Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

Huo ni ugonjwa wahi tiba

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Kuna Dada mmoja nilikutana nae anacho, lkn naona km ni tofauti na ninachosoma humu maana chake hakionekani km kinaweza kukatika kwan ni km kijisehemu flan cha utumbo hvi.....ni chekundu na kimetokea upande mmoja wa njia yake ya haja kubwa. Wakati wa chuma mboga, ndiyo huonekana dhahiri. Mara ya kwnz nilijua ni kajipu au kijipele flan. Baadae ndo niligundua kuwa siyo bali ndvyo alivyo. Je, hicho nacho ni sawa na unachozungumzia kiongozi?
 
Kuna Dada mmoja nilikutana nae anacho, lkn naona km ni tofauti na ninachosoma humu maana chake hakionekani km kinaweza kukatika kwan ni km kijisehemu flan cha utumbo hvi.....ni chekundu na kimetokea upande mmoja wa njia yake ya haja kubwa. Wakati wa chuma mboga, ndiyo huonekana dhahiri. Mara ya kwnz nilijua ni kajipu au kijipele flan. Baadae ndo niligundua kuwa siyo bali ndvyo alivyo. Je, hicho nacho ni sawa na unachozungumzia kiongozi?
Ni kitu kama hicho ebu jitahidi upate picha yake itakuwa poa sana
 
Ni kitu kama hicho ebu jitahidi upate picha yake itakuwa poa sana
Aah, tulishaachana na kwa sasa ameolewa. Ikiwa huko kwny ndoa hatodumu basi nitaamini huu Uzi wako (ingawa sijui umejiridhisha kwa kiasi gani) lkn ikiwa tofauti bs unalo la kuniambia!

Halafu kinyama kile unakikataje sasa mbona km utasabisha madhara makubwa?
 
Aah, tulishaachana na kwa sasa ameolewa. Ikiwa huko kwny ndoa hatodumu basi nitaamini huu Uzi wako (ingawa sijui umejiridhisha kwa kiasi gani) lkn ikiwa tofauti bs unalo la kuniambia!

Halafu kinyama kile unakikataje sasa mbona km utasabisha madhara makubwa?
Kuna namna ya kukiondoa
 
Bawasiri yaeza kutibika kwa kitunguu saumu lakini si hiki kinyama kwenye mada
1.jpeg


Jr
 
Back
Top Bottom