Naona imekutouch? basi potezea!!!!!!
Naona unawashwa :mimba:
dah u r real amaizing do u want us to follow ur lead tht can never happen we leave as we wish ths the reason jf z 24 hours....n thn find some good status whch wil make us 2 foccuss on womens devlpment rather thn be a unqulified teacher......u r forgiven...
Kama huwezi kujibu hoja ni vizuri ukatulia, initouch ina mikono?
Mh!! .......Naona unawashwa
Najua nimeianzisha hii topic nitaogelea matusi kutoka kwa wadada mpaka basi, lakini kwangu haijalishi mtasema, mtaponda kimpango wenu.
Nawauliza wenzangu mnandoa, mnamajukumu? Usiku kucha kila topic ukiangalia saa 7 au 8 mpo tu wenzangu! Maana hata muda wa kushughulika na kazi nyie mko hewani tu, sijui hata hao mashemeji mnawapa haki yao saa ngapi?
Au wenzangu muda huo mnakuwa mko ofisini sasa wakati mnasubiria ******** mnazuga kwenye Internet??
Punguzeni basi, najua mtasema nimewatusi, kama limekugusa badilika. Naomba msamaha.
Mtu akiwepo JF usiku kucha au mchana kutwa,wewe inakuhusu nini??kila mtu na ratiba zake bwana...
Hakuna hoja hapa Lizzy achana na huu upuuzi
Yani sijui ni wivu unamsumbua. . . kama yeye hawezi mpaka awezeshwe sisi TUNAWEZA.
jamani mi mgeni