadi yetu... Afu jichagulie azabu, nikucharaze bakora ngapi...

sababu kubwa ni kuwa Kaizer aliniacha babu, nilipompigia simu akawa amezima... nisamehe babu,nakuja sasa hivi...adhabu yangu naomba nije kushinda na wewe kwa siku tatu....bibi aende kusalimia kwao.....!!
 
Afu kama nahisi kaharufu ka kikwapa cha Afrodenzi.... Hebu nleteeni haka kabinti, kuna ukaguzi flani hivi sikuufanya.
 
Wala, binafsi sijawahi kuona buzaa Moshi. Buzaa nimeijulia Arusha. . . Moshi tuna Mbege na Nzuga (nyeupe kama buzaa). . .
Yenyewe hua wanaroweka unga sijui ni wa mahindi ule nadhani na ulezi kidogo kwa siku kadhaa mpaka uanze kuchachuka, ukishachachuka wanasonga kama ugali (the best part of the whole process for me) , wanauacha unapoa alafu sijui wanaweka kitu gani kingine kabla ya kuikamua tayari kwa kukata kiu. Alafu yenyewe ni bei rahisi kuliko mbege.

Mimi niliinwa Tarakea tulipoenda kucheza mpira na Namfua Secondary. Nyeupeee. Wanaweka ulezi kwa kubania. Mbege is much better.
 
sababu kubwa ni kuwa Kaizer aliniacha babu, nilipompigia simu akawa amezima... nisamehe babu,nakuja sasa hivi...adhabu yangu naomba nije kushinda na wewe kwa siku tatu....bibi aende kusalimia kwao.....!!
Halafu kumbe umekwama wapi? Mbona masaa yeshaenda hivi na bibi kanipigia simu kunitaarifu kashafika kwao? Usisahau kuja na matokeo ya ule mchezo tulocheza jana usiku...
 
Afu kama nahisi kaharufu ka kikwapa cha Afrodenzi.... Hebu nleteeni haka kabinti, kuna ukaguzi flani hivi sikuufanya.
Samahani babu ulisha nisaliti baada ya jogoo
Kuwika mara tatu .. ngoja nitafute mwingine wa kunikagua sahau ugoro na maziwa
Nnayo kuleteaga ..

Kutoka kwa mjukuu wako mwenye uchungu wa moyo upandee wa juu ..
 
Back
Top Bottom