Dreamliner787
JF-Expert Member
- Mar 24, 2017
- 559
- 357
Sio bawasili kabisa. Kinaanzia ndani njia ya haja kubwa.Sawa lakini tumeshajadili sana hapa na kufafanua kuwa ninachoongelea hapa sio bawasiri(hemorrhoids )
Jr
Sent using Jamii Forums mobile app